Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Sio kwamba atakutana na wale wa upande mwingine bossIkiwa atamtoa Mamelody mbona naona watakutana nusu
Hapana mkutano ni semiSio kwamba atakutana na wale wa upande mwingine boss
Simba na yanga hawawezi kukutana labda fainali, njia ya al ahly na mamelod ni tofautiHapana mkutano ni semi
Ulitwambiaje mkuu? Wewe siulisema tunashinda 3 bila?Mimi niliwambia
Sasa ndio mlikua mnatishana nini?Ulitwambiaje mkuu? Wewe siulisema tunashinda 3 bila?
Mimi niliwambia
Hapo Yanga naona wamepitaTena umeanza na neno PROVED. Hivi kwanini utopolo akili zenu zinayumba sana mnapoongelea timu yenu hahaha
Hapana kitu kama hichoSubirini afrika kusini ndo mtajua hamna kitu ama vipi