baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Colombia, Bolivia, Ireland, Spain, Norway, China, North Korea, South Africa etc naona wote hao maustadh kabisa na waisilamu.Ulichohadithia hapa ni opposite kabisa.. tunashuhudia uongo wenu.. hizo Kashfa unazozitoa nyie waislam ndio mnawafanyia waisrael now nyie ndio mnasema Israel ana propaganda hahaha Uislam umeumbwa ili kuoneza uongo duniani.. na tunashuhudia kila siku.. vyombo vya habari vya waislam na waislam wenyewe kwenye social media ndio mnachofuata.. kueneza uongo na uzandiki wa Allah.. weka hayo madai uliyowahi kusikia na ukanushe kwa evidance tuone nani iblis na nani watu wa Mungu...
Kusema special people waliopendelewa Waislam mnaisigina Quran yenu maana nayo imeandika pia.. na wewe kama binafsi your fake tafuta dini yako mpya inayowakataa waisrael..
Na Netanyahu alishasema mtajaribu sana kuwaangamiza ila mtashindwa.. mtaishia kulalama kwa uongo.. ambao baba yake ni iblisi Allah alishasema mwenyewe kwenye Quran
Upuuzwe kwa propaganda zako za uongo.
Uislam ndio kansa.. Quran inasema wauliwe wasio waislam kuwa eti ni maadui wa Allah..
In short kwenye Huu mgogoro ukitoa Makundi ya Kishia, Nchi Nyingi za wakristo na kisecular wametoa mchango mkubwa kuisadia Palestina kushinda hata Hizo za kiisilamu/Kiarabu.
Israel wapo hoi, Nchi za west nyingi za West zimekua Exposed na unafiki wao na raia wao wanajua. Polls mbalimbali Nchi za Magharibi zinaonesha Vijana wao wapo upande wa Palestina ni wazee tu sasa hivi ndio wana side na Israel.