Uchaguzi 2020 Propaganda mfu za CHADEMA ni dalili tosha kuwa wameshindwa uchaguzi

Uchaguzi 2020 Propaganda mfu za CHADEMA ni dalili tosha kuwa wameshindwa uchaguzi

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Nimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu DW?

Kuna habari zingine zinaenezwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa magari ya jeshi yanasambaza mabox ya kura yaliyojaa karatasi zimewekewa tick. Mbona hatuoni picha wala video clips za hayo magari?

Kama kila chama kina wakala waliyemuamini na kisha akala kiapo kulinda kura za chama chake,sasa hizi habari za kuweka maboksi yaliyojaa karatasi zenye tick zitawezekana vipi?

Dalili za mvua ni mawingu,hii ni dalili tosha kuwa upinzani unaenda kushindwa mapema na kwa kura nyingi , 95% ya kura za urais na ubunge zinakwenda CCM, kuzalisha propaganda zisizo na mashiko haziwezi kusaidia upinzani. Jambo la msingi ni kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo. Maana posho za ubunge mlizizoea na mkadhania mtakuwa wabunge wa maisha.
 
Sasa wameanza kuleta uongo usio na kichwa wala miguu.

Hapana.

Kama CCM wametuma vijana kuharibu uchaguzi wa arusha basi msimamizi wa uchaguzi tayari atakuwa amebariki hujuma hizo.

Unakosea sana unaposhauri eti Lema akaripoti kwa msimamizi. kila mwenye akili timamu anajua kwamba wasimamizi ni makada wa UVCCM.

Lema yuko sahihi kuutangazia umma kupitia vyombo vya habari ikiwemo DW.
 
..hapana.

..kama ccm wametuma vijana kuharibu uchaguzi wa arusha basi msimamizi wa uchaguzi tayari atakuwa amebariki hujuma hizo.

..unakosea sana unaposhauri eti Lema akaripoti kwa msimamizi. kila mwenye akili timamu anajua kwamba wasimamizi ni makada wa uv-ccm.

..Lema yuko sahihi kuutangazia umma kupitia vyombo vya habari ikiwemo DW.
Unakosea sana kuwadanganya viongozi wako. Lazima apeleke malalamiko kwa maandishi na kama ni kweli athibitishe. Propaganda uchwara haziwezi kuwasaidia.
 
Unakosea sana kuwadanganya viongozi wako. Lazima apeleke malalamiko kwa maandishi na kama ni kweli athibitishe. Propaganda uchwara haziwezi kuwasaidia.

Malalamiko yao yangekuwa yanasikilizwa Magufuli angefungiwa kufanya kampeni kwa kipindi kirefu.

Mamlaka zote za kutoa haki zinaongozwa na makada wasio na uadilifu wa CCM kwa hiyo hakuna haki nchi hii.

Mpaka Tcaa inaingilia uchaguzi. Tanzania ya Magufuli hiyo.[emoji1787]
 
Sasa kama hii tume huna imani nayo mmeweka wagombea wa nini?
Wewe ni hasara wewe ni mpumbavu Bora ukalale siwezi kujibishana na wewe mwaka huu tutawashangaza sana yaani tutachoma kila kitu Cha hii serikali mkifanya mchezo na uchaguzi tuanze upya tu Bora tugawane fito kwanza tuheshimiane now.
 
Itake radhi k.u.m.a, usiifananishe na huyu kibwengo... mtafutie jina lingine.
Anafananisha vitu vya Maana na vitu vya kijinga siyo??😂😂😂😂

Nyinyi wabongo buana mnatisha Sana aisee😂😂😂
 
Kama kila chama kina wakala waliyemuamini na kisha akala kiapo kulinda kura za chama chake,sasa hizi habari za kuweka maboksi yaliyojaa karatasi zenye tick zitawezekama vipi?
Shida ipo hapo. Mawakala wengi hawaaminiwi hata na vyama vyao maana wanajua huko ndani pressure huwa ni kubwa kuliko maelezo.

Mtu anaweza kutishwa kwa mtutu au akalainishwa kwa fedha au akaahidiwa kazi maana wengine washasota kitaani muda mrefu na kwao hii ni chance moja kila baada ya miaka mitano
 
Kuua watu ndo mbinu ya mwisho ya viongozi waliokosa vibali machoni pa wananchi. Meko na CCM wamekosa kibali cha watanzania.CCM wana hofu kuu.

Imagine wanaua watu,wamezima whatsapp call,bank zimepigwa pini,wamezima twitter,wamezima instagram,wamezima facebook,wanazuia SMS,etc.Hii ni hofu ya kukataliwa na wananchi.Hizi ni dalili kuwa CCM imeshashindwa kabla hata ya kura kupigwa.
 
Back
Top Bottom