Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

mkuu Pasco wameua uzi maswali yangu nitauliza humu kwako ..
 
Last edited by a moderator:
Wakati huu, nadhani si vibaya maalim Pasco ukiendelea na kutuelimisha zaidi ...:focus:
 
Hapo nakubaliana na ww mkuu mfano kuhusu suala lakusema unakutana na m2 halaf anakuambia kuwa ndo alikuwa anakuulizia hiyo ilishawahi kunitokea sana pia kuota kitu kabla hakijatokea na kikatokea
Japo inakuja kwabjia tofauti ila inakuwa ni rahisi kuitafsiri
Na swala la kumuangalia m2 usoni na kukusudia kitu kikatokea hilo pia nikweli ila mm ckuwa nahua lolote kuhusu haya mambo
Ila cjajua kuwa nina nguvu ya aina gab
 

duh! Any clue abt those reasons mkuu?
 
Pascoooooo .....!!!:focus:

Maalim Pasco, darasa liendelee .. Tafadhali :director:

Wakati huu, nadhani si vibaya maalim Pasco ukiendelea na kutuelimisha zaidi ...:focus:

Labda ukisema wewe atakuelewa nimejaribu kumwomba tuendelee na mada mpaka basi..uzi umezungushwa zungushwa mpaka basi.
Kuna wakati uliingiliwa na washirikina wakaanza kuongea mambo mengine tofauti...kama hiyo haitoshi wakaja wanaodai wanaoujua Ukristu sana nao wakaanza chokonoa na kupindisha uzi hii ikapelekea hata wanaodhihaki ukristu wapate mwanya wa kuongea dhihaka zao sasa naona hata wasiohamini uwepo wa Mungu wameanza kujisogeza taratibu taratibu kutuvulugia uzi
Pasco darasa liendelee kaka
 

Hilo nalo tatizo kwa wale wanao amini "YESU NI MUNGU" naomba nijibiwe hili,kama yesu ni mungu yesu huwa anamsalia nani,I meant alikua anaomba kwa nani?
Sijui nimeeleweka
 
Hilo nalo tatizo kwa wale wanao amini "YESU NI MUNGU" naomba nijibiwe hili,kama yesu ni mungu yesu huwa anamsalia nani,I meant alikua anaomba kwa nani?
Sijui nimeeleweka

Wewe nawe ni wa wapi ? Mmeshaambiwa, kama mna maswali kuhusu dini, nendeni kwenye jukwaa la dini mkajadiliane huko, wenzio wote wameshaenda huko, so na wewe timua zako haraka ....Ebo !!! :boxing:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…