PSSSF Dodoma mama yangu akifa kwa uzembe wa staff wenu hakika jiandaeni kupokea maiti ofisini

PSSSF Dodoma mama yangu akifa kwa uzembe wa staff wenu hakika jiandaeni kupokea maiti ofisini

Pole sana, endelea kukomaa utaipata haki yako. Usitoe uhai wa mtu kisa, utaharibu sio wako tu bali hata wa wengine wanaokutegemea.
Kwanza umeweka namba yako ya PSSSF, kwa maana nyingine unajulikana ni nani, hivyo rahisi kutuhumiwa ikitokea hata mfanyakazi anayekuhudumia akipatwa na mabaya yenye mlengo wa malalamiko yako.

Pole sana. Komaa utafanikiwa tu. Nilichogundua mambo ya nchi hii yanahitaji kuyumia nguvu kubwa. Ukiwa lelemama utapoteza kila kitu
Sijasema namdhuru mtu, nimesema mama akipoteza maisha nitawapelekea mwili wake ofisini wafurahi
 
Nchi ngumu Sana hii yaani hakuna pa afadhali sio waajiriwa wala wafanyabiashara.
Pole Sana mkuu
 
Mimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya uanachama ni maiti yake mkae nayo ili mioyo yenu ifurahi matokeo ya mateso mnayotupa wanyonge tusio nawatu wakutusimamia.
Daah pole sana mkuu lakinj usifikie hatua hiyo ya kukufuru Mungu ...kikubwa ni kuzidi kuvumilia na kumkabidhi Mwenyezi Mungu hili swala naamini atafanya wepesi...lakini pia hii taarifa naamin kwakua umetumia JF kuwasilisha hili basi wahusika wataliona kwa wakati...
 
Mimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya ifurahi matokeo ya mateso mnayotupa wanyonge tusio nawatu wakutusimamia.
Daa, hii imeniuma Sana, watumishi wengi wa hii mifuko, ni mabumunda watupu, tena ukikuta wanawake, hovyo kabisa.

Nilienda, nssf Dodoma, kuchek salio, Sina kadi, Ila Nina namba, Dada wa kwanza akaniambia, atanichekia, ili mradi nimuonyeshe kitambulisho kingine chochote nikasema poa, ghafla akaitwa na boss, akamuqmbia mwenzie anihudumie, balaaa!

Huyo mwingine, akaanza lazima niwe na NiDA, au kadi ya mpiga kura,nikamuambia Dada check kitambulisho change(kutoka taasisi nyeti kuliko hata ikulu ya Samia, au TISS) wapi li Dada likagoma, linavuta pua tu!
 
  • Mshangao
Reactions: K11
Daah haya maisha tunajisahau kama sote tunapita, kuna wanaojigeuza miungu watu kisa yuko ofisi x au ana uhakika wa mboga 3.

Mungu aturehemu na kutujalia hekima, busara na maarifa ya kuenenda katika haki, upendo na utu.
 
Mkuu polee sana ,kiufupi mabank na na taasisi za kiserikali zinazotakiwa kuhudumia wananchi wao hakikaa zimegeukaa mateso mtupuuu..

Niliendaa na b mkubwa crdb kapararazi mikono aiseee ety yule dada mtoa Hela za mwisho anamlazimisha asaini ingali tumebadilishaa kwa mwanasheria kbs awe anasaini Kwa kidole gumba na trtb zt zimefanyika wkt wakutoa Hela yetu dada anagomaa aiseeee na nilitakiwa tupate hyo Hela tuelekee hospital hapo b mkubwa yupo hoi ,,,,aiseeee nilitaman yule dada cjui nimfanyajeee....changamoto n kubwa sana Kwenye taasisi zetu
 
Mimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya uanachamaama yangu zaidi ya kusubili muujiza maana dawa anazotumia sitaweza kumudu najua huo mwezi hatafika hivyo nitawaleteeni maiti yake mkae nayo ili mioyo yenu ifurahi matokeo ya mateso mnayotupa wanyonge tusio nawatu wakutusimamia.
Daah
 
Kwamba unawaambia watu au system
Pole kwa maswahibu. Mungu awasimamie
 
Pole sana mkuu 😢
Kwa kweli karaha tunazopitia kwenye hii nchi, tusipojirekebisha utafika wakati tuanze kulishana "vya moto" kwa sababu ya machungu tunayosababishiana.
 
Nchi yetu ina janga la watu kutokuwa makini kwa mambo yote halafu ukiwaambia wanakuwa wabishi kweli kweli. Hili la kukosea jina, jinsia au mambo kama ya huyo aliyekosea benki ni jambo la kawaida sana na itashangaza kama fomu yoyote itapita bila kuwa na kosa. Siyo hivyo tu hata kuandika nako ni shida! Na wewe uko kwenye hilo hilo fungu. Sasa ''kusubili'' ndiyo nini? Anyways, pole ila huyo mwanamke aliyekufanyia hivyo ni kuwapeleka mahakamani kwa sababu hajali.
"Anyways", acha kuiga, "anyway" huwa haina wingi.
 
Kwani PSSSF sio ajira za serikali za kudumu
Au ulimaanisha NSSF?
Use common sense;
●Kazi ya serikali haiwezi kuisha?
●Kwa hiyo na ile form ilitakiwa wa NSSSF?
 
Nchi yetu ina janga la watu kutokuwa makini kwa mambo yote halafu ukiwaambia wanakuwa wabishi kweli kweli. Hili la kukosea jina, jinsia au mambo kama ya huyo aliyekosea benki ni jambo la kawaida sana na itashangaza kama fomu yoyote itapita bila kuwa na kosa. Siyo hivyo tu hata kuandika nako ni shida! Na wewe uko kwenye hilo hilo fungu. Sasa ''kusubili'' ndiyo nini? Anyways, pole ila huyo mwanamke aliyekufanyia hivyo ni kuwapeleka mahakamani kwa sababu hajali.
Anyways ndiyo ni nini?
 
Back
Top Bottom