Sijasema namdhuru mtu, nimesema mama akipoteza maisha nitawapelekea mwili wake ofisini wafurahiPole sana, endelea kukomaa utaipata haki yako. Usitoe uhai wa mtu kisa, utaharibu sio wako tu bali hata wa wengine wanaokutegemea.
Kwanza umeweka namba yako ya PSSSF, kwa maana nyingine unajulikana ni nani, hivyo rahisi kutuhumiwa ikitokea hata mfanyakazi anayekuhudumia akipatwa na mabaya yenye mlengo wa malalamiko yako.
Pole sana. Komaa utafanikiwa tu. Nilichogundua mambo ya nchi hii yanahitaji kuyumia nguvu kubwa. Ukiwa lelemama utapoteza kila kitu
Daah pole sana mkuu lakinj usifikie hatua hiyo ya kukufuru Mungu ...kikubwa ni kuzidi kuvumilia na kumkabidhi Mwenyezi Mungu hili swala naamini atafanya wepesi...lakini pia hii taarifa naamin kwakua umetumia JF kuwasilisha hili basi wahusika wataliona kwa wakati...Mimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya uanachama ni maiti yake mkae nayo ili mioyo yenu ifurahi matokeo ya mateso mnayotupa wanyonge tusio nawatu wakutusimamia.
Daa, hii imeniuma Sana, watumishi wengi wa hii mifuko, ni mabumunda watupu, tena ukikuta wanawake, hovyo kabisa.Mimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya ifurahi matokeo ya mateso mnayotupa wanyonge tusio nawatu wakutusimamia.
Sawa hapo nimekuelewa mkuu.sijasema namdhuru mtu, nimesema mama akipoteza maisha nitawapelekea mwili wake ofisini wafurahi
You must be misunderstood the concept...Kwani PSSSF sio ajira za serikali za kudumu
Au ulimaanisha NSSF?
No..... fao la kukosa ajira hua wanalipa kiasi chote ulicho changiaKikokotoooo.....watakupa 33% tu....zingine hata hutajua utapata lini
DaahMimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya uanachamaama yangu zaidi ya kusubili muujiza maana dawa anazotumia sitaweza kumudu najua huo mwezi hatafika hivyo nitawaleteeni maiti yake mkae nayo ili mioyo yenu ifurahi matokeo ya mateso mnayotupa wanyonge tusio nawatu wakutusimamia.
Tumwombee Mama apone kwanza, hayo mengine yatakaa sawa tu mkuu.Mimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya uanachama
"Anyways", acha kuiga, "anyway" huwa haina wingi.Nchi yetu ina janga la watu kutokuwa makini kwa mambo yote halafu ukiwaambia wanakuwa wabishi kweli kweli. Hili la kukosea jina, jinsia au mambo kama ya huyo aliyekosea benki ni jambo la kawaida sana na itashangaza kama fomu yoyote itapita bila kuwa na kosa. Siyo hivyo tu hata kuandika nako ni shida! Na wewe uko kwenye hilo hilo fungu. Sasa ''kusubili'' ndiyo nini? Anyways, pole ila huyo mwanamke aliyekufanyia hivyo ni kuwapeleka mahakamani kwa sababu hajali.
Use common sense;Kwani PSSSF sio ajira za serikali za kudumu
Au ulimaanisha NSSF?
PSSSF na wenzake ni moja ya mashirika ya kitapeli.
Anyways ndiyo ni nini?Nchi yetu ina janga la watu kutokuwa makini kwa mambo yote halafu ukiwaambia wanakuwa wabishi kweli kweli. Hili la kukosea jina, jinsia au mambo kama ya huyo aliyekosea benki ni jambo la kawaida sana na itashangaza kama fomu yoyote itapita bila kuwa na kosa. Siyo hivyo tu hata kuandika nako ni shida! Na wewe uko kwenye hilo hilo fungu. Sasa ''kusubili'' ndiyo nini? Anyways, pole ila huyo mwanamke aliyekufanyia hivyo ni kuwapeleka mahakamani kwa sababu hajali.