Uchaguzi 2020 Propaganda mfu za CHADEMA ni dalili tosha kuwa wameshindwa uchaguzi

Uchaguzi 2020 Propaganda mfu za CHADEMA ni dalili tosha kuwa wameshindwa uchaguzi

Mwamzi wa hawa wapinzani ni wakala wao wakati wa kuhesabu kura....huyu wakala huwa mtoa taarifa rasmi nani kashinda katika kila kituo... CCM ndiyo kila kitu Magufuli oyeeee... CCM DAIMA tukutane kesho 28/20/2020. Kwenye masunduku ya kura CCM OYEEEEEE
 
Shida ipo hapo. Mawakala wengi hawaaminiwi hata na vyama vyao maana wanajua huko ndani pressure huwa ni kubwa kuliko maelezo.

Mtu anaweza kutishwa kwa mtutu au akalainishwa kwa fedha au akaahidiwa kazi maana wengine washasota kitaani muda mrefu na kwao hii ni chance moja kila baada ya miaka mitano

Mawakala hawana malipo, wameahidiwa teuzi baada ya kushika dola. Ndio maana hawaaminiani
💛💚👍
 
Aliyeongea ni Rpc wa moja ya mikoa iliyopo Unguja, mkoa lilipotokea tukio yeye anahusika wakati hayuko huko? Ndio maana nimekubia acha papara tujue nini kilitokea.

Usihukumu kabla hujapata details za ukweli. Tukio limetokea Pemba sio Unguja.
No!Link ya RPC wa mkoa wa Pemba Kaskazini hii hapa akisema kuwa hakuna mtu hata mmoja alieuawa

 
Je? ni Jimbo gani litakuwa la kwanza kutangaza matokeo ya uchaguzi Tanzania bara??
 
Nimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?

Kuna habari zingine zinaenezwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa magari ya jeshi yanasambaza mabox ya kura yaliyojaa karatasi zimewekewa tick. Mbona hatuoni picha wala video clips za hayo magari?

Kama kila chama kina wakala waliyemuamini na kisha akala kiapo kulinda kura za chama chake,sasa hizi habari za kuweka maboksi yaliyojaa karatasi zenye tick zitawezekama vipi?

Dalili za mvua ni mawingu,hii ni dalili tosha kuwa upinzani unaenda kushindwa mapema na kwa kura nyingi , 95% ya kura za urais na ubunge zinakwenda CCM, kuzalisha propaganda zisizo na mashiko haziwezi kusaidia upinzani. Jambo la msingi ni kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo. Maana posho za ubunge mlizizoea na mkadhania mtakuwa wabunge wa maisha.
Miaka mitano (5) Chadema haikufanya siasa, leo imemtikisa mtu ambaye miaka mitano (5) amesifiwa kila siku peke yake!
 
We k.u.ma kweli we unafikiri mpaka anaripoti dw hajaiandikia barua tume! Ni Mara ngapi hata mnyika anaiandikia tume kuhusu ukiukwaji wa Sheria lakini time haijibu chochote? Au ulitaka baada ya lema kuiandikia time basi akagombane nao watao majibu fasta?

Hujui Kama tume inapata maelekezo kutoka kwa polepole?

Narudia tena we ni k.u.m.a
Baada ya kutukana umepata faida Gani ndugu.
Umeongeza kura
Au ndio umeeleweka sana
Au unadhani ndio watakuheshimu au kukuogopa humu mitandaoni.!??
 
Nimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?

Kuna habari zingine zinaenezwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa magari ya jeshi yanasambaza mabox ya kura yaliyojaa karatasi zimewekewa tick. Mbona hatuoni picha wala video clips za hayo magari?

Kama kila chama kina wakala waliyemuamini na kisha akala kiapo kulinda kura za chama chake,sasa hizi habari za kuweka maboksi yaliyojaa karatasi zenye tick zitawezekama vipi?

Dalili za mvua ni mawingu,hii ni dalili tosha kuwa upinzani unaenda kushindwa mapema na kwa kura nyingi , 95% ya kura za urais na ubunge zinakwenda CCM, kuzalisha propaganda zisizo na mashiko haziwezi kusaidia upinzani. Jambo la msingi ni kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo. Maana posho za ubunge mlizizoea na mkadhania mtakuwa wabunge wa maisha.
CCM wameshaua watu 11 hadi sasa Zanzibar na Mara.
 
Nimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?...
Huyo tobo wao ameahidiana na makaburu kuwa afanye kila awezalo avuruge amani ya nchi kama njia ya wao mabeberu kumpa uongozi. Lakini watanzania siyo wajinga wa kiasi hicho
 
Kuizika rasmi ndicho anachomaanisha.
Wewe na Mayala mnatia huruma kwa kuwa na nyuso ngumu kavu zisizo soni.
Ndio mshahara wa kumtumikia shetani.
Kuna mmoja mwingine nae karibu atafuzu kiwango chenu cha kujivunjia hata heshima kwa kung'ang'ania maneno/mambo ya kubumba.
 
Nimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?...
Lissu akijifanya kuanzisha fujo safari hii atajuta
 
Back
Top Bottom