Propaganda za Israel zinaenda kufikia mwisho

Propaganda za Israel zinaenda kufikia mwisho

Anaeleta udini ni nani? Ni sisi Wa Africa, ila kwa hao wanaopigana wenyewe hakuna huo udini. Sisi wengi humu ni wajinga na tunaongea vitu kwa mihemko.

Na sijaona jambo lolote baya mtu kumuombea mtu yoyote, so. Mtu kusema pray for quds ni kosa?
Aah mtajuana wenyewe
 
Kwa miaka mingi wamekua wakiishi kwa propaganda, kuonesha wao ni special sana na kuonesha wao ni "Victims". Blaming everything and ashamed with nothing.

Wame exadurate maafa ya WWII as if hakuna binadamu wengine wamekufa, zaidi ya wakristo mil. 60 waliuwawa, ila hawa hawasemwi. Like nothing happened to them.

Sasa chaja kizazi ambacho kina reason na ku question, kizazi kinachotaka ukweli.

Wamekua wakitumia censorship ya mitandao na vitisho vya kiuchumi, ila sasa havina muda.

Kwa sasa ni kawaida watu ku Question the authenticity of Holocaust number, which it wasn't in the past.

Asset pekee walionayo ni kundi dogo wakristo hasa Africa wanaoamin, " Israels are choosen people " , " The now Israel is what in the Bible", " If you curse israel you will be cursed" And of course, the one group that hate Muslims to the core.

Zaidi ya hapo, ni suala la muda tu, Israel itakua kituko cha dunia kwa maana propaganda zao hazifanyi kazi tena.

Zionists are the cancer of the world. We need the world of free from apartheid. No choosen one,no super race, non of that.
And that is coming,

So, if you are Zionists or Zionist sympathizer, I have a message for you, you either adapt, or adopted.
hivi siku zote wafia dini ndio wanamtuhumu mwingine vitu wanavyotenda wao siku zote kobazi ndio waleta fujo baadaye wanajigeuza victims wanaonewa ,wanatendeo sivyo wakiachwa wanajitangaza washindi
 
Colombia, Bolivia, Ireland, Spain, Norway, China, North Korea, South Africa etc naona wote hao maustadh kabisa na waisilamu.

In short kwenye Huu mgogoro ukitoa Makundi ya Kishia, Nchi Nyingi za wakristo na kisecular wametoa mchango mkubwa kuisadia Palestina kushinda hata Hizo za kiisilamu/Kiarabu.

Israel wapo hoi, Nchi za west nyingi za West zimekua Exposed na unafiki wao na raia wao wanajua. Polls mbalimbali Nchi za Magharibi zinaonesha Vijana wao wapo upande wa Palestina ni wazee tu sasa hivi ndio wana side na Israel.
manchi ya wauza ngada yanafaida gani hayo manchi ya hovyo kabisa
 
Colombia, Bolivia, Ireland, Spain, Norway, China, North Korea, South Africa etc naona wote hao maustadh kabisa na waisilamu.

In short kwenye Huu mgogoro ukitoa Makundi ya Kishia, Nchi Nyingi za wakristo na kisecular wametoa mchango mkubwa kuisadia Palestina kushinda hata Hizo za kiisilamu/Kiarabu.

Israel wapo hoi, Nchi za west nyingi za West zimekua Exposed na unafiki wao na raia wao wanajua. Polls mbalimbali Nchi za Magharibi zinaonesha Vijana wao wapo upande wa Palestina ni wazee tu sasa hivi ndio wana side na Israel.
Israel wapo hoi kwenye nini wafia dini mnajua kujifariji juzi tu mnalia wapalestina wanauawa halaiki,hawana chakula leo washindi
 
Uislam ndio kansa.. Quran inasema wauliwe wasio waislam kuwa eti ni maadui wa Allah
Ulitakaje?
Kwamba ukipigwa shavu la mkono wa kulia mgeuzie na la mkono wa kushoto?
Kwa chuki za MAKAFIRI dhidi ya UISLAMU, kusingesalia MUISLAMU hata mmoja juu ya huu uso wa Dunia.
 
