Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Tena chuki kubwa mnoo hapo wameshatafuta namna ya kumwangusha na hatokaa apate upenyo wa kuyafanya yale aliyoyafanya kijitonyama....labda aanzishe mwendo kivyake na si chini ya taasisi tena
Chuki ipi, aanzishe KKKT yake kama Dr. Mwaikali.....
 
Eti wengine wakajidai kuzimia UJINGA bwana....
 
Sikawasifia? mpeni no. ya sheikh kipozeo tuachie KKKT yetu salama...
 
Tena chuki kubwa mnoo hapo wameshatafuta namna ya kumwangusha na hatokaa apate upenyo wa kuyafanya yale aliyoyafanya kijitonyama....labda aanzishe mwendo kivyake na si chini ya taasisi tena
hapa ndio napata mwanga ni kwanini kitu kinachoitwa protestants kilipotokea.Mtu kama huyu akiamua kujiengua na akaanzisha dhehebu lake wafuasi wengi wanamfuata.Hapa ndio dini za kikristo zinapochemshaga na ndio utitiri wa madhehebu unapotokea waslam wao hawako hivi kivile japo nao wana madhehebu yao lakini sio kwa kasi kama ya wakristo
 
Sahihi Sana Hilo ,alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu wakatoliki na waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vzr so wat aende uko sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hlafu nina mshaka hawa wote wanaojitokeza kwenye maandamano ya kumuunga mkono ni hao VIJANA waaminifu anadai kawaajiri....
 
Alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu Wakatoliki na Waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vizuri aende uko sasa...
Mzazi/mlezi akiwaambia kwenye kikao cha familia/ukoo kwamba nyie sio waaminifu kama watoto wa fulani mtamsusa na kumpasua?
 
Ajiengue tu, hata Mwaikali alijiengua, yuko wapi??? KKKT bado iko imara, hawa wanataka kuanzisha "MAMLAKA" ndani ya mamlaka, hilo haliwezekani...
 
Hao Catholic wana yao wala sio kusema Eti labda ni vipi!

Halafu hoja ni kwamba walishapita wachungaji wengi sana kabla ya yeye kupelekwa hapo Kijitonyama, lakini kwa kuangalia historia na muda ni kuwa yeye amefanya mambo mengi mazuri sana .

Mengi yepi?. Project kubwa pale ni Jengo la kitega uchumi. Nani alilihamasisha?. Acheni siasa kanisani
 
Tumsubiri huyo Mchungaji Msaidizi kama ataweza kuendesha hizo projects (maana nina uhakika pesa ilikua inatoka kwa waumini ambao wamestuka kwa Dkt Kimaro kupewa likizo na kuhamishwa Kijitonyama.
Kumbe shida ni PROJECT!!!
 
Tukubali Kimaro Ni jembe. Kabla yake aliyekuwepo Kijitonyama alifanya mangapi? Baada ya kuondoka Kariakoo Hali ipoje Sasa?

Acheni siasa kanisani. Nyie mmeijua KKKT Kijitonyama leo, mnalazimisha wengine wawa sikilize. KKKT Kijitonyama ilikiwa inajaa mpaka nje, kabla ya huyo Kimaro. Halafu Hilo jengo la kitega uchumi kalijenga Nani?. Usidharau ambachao kwa msala upitao. Kijitonyama ilikuwa maarufu enzi na enzi, huyu katumia umaarufu wa kijitonyama kujijengea jina.
 
Alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu Wakatoliki na Waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vizuri aende uko sasa...
Kwahiyo kilichowakasirisheni sana ni yeye kusifia Wakatoliki na Waislamu? Hampendi kuambiwa ukweli waamini wa KKKT?
 
Achana na wavaa kobazi wamepata kiki, mchukueni kwa mtoro akake na MAZINGE...
 
Alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu Wakatoliki na Waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vizuri aende uko sasa...
Sasa kuwasifu Waroma na Waislamu ni kosa? Kwani si ni binaadamu tuu kama sisi. Mbona hizi dini zinavuruga sana wapokeaji kuliko hata waliozileta?
Yaani ww hapo ni Mlutheri kwa kuwa baba na mama yako walikuwa Walutheri na pengine walizaliwa Bara. Ungezaliwa Zanzibar au Pwani ww ungekuwa Muislamu. So dini isikutoe ufahamu jamaa.
 
Usharika hautakufa asilani. Ila hauwezi kuendelea kama sasa. Leo EVENING GLORY haikurushwa Youtube kulikoni?
Loh! kwahiyo unamtafuta Yesu kristo kwa ku-search you tube!!! Rwanda mauaji ya kimbari makanisa yote yalichomwa kwahiyo na Yesu aliungulia humo.... acheni ushamba... injili itabaki kuwa injili si mtu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…