Protesters block roads at Namanga over repatriation

Protesters block roads at Namanga over repatriation

Enyewe umeongea kama wendawazimu 20 akili zao zikiwekwa pamoja...
Magu anawanyorosha katenga around $450 mln nyingine za reli ukiacha ya Mchina. Naiona reli ya kati ikifika Kampala, Kigali na Bujumbura kabla yenu haijafika Malaba naskia UK kuskia hilo kapeleka yake Naivasha kwenye shamba lake. Hizi bangi nyingine...[emoji15]
 
Hawa wakenya, hawamjui Magufuli huwa hajiulizi mara mbili huyu..... Sasa wacha waharibu sehemu zake potential za Mapato. Atawasomesha namba.
 
Mnawakumbuka waliofukuzwa Msumbiji.. Magu aliwaambia neno moja yaani unatoka Kanda ya ziwa unaenda kutafuta mali msumbiji???? Sasa kama watz wake anawaambia hivo leo hii mkenya sidhani kama Mtukufu Rais ataelewa.
 
Huwa hatishwi huyu baba.... Na mkianza kuwaonea watz atakuja kuwachukua mara moja
 
Akili zao za bangi zimewatuma kuharibu transformer ni kama kumpiga chura teke maana ata-connect umeme wa Arusha na Namanga. Walizuia tour vans tuka-institute KIA expansion na Aircraft acquisition.
 
Ila inafaa ujue kuna Watz Kenya, Kama yeye ataendelea hivyo nasi huku tufanye hivyo, hizi nchi mbili watu wake watakuaje??
Mkifanya hivyo sawa tu
maana hakuna mtu kamtuma kwenda kuishi kenya bila vibali
 
wewe pia unapenda kujipendekeza kwa watanzania sana ,sasa huungi mkono kitendo cha wakenya sasa watanzania walifanya vizuri tushangilie? ama hakuna watanzania hapa Kenya bila sitakabadi? washawahi fukuzwa?
hakuna mkenya ako interested na kuoa mtanzania labda wewe!! an enemy to any Kenyan is my enemy na hatutabembelezana na hawa takataka ,mavi ya kuku shenzi sana

Pole sana
wangelikuwa Mavi Msinge lialia
 
Sijaona tofauti ya ulichokiandika na nilichokiandika, siku zote mawazo yenye hekima kuu hupingwa, ni ubinadamu wetu huu. Nilichokupinga ni suluhisho tu ulilolitoa. Kwamba tuishi kwa kujihami ktk mataifa yetu, kwanza hofu tu ni chanzo kikuu cha maafa.

Nimekwambia hadi sasa hakuna taifa kamili, liitwalo Kenya wala Tanzania nje ya sheria na mipaka na majeshi, dola. Yote ndo kwanza yanajenga misingi yake, nyumba bado kabisa.

Kuna mengi yanayoendelea ktk mataifa haya yanayohatarisha huu utaifa. Tanzania, kuna udini, ukanda, bara na visiwa vyake nk.

Wenye hekima walishayaona haya tangu miaka ya 60, wakahitaji utaifa wa kiafrika. Taifa moja la Afrika. Tutawafukuza wakenya, tukimaliza, wamalawi, wakongo nk. Tukishawamaliza, tutajiuliza kwani sisi ni wamoja? Jibu ni hapana, tutafukuzana wenyewe, JK Nyerere.

Hilo la kujilinda siku zote ni muhimu, hapo ndio tunatofautiana mimi na wewe. Siwezi kuishi kwenye nchi ya kwenu hiyo isiyotabirika bila kuwa tayari kwa lolote. Eti kwamba niishi na wanangu kwa kujiachia na kuwaweka wahisi kuwa wao Watanzania hata kama mke Mtanzania, maana ipo siku mtakuturupuka.

Mfano hai ni taarifa za hii habari kwamba hao mliowafurusha kinyama hata baada ya wao kuishi Tanzania kabla haijapata uhuru, hivyo ina maana walizaliwa Tanzania na wameishi zaidi ya miaka 50, kwa kuwashtukiza kihivyo na kuwarusha nje inaonyesha mihemko ya chuki isiyokua na mantiki kwa Mwafrika mwenzio.
Kule Kagera nilisoma sehemu mlikua mnawafurusha hata Watanzania wenu wenyewe, maana operation inaendeshwa kwa chuki, hivyo jamaa wanakosa muda wa kutumia mantiki.

Nchi yoyote isiyotabirika kwamba viongozi wake wataibuka na lipi kesho, watatoa matamko gani kesho kutwa, kama ilivyo sasa kule kwa Trump, inakua lazima uishi mkao wa kujilinda, kwamba likitokea la kutokea tayari ulikua umeliona na umejiandaa. Wahindi wengi huishi hivyo kwenye nchi za Kiafrika tangu enzi za Id Amin.

Japo nakubaliana na wewe kwenye hilo la ukianza ubaguzi, hautakoma. Utamtafuna huyu leo kesho umfuate yule na kabla hujatulia ujikute unawatafuna hata watoto wako.
 
Hilo la kujilinda siku zote ni muhimu, hapo ndio tunatofautiana mimi na wewe. Siwezi kuishi kwenye nchi ya kwenu hiyo isiyotabirika bila kuwa tayari kwa lolote. Eti kwamba niishi na wanangu kwa kujiachia na kuwaweka wahisi kuwa wao Watanzania hata kama mke Mtanzania, maana ipo siku mtakuturupuka.

Mfano hai ni taarifa za hii habari kwamba hao mliowafurusha kinyama hata baada ya wao kuishi Tanzania kabla haijapata uhuru, hivyo ina maana walizaliwa Tanzania na wameishi zaidi ya miaka 50, kwa kuwashtukiza kihivyo na kuwarusha nje inaonyesha mihemko ya chuki isiyokua na mantiki kwa Mwafrika mwenzio.
Kule Kagera nilisoma sehemu mlikua mnawafurusha hata Watanzania wenu wenyewe, maana operation inaendeshwa kwa chuki, hivyo jamaa wanakosa muda wa kutumia mantiki.

Nchi yoyote isiyotabirika kwamba viongozi wake wataibuka na lipi kesho, watatoa matamko gani kesho kutwa, kama ilivyo sasa kule kwa Trump, inakua lazima uishi mkao wa kujilinda, kwamba likitokea la kutokea tayari ulikua umeliona na umejiandaa. Wahindi wengi huishi hivyo kwenye nchi za Kiafrika tangu enzi za Id Amin.

Japo nakubaliana na wewe kwenye hilo la ukianza ubaguzi, hautakoma. Utamtafuna huyu leo kesho umfuate yule na kabla hujatulia ujikute unawatafuna hata watoto wako.

Hivi ule ukuta wenu wa kuzuia Wasomali wasiingie Kenya umefikia wapi?
 
Hivi ule ukuta wenu wa kuzuia Wasomali wasiingie Kenya umefikia wapi?

Wasomali hawazuiwi kuingia Kenya na hawajawahi kuzuiwa, kwanza wamewekeza sana na kama taifa tunanufaika na uwekezaji wao na tumetangamana nao vyema. Pia kuna zaidi ya Wasomali 900,000 ambao ni raia wa Kenya kabisa.

Sababu za ujenzi wa ukuta unaufahamu, sina haja kuhangaika kueleza maana kama kawaida umejitoa ufahamu.
 
Wasomali hawazuiwi kuingia Kenya na hawajawahi kuzuiwa, kwanza wamewekeza sana na kama taifa tunanufaika na uwekezaji wao na tumetangamana nao vyema. Pia kuna zaidi ya Wasomali 900,000 ambao ni raia wa Kenya kabisa.

Sababu za ujenzi wa ukuta unaufahamu, sina haja kuhangaika kueleza maana kama kawaida umejitoa ufahamu.

Na hizo ndio miongoni mwa sababu zinazofanya Tanzania tudhibiti uhamiaji haramu.
 
Sasa mkiendelea hivi ni watanzania ndio wataumia tu.. That day wakenya watachoshwa na ujinga yenu utaskia kila mtanzania awe nani atarudishwa kwao... Kwa sababu near the border watanzania wanaruhusiwa kuingia Kenya kufanya biashara zao wengine hata wanaamua kuishi hapo.... Hakuna anayewasumbua... Sijui mbona all of a sudden mmegeuka mkawa kama wanyama..... The only solution nikufunga border.. Kuzuia magari za watalii kuingia Kenya na any kind of trade... An nakumbuka we did that once an hamkupenda
 
Acha nikukumbushe la historia kidogo........kuna wakati uhusiano kati ya Kenya na Tanzania ilikuwa mbaya, hatukuwa tunategemyana kwa lolote, lakini uchumi wa Kenya iliendelea vizuri kushinda ya Tz. Tuliwategemea kwa lipi?

Ati halafu Tanzania inaweza kuamua nani awe rais wa Kenya.....how? See the dolt!
Uchumi wa Kenya ulikuwa mzuri? Mwaka upi huo? Ikumbuke vyema historia yenu na ya East Afrika ndugu. Kenya ilikuwa chini ya settler economy wkt Tz ilikuwa ni ya plantation economy, wazijua tofauti ya chumi hizo kwa jamii kiuchumi na kijamii?

1977 EAC inavunjika, unayajua yaliyojili hapo? Yameathirije chumi za mataifa husika haswa Tz na Kenya? Kenya imekuwa kiuchumi huu wa kisasa, zaidi ni enzi za Mwai na wala si Moi, je ktk vipindi hivyo, ni kipi hizi nchi zilikuwa na mahusiano mabovu?

Hivi huwa mnajiuliza, kwanini Watz hawawaamini wakenya? Rudi tena ktk historia. Haswa kuanzia na lile lililokuwa likiitwa EAC. Labda huko hamfundishwi, kwetu ilikuwa ni sehemu ya mtaala mashuleni, kila mtz anayajua vyema yote yaliyojiri.

Kuhusu kumweka raisi, hili liko wazi sana. Kwanza hamko wamoja saana. Lakini pia hiyo ni sifa ya hili taifa kubwa kimkakati na kidiplomasia Afrika. Yatafute yale yaliyowazi na yaliyojificha ktk mikakati mbalimbali ktk tawala mbalimbali za awamu zote Afrika.
 
Sasa mkiendelea hivi ni watanzania ndio wataumia tu.. That day wakenya watachoshwa na ujinga yenu utaskia kila mtanzania awe nani atarudishwa kwao... Kwa sababu near the border watanzania wanaruhusiwa kuingia Kenya kufanya biashara zao wengine hata wanaamua kuishi hapo.... Hakuna anayewasumbua... Sijui mbona all of a sudden mmegeuka mkawa kama wanyama..... The only solution nikufunga border.. Kuzuia magari za watalii kuingia Kenya na any kind of trade... An nakumbuka we did that once an hamkupenda
Kikubwa unachotakiwa kukikubali, kwa kuwa ni cha kweli ni kwamba border ikifungwa ni Kenya ndo itakayoathirika zaidi si sisi. Tz inajitegemea zaidi hata kwa soko lake imara la ndani na nje. Ninyi wapi mnalo, Somalia au South Sudan, au Ethiopia?

Kila raia akirejea kwake, ni muda tu utakao amua lini Kenya kunuke. Wengi wako huku kuliko wetu walioko huko, ombaomba wetu huko warejesheni huku mvua zinanyesha na ardhi kubwa iko wazi, warudi tu.
 
Kilichowakumba waeritrea kinawangoja mshangilieni tu tingatinga wenu,yetu macho tu!Kudadeki!Katiba yenu mliiandika kwa penseli nini?
 
You guy's, inaonekana mnasubiri ugali kwa wazazi wenu cha kujadili nyie.
Let me tell you we all need each other more than ever before, simama namanga masaa 2 uone watu wanaovuka kwenda kenya and vice versa hao ni wafanyabiashara nyie mmekaa mbagala na kibera mnajadili upuuzi, shame on you!!
Tunataka mipaka ifunguliwe tuoane tufanye biashara maisha yawe mazuri . Kwangu awe mrwanda, mkenya mtanzania ni ndugu. Hii mipaka ya wakoloni haina maana, masai wa kajiado na wa longindo wanatofauti gani?
Hatutaki watu watugawanye sisi tuendelee na biashara. Long live east Africa.
 
Kilichowakumba waeritrea kinawangoja mshangilieni tu tingatinga wenu,yetu macho tu!Kudadeki!Katiba yenu mliiandika kwa penseli nini?
Kwani katiba ndo kitu gani Mkuu! Mi nijuavyo katiba hata haitungwi. Iko tu ktk jamii inaishi kwa kadri ya jamii iishivyo, hapa wala si lazima hata iandikwe, ipo tu ktk jamii.
 
You guy's, inaonekana mnasubiri ugali kwa wazazi wenu cha kujadili nyie.
Let me tell you we all need each other more than ever before, simama namanga masaa 2 uone watu wanaovuka kwenda kenya and vice versa hao ni wafanyabiashara nyie mmekaa mbagala na kibera mnajadili upuuzi, shame on you!!
Tunataka mipaka ifunguliwe tuoane tufanye biashara maisha yawe mazuri . Kwangu awe mrwanda, mkenya mtanzania ni ndugu. Hii mipaka ya wakoloni haina maana, masai wa kajiado na wa longindo wanatofauti gani?
Hatutaki watu watugawanye sisi tuendelee na biashara. Long live east Africa.
Mi huwa naumia sana na huu utaifa fake wa kikoloni unavyoshamiri, nadhani hatuwezi tena kurudi nyuma na kuanza upya. Msomali kukatisha tu Tanzania ili afike taifa lingine la kiafrika, South, analazimika abebwe kama mihogo na kufika ni kwa bahati tu anaweza akafia njiani.

Ila tusilipinge wala kuyalaumu haya yanayotokea, lazima tu yangetimia. Yalishanenwa hivyo na ni kanuni ya ASILI tu. Msipoungana mtatengana.

Nayaona mengi mabaya zaidi mbeleni hata kuyazidi haya, utaifa. Tanzania nasi sasa tunahubiri utaifa zaidi ya uafrika, sidhani kama hata kuna mtaala huko mashuleni unaosisitiza udugu na umoja wa kiafrika. Tumesukumwa huko na walio na maono hafifu.
 
Wasomali hawazuiwi kuingia Kenya na hawajawahi kuzuiwa, kwanza wamewekeza sana na kama taifa tunanufaika na uwekezaji wao na tumetangamana nao vyema. Pia kuna zaidi ya Wasomali 900,000 ambao ni raia wa Kenya kabisa.

Sababu za ujenzi wa ukuta unaufahamu, sina haja kuhangaika kueleza maana kama kawaida umejitoa ufahamu.
Mnawafukuza wale Wasomalia (kwa maelfu) wa Kambi za Ukimbizi. Wengine wao wana watoto wamezaliwa Kenya. Au ndo double standards?
 
Kwani katiba ndo kitu gani Mkuu! Mi nijuavyo katiba hata haitungwi. Iko tu ktk jamii inaishi kwa kadri ya jamii iishivyo, hapa wala si lazima hata iandikwe, ipo tu ktk jamii.
Hivi katiba mliotaka kuiandika upya ni gani?Au bado mnaitafuta kwenye jamii,inapoishi?Acha kuongea pumba jombaa,hapa kuna watu wazima bana!
 
Back
Top Bottom