Uchaguzi 2020 Propaganda mfu za CHADEMA ni dalili tosha kuwa wameshindwa uchaguzi

Kama zile ajira za walimu nahis wanataka wakiwin wawashike nazo mkono hasa vijana wa lumumba
 
Fungueni mitandao ya kijamii nyie simnapendwa na wananchi mnaogopa ni washamba nyie

Shetani Hana rafiki
 
Unakosea sana kuwadanganya viongozi wako. Lazima apeleke malalamiko kwa maandishi na kama ni kweli athibitishe. Propaganda uchwara haziwezi kuwasaidia.
Kichwani umejaza funza, utawezaje ku think rationale?? Mbaya zaidi mwisho wa siku unaambulia kunu 5 za kunywea gongo...
 
Wewe na Mayala mnatia huruma kwa kuwa na nyuso ngumu kavu zisizo soni.
Ndio mshahara wa kumtumikia shetani.
Kuna mmoja mwingine nae karibu atafuzu kiwango chenu cha kujivunjia hata heshima kwa kung'ang'ania maneno/mambo ya kubumba.
Tumia ubongo wako wakati unaandika post.
 

Ukimkuta binadamu anatetee hii CCM mpya ya majahili ujue ananufaika na huo ujambazi !
 
Watanzania hawapendi rushwa, ushoga na usagaji, hawapendi wizi wa ruzuku na michango ya wabunge. Mna propaganda za kishamba Sana, mara vituo na wapiga kura fake, mara karatasi za chapishwa jamana yani upuuzi mtupu. Watanzania wazalendo wameshajua janja yenu wakala wa mabeberu ninyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…