Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Sawa nimekuelewa.

Katika uzi wako nimeona kuwa sababu kuu ya wao kuumba binadamu ni kutaka binadamu kuwasaidi kukusanya madini ambayo hao wamekuwa wakitumia akili zaidi kutafuta namna ya kuyarejesha madini hayo.

Sasa nauliza.

1.Licha ya akili nyingi walizonazo na tekinolojia yote walishindwa wao kurejesha madini hayo pasina kumuhusisha binadamu ambaye anayatumia madini yao kwa matumizi yake binafsi?

2.Kwanini tekinolojia hiyo haikuanza kwa binadamu wa kwanza ambaye walimuumba na hatimaye kuanza miaka mingi baadaye?

3.Sasa kama binadamu walimuumba awasaidie kukusanya madini yao na wao ndiyo wanamuongoza binadamu iweje wampe akili za kuyatumia madini hayo ambayo hata wao inaonekana wanayaitaji zaidi?

4.Kwanini hawakuumba binadamu kwa wakati mmoja tena kwa idadi waitakayo ili wafanikishe adhima yao ya kukusanya madini kwa muda mfupi yaani wafanye kazi kwa pamoja?

Naomba tusaidiane kueleweshana.

Sent using Jamii Forums mobile app
...ukiulizwa ni vipi Mungu mwenye uwezo wote ,na upendo wote ni kwanini aliumba Ulimwengu kwenye mapungufu hivi...na akamuumba Shetani mpinzani wake utajibu mini.

.....ukinisoma kwenye mistari utaona hoja yako ni sawa na hii ya story za bible na quran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kauli kama hizi za Mungu wenu ndio zinadhihirisha kabisa kuwa miungu yenu ni ma_allien

Vitabu vyenu mnavyo jitoa mhanga navyo vimejaa simulizi kibao za alien alafu bado mtu anashangaa

Na ivi ni nani aliwadanganya wanyama wanashobo ya kutawaliwa.!?

Ukienda mbugani unakuta wametulia wanajilea vyao hawana hata mpango nanyi na maisha yanaenda

Nyie kwa viandiko vichache tayari mnajipa utukufu msio uhustahili na kujiona mna haki juu yao.!? Poleni





Sent using Jamii Forums mobile app
katika mada hii mimi nipo pamoja na ninyi. sio kwamba naunga mkono simulizi za kwenye bible, la hasha.

kwa mfano huwa najiuliza kwanini andiko liseme na "tumfanye mtu kwa mfano wetu.."badala ya nimfanye mtu kwa mfano wangu.

kumbuka bible huwa inatufundisha kuwa Mungu ni mmoja tu, sasa huo uwingi unatoka wapi?.

hapo ndio tafakuri kuhusu aliens inapochukua nafasi.
 
wew si unajibu lako ambalo ni mungu ndo kaweka viumbe hao...

Kwa sababu hata ukielezwa how evolution ya universe ilivyokuja utakataa kwa sababu unaamini neno Mungu kama supreme being wa vitu vyote..

Sijakataaa kuwa hakuna controller wa mambo yotr but umesoma kuhusu doctrine zinazoelezea how different races came to arise..??

umesoma kuhusu how the universe arose..?? au umekalili tu kuna mtu alikuwa anakomand hiki njoo hiki rudi..

Naomba nikulize kitu..


hivi hapo mwanzoni mungu alikuwa anakaa na akina nani wakati tunaona kuwa umri wa binadamu kwenye universe hiii ,humans only evolved about 200,000 miaka iliyopita ...
lakini umri wa universe ni miaka Bilion 13.9 ,hivi huoni kuwa huyo mungu alikuwa anakaa na kina nani kabla ya kumleta binadamu ...?? yani kwamba alikuwa ana species za kina Dinassaors pekee..?

Ukiongelea universe unaongelea na vipimo ambavyo navyo vimeetengenezwa na binadamu hakuna mwenye kuthibitisha zaidi tunakadiria tu hiyo miaka,
Lakini Mungu amenza kuabudiwa na jamii zote kabla hata ya kuwapo vitabu na watu walifanya ibada za kweli kwa kutoa sadaka eneo maalumu,ujinga wa kusoma ulipoletwa ndio Bible na Quran vikabadil uwezo na uelewa
Unachojarib kukisimamia hapa mimi nimekisoma sana na bado nazid kukisoma ila hakijaniingia akili kama unavyotaka ww iwe

Ningekujibu swali lako ila nadhani tujikite zaidi kwenye hii mada yako ambayo unaitetea kwa hoja nyepesi sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
..ukiulizwa huyo Mungu aliumbwa na nani utajibuje mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mada ipo nje ya maandiko hivyo tusichanganye mambo tofauti na lengo la mtoa mada ambae naamini hajaingilia mhimili wa imani ya mtu ila watu wengi wameuliza sna swali lako katika mabandiko ya kidini na hakuna alietoa jibu hivyo basi ukisoma sana utajikuta unajiuliza hao viumbe nani kawaumba na je mungu nani kamuumba?! Hivyo nadhni tujikite kwenye mada zaidi
 
mkuu,usiumize akili snaa juu ya kujiuliz uwepo wa associated factor living kama majani..

hivi unaweza anzisha ufugaji wa kuku bila kuwa na uwepo wa banda na pumba kwa ajili ya kulishia kuku hao..?

