PSSSF Dodoma mama yangu akifa kwa uzembe wa staff wenu hakika jiandaeni kupokea maiti ofisini

PSSSF Dodoma mama yangu akifa kwa uzembe wa staff wenu hakika jiandaeni kupokea maiti ofisini

Shukuru Mungu ww umekosa ajira mwaka jana na umelipwa mm toka 2021 siko kazin nmefatilia mafao yangu mpka nshachoka kuwasiliana nao kila nkipga naambiwa jalada lko uhasibu zaid ya mwaka sasa sijapatiiw haki yangu kiukwel nawapa ad tarehe 30 mwez huu naend na Petrol ofisin kwao kitakacho tokea uko naamn nchi nzma itatambua nini kinaendelea kwa ma jobles na haki zetu zilizoko uko kwao watu wanajibu smple tu piga ijumaa na iyo n jtatu ijumaa ikifika wanakwambia piga juma tano sasa nmechoka
 

Attachments

  • Screenshot_20240625-223450.png
    Screenshot_20240625-223450.png
    107.9 KB · Views: 4
Ukipeleka maiti ndio atafufuka au,ulipokuwa ofisini ukashindwa kupiga dili hata kilimo,ufugaji,hata biashara ,pambana beba zege umtibu bi mkubwa
Haika kaja kujbu na pua zake vent za godaun
 
Kwani PSSSF sio ajira za serikali za kudumu
Au ulimaanisha NSSF?
Kuna baadhi ya mashirika (NGO)wanafanya kazi na serikali kwenye halmashauri hasa upande wa afya. Mfano shirika la Mdh linawafanyakazi kwenye halmashauri na ajira zao ni za mikataba na mwajiri anakuwa Mkurugenzi kama tu ilivyo kwa watumishi wa serikali japo Hilo shirika ndiye mlipaji wa mishahara na stahiki zote za mtumishi husika. ila wao sasa ni kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi miwili....... hivyo basi kuna wanaoangukia kwenye fao la kujitoa Psssf kwasbabu wapo private kwa kivuli Cha serikali kwasbabu michango yao inapelekwa mfuko wa Psssf na SI Nssf! Siyo mwandishi mzuri natumai imeelewaka japo kwa uchache
 
Back
Top Bottom