je hiyo wil naituiaje??The power is inside you!, you have to "will" it ili itoke from you na kufanya kazi for you!. Where ther is a will, there is a way!. Kuna mengi ulioamua unayataka na ukayapata!, ukiamua chochote unapata!, mfano kama gari yako ni starlet ila unataka ku drive vogue, una "will" to drive vogue!, "will" ina open up power doors na uwezo wa kumiliki vogue unaingia!.
Pasco.
Pasco kwa nini kila nnapofanya meditation kichwa kinauma sana..?
Bullshit.
Ginning gobbledegook gibberish with hocus-pocus, hoi-polloi hogwash.
Abrasive abracadabra.
Pure manure would be better for sure, at least with it you can fertilize the ground for farming.
Pasco nijibu hili tafadhali
watu wenye uwezo wa kuwa wanakutana na watu au wanaenda mahali na inakuwa kama marudio
wafanyaje kurudisha uwezo huo?
Weak Mind kutokana na hofu unazojijaza.
Jawilat naomba unijibu bandiko langu namba 232 naona Pasco na MziziMkavu hawataki kunijibu.
Hata jana tu nilipokuwa natoka kazini nilijiwa na hisia fuln kwamba njian kuna break down magari hayapiti i didn't give it a second thought nikaipotezea kweli kufika tu mbezi nikakuta folen ya ajabu yaani ajali imetokea kibamba darajani foleni iko mbezi ndipo sasa nikajisema mbona niliona hili kabla?? lkn kwann sikufanya utaratibu labda hata wa kubadili njia?? nilijuta sana sasa huu ni uwezo gani ama ni nguvu gani?? je sio pepo??
Asante kwa mwaliko!, naona kama hii ni biashara fulani!. Wale waalimu wa ukweli, hata siku moja hawatozi hata senti tano kutoa mafunzo, bali ukiisha fanikiwa ndio utapeleka asante wewe mwenyewe kwa kadri unavyojisikia!.
Hata wale waganga wa kiasili wa ukweli, hawatozi hata senti tano!, ila ukifanikiwa, ndipo utarudi mwenyewe kushukuru!.
Tunapoanza kuwekeana viingilio kwenye mambo ya kiroho, hii sasa sio imani tena ni biashara!.
Wenye interest na meditation jijini Dar es Salaam, mafunzo yanatolewa bure
Mafunzo ya Meditation Bure. Ni Kupitia Brahima ... - JamiiForums
Pasco.
Mkuu wasiliana na madaktari wa Mirembe hosp. They might have an answer to this.
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers
Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo
Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno
Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu
Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness
Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
Like Like
Pure abracadabra