Unaweza ukalima hekali 20 za mazao bila kuangalia wanunuzi kwanza??

kwa hiyo swala la mimea kuwepo ni kwa ajili y kumbust huyo alieletwa ...



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna kitabu chochote unakijua kinahusu Hawaii viumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika mada hii mimi nipo pamoja na ninyi. sio kwamba naunga mkono simulizi za kwenye bible, la hasha.

kwa mfano huwa najiuliza kwanini andiko liseme na "tumfanye mtu kwa mfano wetu.." dadala ya nimfanye mtu kwa mfano wangu.

kumbuka bible huwa inatufundisha kuwa Mungu ni mmoja tu, sasa huo uwingi unatoka wapi?.

hapo ndio tafakuri kuhusu aliens inapochukua nafasi.
Soma kitabu cha mwanzo chote kimeeleza hiki kitu vizur sana Mungu hakuwa peke yake wakati anaumba
 
Uwepo WA aliens mi naamini ila kusema ndio waliotuumba so kweli,wao wanauwezo mkubwa Tu WA ki maarifa lakini sio kuwa ndio waliotuumba,kuna wengine wanahisi ni viumbe vyenye genes za kishetani na kuna baadhi ya maeneo wameshaanza kuzaliana na binadam km Marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo zile tochi za barabarani zina imagina speed ya gari..??
mbona hakuna mtu aliwahi kwenda mahakamani kupinga juu ya speed aliyokuwa akiendesha baada ya kunoticiwa alikuwa katika high speed..??

kwa sababu mode of kculation ni kuhusiana na hizo background wave machine inazotoa ...



Sent using Jamii Forums mobile app
Ila unajua inaukomo wa umbali wakati inahakiki mwendo wako?!
Hivyo jua kile kipimo ukomo wake umefikia kwa hapo miaka billion kadhaa bado hakijathibitisha umri sahihi na ndio maana katika taarifa zao wanaeema inakadiriwa miaka bilioni........
 
Mkuu kuna kitabu chochote unakijua kinahusu Hawaii viumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
kupitia hidden doctrine nimepata kujua kias flani hawa viumbe mkuu..

pia kuna mazingira ambayo binafsi niliyashuhudia ...

Mpaka ukutane na paranormal events za hao viumbe ndo unaweza pata muda na apetite ya kutafuta siri zao...

serikali zote zinaficha uwepo wa hao viumbe .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi Kwa uelewa wangu mdogo, Aliens, dragon,na mazombi Hawaii ni viumbe ni ngumu kuonekana Kwa sasa,Ila ni viumbe watakaokuwa wanatumika kipindi cha New World Order katika kufanikisha mambo mbalimbali,movie za leo zimejaa uchawi na mazombi,si Kwa bahati mbaya just kukukna brainwash we home ni kitu cha kawaida Tu,hao aliens KAZI zao ndo kama hivyo kuwezekana teknolojia na mipango kutimia,mfano watakuja na uwezo WA kujua Quinine Mwitu Yuko Dar sehemu Fulani kulitia microchip ambazo utadungwa kupitia dawa unazomeza,chanjo za kila leo mara ndui NK vitu unavyojiuliza mbona huko ulaya hawana hizi chanjo,Au kupitia GPS za simu yako aidha Kwa kujua au kuto kujua simu yako inawapelekea location ulipo,sasa ikitokea Quinine Mwitu amekuwa liberious au hataki kutii namalaka iliyopo hyo ya New World Order hapo ndo atatumiwa mazombi yamteketeze au madragoni nk,Kwa sasa aliens unaweza usiwaone Ila wanatumika majukum Yao na kuna Siku watakuwa hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kupitia hidden doctrine nimepata kujua kias flani hawa viumbe mkuu..

pia kuna mazingira ambayo binafsi niliyashuhudia ...

Mpaka ukutane na paranormal events za hao viumbe ndo unaweza pata muda na apetite ya kutafuta siri zao...

serikali zote zinaficha uwepo wa hao viumbe .

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali wamekuwa programmed Ku pave ways Kwa ajili ya Hawaii viumbe,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom