Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

_UTAJUAJE KAMA DEMU WAKO NI MBAYA???_

*NI PALE UTAKAPOMTAMBULISHA KWA WAZAZI WAKO.*

*KISHA UNASIKIA WANAKWAMBIA......*
*KIKUBWA NI UPENDO TU BABA.*

*KUPENDANA NDO KITU CHA MUHIMU*[emoji23]
 
Pamoja na hilo hatujali [emoji4]
 
Sio kweli mkuu, sema wewe haujakutana nao aiseeeeee.......
Jf kuna visu vya hatari....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Mkuu kwani nia yako ya kujiunga hapa Jf ni nini haswa mpaka inapelekea kuchunguza sura za wadada?
 
Mleta uzi mwenyewe hajui hata kuandika, sasa unampa kazi kubwa tena ya kukusasanya takwimu. Hata takwimu yawezekana hajui ni kitu gani!
[emoji2] huu ndio ule usemi usemao nyani haoni .......[emoji2] [emoji2] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…