Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ipo hapo. Mawakala wengi hawaaminiwi hata na vyama vyao maana wanajua huko ndani pressure huwa ni kubwa kuliko maelezo.
Mtu anaweza kutishwa kwa mtutu au akalainishwa kwa fedha au akaahidiwa kazi maana wengine washasota kitaani muda mrefu na kwao hii ni chance moja kila baada ya miaka mitano
No!Link ya RPC wa mkoa wa Pemba Kaskazini hii hapa akisema kuwa hakuna mtu hata mmoja alieuawaAliyeongea ni Rpc wa moja ya mikoa iliyopo Unguja, mkoa lilipotokea tukio yeye anahusika wakati hayuko huko? Ndio maana nimekubia acha papara tujue nini kilitokea.
Usihukumu kabla hujapata details za ukweli. Tukio limetokea Pemba sio Unguja.
No!Link ya RPC wa mkoa wa Pemba hii hapa akisema kuwa hakuna mtu hata mmoja alieuawa
Huyo mtangazaji amesema clearly kuwa ni RPC wa mkoa wa pemba kaskaziniPemba mkoa gani? Kwa hiyo Act na Chauma wametudanganya? Tusibiri ukweli acha papara. Hii ishu ni nzito.
Miaka mitano (5) Chadema haikufanya siasa, leo imemtikisa mtu ambaye miaka mitano (5) amesifiwa kila siku peke yake!Nimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?
Kuna habari zingine zinaenezwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa magari ya jeshi yanasambaza mabox ya kura yaliyojaa karatasi zimewekewa tick. Mbona hatuoni picha wala video clips za hayo magari?
Kama kila chama kina wakala waliyemuamini na kisha akala kiapo kulinda kura za chama chake,sasa hizi habari za kuweka maboksi yaliyojaa karatasi zenye tick zitawezekama vipi?
Dalili za mvua ni mawingu,hii ni dalili tosha kuwa upinzani unaenda kushindwa mapema na kwa kura nyingi , 95% ya kura za urais na ubunge zinakwenda CCM, kuzalisha propaganda zisizo na mashiko haziwezi kusaidia upinzani. Jambo la msingi ni kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo. Maana posho za ubunge mlizizoea na mkadhania mtakuwa wabunge wa maisha.
Baada ya kutukana umepata faida Gani ndugu.We k.u.ma kweli we unafikiri mpaka anaripoti dw hajaiandikia barua tume! Ni Mara ngapi hata mnyika anaiandikia tume kuhusu ukiukwaji wa Sheria lakini time haijibu chochote? Au ulitaka baada ya lema kuiandikia time basi akagombane nao watao majibu fasta?
Hujui Kama tume inapata maelekezo kutoka kwa polepole?
Narudia tena we ni k.u.m.a
CCM wameshaua watu 11 hadi sasa Zanzibar na Mara.Nimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?
Kuna habari zingine zinaenezwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa magari ya jeshi yanasambaza mabox ya kura yaliyojaa karatasi zimewekewa tick. Mbona hatuoni picha wala video clips za hayo magari?
Kama kila chama kina wakala waliyemuamini na kisha akala kiapo kulinda kura za chama chake,sasa hizi habari za kuweka maboksi yaliyojaa karatasi zenye tick zitawezekama vipi?
Dalili za mvua ni mawingu,hii ni dalili tosha kuwa upinzani unaenda kushindwa mapema na kwa kura nyingi , 95% ya kura za urais na ubunge zinakwenda CCM, kuzalisha propaganda zisizo na mashiko haziwezi kusaidia upinzani. Jambo la msingi ni kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo. Maana posho za ubunge mlizizoea na mkadhania mtakuwa wabunge wa maisha.
Tumuamini nani? Act wazalendo au Chauma? Au Rpc wa mkoa kaskazini Pemba?Huyo mtangazaji amesema clearly kuwa ni RPC wa mkoa wa pemba kaskazini
Offpoint kamanda.CCM wameshaua watu 11 hadi sasa Zanzibar na Mara.
mpaka wakwenu auwawe ndo utaheszbu hayo kuwa ni mauaji, hao wanauwawa ni ngombe? Mwaka huu tutaheshimiana tu.Hapo ulipo wewe na ukoo wenu mlishauliwa wangapi?
Hovyoooooooo, pumbvuuuuuuuMleta uzi bora baba yako angepiga punyeto.
Kuliko kukuzaa wewe kichwani empty set.
Umesikia mwishoni Rpc anachosema? Kama vifo havitolewi taarifa polisi unategemea nini?Huyo mtangazaji amesema clearly kuwa ni RPC wa mkoa wa pemba kaskazini
Huyo tobo wao ameahidiana na makaburu kuwa afanye kila awezalo avuruge amani ya nchi kama njia ya wao mabeberu kumpa uongozi. Lakini watanzania siyo wajinga wa kiasi hichoNimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?...
Wewe na Mayala mnatia huruma kwa kuwa na nyuso ngumu kavu zisizo soni.Kuizika rasmi ndicho anachomaanisha.
Lissu akijifanya kuanzisha fujo safari hii atajutaNimemsikiliza Godbless Lema akihojiwa na Dw kuwa kuna kundi la vijana 200 wamepelekwa Arusha ili wakakipigie kura CCM. Anadai amewaona. Sasa kama mgombea ubunge umeona tukio kama hili kwa nini usitoe taarifa ya maandishi kwa msimamizi wa uchaguzi na badala yake unaongea tu Dw?...