Baba musa333
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 423
- 238
Inawezekanaaa ikawa kwl[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko powa my sister sijui kwa wewe vipiHahaaaa. Utadhani ameshawahi kutuona wanawake wote wa jf. Lol
Mzima mdogo wangu?
Aisee mi sijambo mdogo wangu.Niko powa my sister sijui kwa wewe vipi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mahondaw wangu...
She is beautiful words wont bring me down... She's got a new addiction for every day and night...
Though we live a crazy life but she takes away all the pain...
Her lips, her eyes, her heart, her attitude her, She took my heart... Once i had a taste of her i have never been the same she made me go insane about her... now am addicted to my mahondaw...
Cc: mahondaw
Asante my sister na wewe piaAisee mi sijambo mdogo wangu.
Uwe na siku njema.
Hahaha nitakuja kiongozi ni simple sana yan [emoji39]Mkuu njoo pm unielekeze njia ulizitumia kukutana na hao viumbe wa jf.
mm naamini kukutana na kiumbe cha jf ni ngumu sana sababu ya watu kutumia utambulisho feki.unaeza kuta jina la demu lakini kumbe ni kidume kinatumia jina lakike.ebu nipe makinikia yakukutana na viumbe vya jf.
Karibu mkuuHahaha nitakuja kiongozi ni simple sana yan [emoji39]
Sent from my SM-N9200 using JamiiForums mobile app
Daaa jamani mko wapi wakinadada au lisemwalo lipoHahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...
Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....
Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]
JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Kweli yanii tunasura za babu zetu na shepu za simbaa..Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...
Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....
Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]
JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
Tupoo!hahhaa na sura za babu zetu shepu za Simba.Daaa jamani mko wapi wakinadada au lisemwalo lipo
Kwenye topic kama hizi tunazopondwa wenye sura ngumu huwa hupiti mbali hahahaha.HII THREAD YAKO HAITAPATA WACHANGIAJI WENGI MAANA IMEKAA KICHOKOZI ZAIDI MKUU.
JIANDAE KUPIGWA MAWE INBOX.
our purpose is not to reform the people, our purpose is to save the law.....Tangu nimekua joined umu mbaka Leo nimekutana na wanawake 22 wa umu jf kati ya awo watatu tu ndio niliwaona wazuri na sio mimi tu maana ninapokutanaga na msicha mgeni uwa naenda na clue yangu ya mtu kama tatu ivi ili kumuua confidence kabisa mlegwa na kama anafaa ndipo tunaacha na clue yangu ile si tunaendelea na shughuri ambayo imetukutanisha ...
Kwa kigezo iko unaweza pata picha kidogo lakin utafit ukufanyika kwa kigezo icho tu vipo vingi ila iko ndicho no1
Note: Nakutanaga nao katika harakati za business na sio kugegedana [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Am not intersting in love, am interesting in hate.... love makes a man weak but hate makes him strong[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaha mbna kawaida tu mkuuHii thread mbona imeandikwa kwa maumivu sana