Kumbe ni vigumu kuwafukuzeni kazi ndiyo maana mnafanya mnavyotaka kwenye hizo afisi mlizokabidhiwa dhamana kama anavyofanya huyo kisirani aika wa PSSSF?Sio mchezo mpaka gavoo wakule kichwa basi utakuwa umezingua parefu.
Pia pole sana mkuu, yaani haki yako ila unapambana kama unatafuta hisani, mbaya sana.
Mkuu hujasoma kuelewa, umesema kwa ajili ya kujibu tu. Pia wengine ajira za serikali mpaka tushakata tamaa, tuna miaka kibao tu tushaomba sana na hatujawahi fanikiwa. Nimeongelea kwa uelewa wangu tuKumbe ni vigumu kuwafukuzeni kazi ndiyo maana mnafanya mnavyotaka kwenye hizo afisi mlizokabidhiwa dhamana kama anavyofanya huyo kisirani aika wa PSSSF?
Tendeni haki kila kitu ni wito tendeni kwa huruma hata ikiwa mnataka hela isiwe kipaumbele chenu hela ije baada ya utu mbona kuna wengine ukiwanyooshea mambo yao wanakukunjia kidogo wanakupa?na hata asipokupa siyo dhambi ni chake lakini wewe unakuwa umeshavuna baraka zako.
Google!Anyways ndiyo ni nini?
Kwamba umeshindwa hata kusoma "Attached documents, AU?"Kwani PSSSF sio ajira za serikali za kudumu
Au ulimaanisha NSSF?
Hayo achana nayo.Pole Mzee, ulizingua Nini ukaliwa kichwa gavoo?
Sawasawa mkuu,imeeleweka.Mkuu hujasoma kuelewa, umesema kwa ajili ya kujibu tu. Pia wengine ajira za serikali mpaka tushakata tamaa, tuna miaka kibao tu tushaomba sana na hatujawahi fanikiwa. Nimeongelea kwa uelewa wangu tu
Ukipeleka maiti ndio atafufuka au,ulipokuwa ofisini ukashindwa kupiga dili hata kilimo,ufugaji,hata biashara ,pambana beba zege umtibu bi mkubwasijasema namdhuru mtu, nimesema mama akipoteza maisha nitawapelekea mwili wake ofisini wafurahi
Swali zuri, Ila limekutana na watukanaji, tuzoee, ndio JF ya kizazi kipyaKwani PSSSF sio ajira za serikali za kudumu
Au ulimaanisha NSSF?
Mngeomba kuonana na wakubwa wake Kama meneja wa tawi.Mkuu polee sana ,kiufupi mabank na na taasisi za kiserikali zinazotakiwa kuhudumia wananchi wao hakikaa zimegeukaa mateso mtupuuu..
Niliendaa na b mkubwa crdb kapararazi mikono aiseee ety yule dada mtoa Hela za mwisho anamlazimisha asaini ingali tumebadilishaa kwa mwanasheria kbs awe anasaini Kwa kidole gumba na trtb zt zimefanyika wkt wakutoa Hela yetu dada anagomaa aiseeee na nilitakiwa tupate hyo Hela tuelekee hospital hapo b mkubwa yupo hoi ,,,,aiseeee nilitaman yule dada cjui nimfanyajeee....changamoto n kubwa sana Kwenye taasisi zetu
Pole sana mkuuMimi ni mwanachacha wa mfuko wa psssf namba ya uanachama