Israel wapo hoi kwenye nini wafia dini mnajua kujifariji juzi tu mnalia wapalestina wanauawa halaiki,hawana chakula leo washindi
1. Kiuchumi, uchumi wao umedorora

2. Diplomacy nchi kibao zimefunga balozi za Israel

3. Wananchi wao wengi walikua wakiishi kwenye shelter kwa muda mrefu

4. Wanajeshi wao wengi wamekufa na kujeruhiwa kwa maelfu

5. Viongozi wao wanasubiriwa na ICC.
 
1. Kiuchumi, uchumi wao umedorora

2. Diplomacy nchi kibao zimefunga balozi za Israel

3. Wananchi wao wengi walikua wakiishi kwenye shelter kwa muda mrefu

4. Wanajeshi wao wengi wamekufa na kujeruhiwa kwa maelfu

5. Viongozi wao wanasubiriwa na ICC.
Waislam wakipata ka msamaha wanatangaza ushindi ila fact wapo hoi.. na hawatorudia tena kuvuka mpaka kushambulia tena.. itakuwa kiama chenu hata dunia ikitoa chozi mnahamishwa Gaza

Uchumi wa Israel upo imara daima

Eti wameish kwemye shelter kwa muda mrefu... wewe akili zako ni za kufundishwa? Pole sana.katafute mwenyewe news.. Shelter ni pale king'ora kikilia tu then kikizima unatoka ni for protect lives tu only sio makazi mjinga kweli wewe...hata Tanzania yalikuwepo hayo mahandaki haswa pale kabla ya kujenga jengo ilipo bank ya crdb lumumba tumecheza ndani.

Jf imejaa zero brain sio great thinker anymore
 
Mimi Nina akili zangu nashuhudia propaganda fanya wewe,kila mtu abaki na akili zake.Umeona nimeshika msahafu hapa.
Weka kila propaganda from Israel tuchambue moja baada ya nyingine tuone nani muongo na mueneza chuki na uzushi...

Najua huna la kuleta zaidi ya blah blah uonekane umetoa thread ya chuki uungwe mkono na watumwa wa Iblisi Allah
 
Kwa miaka mingi wamekua wakiishi kwa propaganda, kuonesha wao ni special sana na kuonesha wao ni "Victims". Blaming everything and ashamed with nothing.

Wame exadurate maafa ya WWII as if hakuna binadamu wengine wamekufa, zaidi ya wakristo mil. 60 waliuwawa, ila hawa hawasemwi. Like nothing happened to them.

Sasa chaja kizazi ambacho kina reason na ku question, kizazi kinachotaka ukweli.

Wamekua wakitumia censorship ya mitandao na vitisho vya kiuchumi, ila sasa havina muda.

Kwa sasa ni kawaida watu ku Question the authenticity of Holocaust number, which it wasn't in the past.

Asset pekee walionayo ni kundi dogo wakristo hasa Africa wanaoamin, " Israels are choosen people " , " The now Israel is what in the Bible", " If you curse israel you will be cursed" And of course, the one group that hate Muslims to the core.

Zaidi ya hapo, ni suala la muda tu, Israel itakua kituko cha dunia kwa maana propaganda zao hazifanyi kazi tena.

Zionists are the cancer of the world. We need the world of free from apartheid. No choosen one,no super race, non of that.
And that is coming,

So, if you are Zionists or Zionist sympathizer, I have a message for you, you either adapt, or adopted.
Huu ndo ushuzi gani wewe, ungechagua basi lugha moja ya kuandika!
 
Weka kila propaganda from Israel tuchambue moja baada ya nyingine tuone nani muongo na mueneza chuki na uzushi...

Najua huna la kuleta zaidi ya blah blah uonekane umetoa thread ya chuki uungwe mkono na watumwa wa Iblisi Allah
Sawa mwandishi wa bibilia,wewe ni Allah Allah,Israel na Allah wapi wapi na wapi,Wazungu wamepora ardhi ya wapalestina Basi,porojo za kidini tafuta watumwa wa kidini wa kujadili nao.
 
Back
Top Bottom