Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Sahihi Sana Hilo ,alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu wakatoliki na waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vzr so wat aende uko sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwani uongo alisifia kuwa Roman Catholic wako vzr sana katika umisionari na ni kweli . Sijaona kosa lake. Kusifia kizuri ulichoona kwa jirani yako ni vibaya?
Sahihi Sana Hilo ,alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu wakatoliki na waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vzr so wat aende uko sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sijaona alipokosea. Kimsifia jirani yako ni kosa?
 
Kwani uongo alisifia kuwa Roman Catholic wako vzr sana katika umisionari na ni kweli . Sijaona kosa lake. Kusifia kizuri ulichoona kwa jirani yako ni vibaya?

Sijaona alipokosea. Kimsifia jirani yako ni kosa?
Mambo n mengi sana ila wakati hujawahi sema uongo
 
Huyo ni wale wazee wa liturgia!
 
Kwani ni uongo?

Katolic wako strong mzee! Hata ukimuuliza Malasusa au Shoo watakwambia hivyo.

Kosa kubwa la hapa tanzania ukiwa msema ukweli.

Hicho pia kilimgharimu Magufuli, kuongea ukweli.
 
Wamemuona ni threat
Threat! acha haya mawazo mkuu, yani Kimaro awe threat kwa KKKT? amezaliwa akalikuta akanisa, ataondoka ataliacha kanisa, kama amefanya makosa awajibishwe, kama yanaongleka yaongelewe na ajirekebishe.
 
Kwa waislam hapo umepuyanga maana ibada za waislam na wakristo tofauti kabisa tafuta kingine cha kudanganya
 

Kijitonyama ipo na itaendelea kuwepo. Yeye aondoke tu.
 
Tutajie hayo maneno
 
Kwani ni uongo?

Katolic wako strong mzee! Hata ukimuuliza Malasusa au Shoo watakwambia hivyo.

Kosa kubwa la hapa tanzania ukiwa msema ukweli.

Hicho pia kilimgharimu Magufuli, kuongea ukweli.
Inawezekana amesema ukweli ila kama ulivyosema Tanzania, japo nadhani ni duniani kote, huwezi kuwa ndani ya Taasisi fulani halafu ukaanza kuipaka matope, kuwaita unaowaongoza (vijana wa Kikristo) kwamba ni wezi, hutaki hata kuwaajiri kwenye kazi zako, mzee unafanya nini kwenye hiyo Taasisi yenye wezi na matapeli? tena unakula mishahara yao na mafungu ya kumi kutoka kwa watu unaowaita wezi?
 
Threat kwa Nani?. Acheni kukuza mambo. Huyo kalitukana kanisa ndio maana kasimamishwa. Hayo mengine ni kujifichia tu.
Nashangaa wanaosema eti ni threat, hawezi kuwa threat kwa Taasisi kubwa kama KKKT, na hakuna atakeyekuwa threat daima.
 
Kwenye hizi taasisi kuna namna huwa uongozi wa juu hawataki wa chini afanye makubwa yanahoonekana sana? Kisa cha likizo ya siku60 ni nn

Hayo umesema wewe. Sababu ni kulitukana kanisa na hiyo ndio chanzo. Huwezi kuliita KKKT kanisa la madalali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…