Jamaa.Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
Kumbe ni wewe...Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
TehUsinisahau ukienda huko
Mimi who?Kumbe ni wewe...
Nakusalimia tuu, mbona sijawahi ona hizo maselfie jamani
[emoji41][emoji41]Teh
Nakuona ujue
Jiamini wewe mwanaume acha uwogangoja niendelee kupanga mipango mkakati labda nitapata ujasiri
Aisee labda hujanielewa vizuri swali langu najua hii ni chitchat but nimesoma na nikabidi nifikirishe akili yangu hivi inakuaje unamfuatilia mtu ambaye humjui au hakujui.Acha kuingilia ugonvi wa ndugu chukua jembe ukalime
Unaelewa maana ya ndugu kweli wewe?Aisee labda hujanielewa vizuri swali langu najua hii ni chitchat but nimesoma na nikabidi nifikirishe akili yangu hivi inakuaje unamfuatilia mtu ambaye humjui au hakujui.
HayaDuh asante kwa kujal moyo wake
TehDaah hapa roho yangu kwatu....
Ohoo basi kama wewe una undugu na hao uliowataja vizuri! endelea kuwafatilia nduguzo,ngoja nichukue jembe nkalime mie hahahahUnaelewa maana ya ndugu kweli wewe?
Unaweza ukawa na ndugu ambaye humujui