Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
Jamaa.
Naappreciate sana namna unavyotazama mitazamo ya watazamaji maisha ya wenzao.
 
Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
Kumbe ni wewe...
Nakusalimia tuu, mbona sijawahi ona hizo maselfie jamani
 
Mmmh kuna raia wanapenda shades,hivi unatake a time kumfuatilia mtu anachopost kila mara unafaidika nini ili hali wengi humu hatujuani.
 
Mmmh kuna raia wanapenda shades,hivi unatake a time kumfuatilia mtu anachopost kila mara unafaidika nini ili hali wengi humu hatujuani.
Acha kuingilia ugonvi wa ndugu chukua jembe ukalime
 
Acha kuingilia ugonvi wa ndugu chukua jembe ukalime
Aisee labda hujanielewa vizuri swali langu najua hii ni chitchat but nimesoma na nikabidi nifikirishe akili yangu hivi inakuaje unamfuatilia mtu ambaye humjui au hakujui.
 
Aisee labda hujanielewa vizuri swali langu najua hii ni chitchat but nimesoma na nikabidi nifikirishe akili yangu hivi inakuaje unamfuatilia mtu ambaye humjui au hakujui.
Unaelewa maana ya ndugu kweli wewe?

Unaweza ukawa na ndugu ambaye humujui
 
Unaelewa maana ya ndugu kweli wewe?

Unaweza ukawa na ndugu ambaye humujui
Ohoo basi kama wewe una undugu na hao uliowataja vizuri! endelea kuwafatilia nduguzo,ngoja nichukue jembe nkalime mie hahahah
 
Herufi mbili za mwanzo za RRONDO ni identical in every sense, inakuwaje sasa mtu anaikosea ya kwanza ila ya pili anaisoma sawa? Ningeelewa kama wangekuwa wanakosea zote mbili (PPONDO, BBONDO). Ukijumlisha jina lenyewe fupi, liko kwa herufi kubwa, shida ni nini?
 
Back
Top Bottom