Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

mkuu Pasco wameua uzi maswali yangu nitauliza humu kwako ..
 
Last edited by a moderator:
Wakati huu, nadhani si vibaya maalim Pasco ukiendelea na kutuelimisha zaidi ...:focus:
 
Hapo nakubaliana na ww mkuu mfano kuhusu suala lakusema unakutana na m2 halaf anakuambia kuwa ndo alikuwa anakuulizia hiyo ilishawahi kunitokea sana pia kuota kitu kabla hakijatokea na kikatokea
Japo inakuja kwabjia tofauti ila inakuwa ni rahisi kuitafsiri
Na swala la kumuangalia m2 usoni na kukusudia kitu kikatokea hilo pia nikweli ila mm ckuwa nahua lolote kuhusu haya mambo
Ila cjajua kuwa nina nguvu ya aina gab
 
Mkuu Nabihili, everything happens for a reason!. Kitu kingine kuhusu Mungu ambacho hakikusemwa, anazo all the knowledges zote hivyo chochote kinachopangwa anakiona na anauwezo wa kukizuia, ila kuna vitu anaviacha for a reason!.

Tangu Malaika Lusiferi akipanga uasi Mungu aliona na hakuzuia for a reason.
Alipotekeleza uasi ule Mungu aliona na alikuwa na uwezo wa kuzuia lakini hakuzuia for a reason.
Shetani alivyojigeuza nyoka akapenye Bustanini Mungu aliona lakini aliacha for a reason.
Eva alivyodanganywa Mungu aliona na akaacha for a reason.
Yesu alipojaribiwa, kusulubiwa hadi kufa kifo cha aibu msalabani, Mungu alijua yote, aliona yote na angeweza kuzuia yote lakini anaacha for a reason!.
Maovu yote shetani anayoyafanya, Mungu anaona, anaweza kuzuia lakini anaacha for a reason!.
Ukifanya utafiti wako mwenywe wa the reasons behind, we may sail the same boat!.
Pasco.

duh! Any clue abt those reasons mkuu?
 
Pascoooooo .....!!!:focus:

Maalim Pasco, darasa liendelee .. Tafadhali :director:

Wakati huu, nadhani si vibaya maalim Pasco ukiendelea na kutuelimisha zaidi ...:focus:

Labda ukisema wewe atakuelewa nimejaribu kumwomba tuendelee na mada mpaka basi..uzi umezungushwa zungushwa mpaka basi.
Kuna wakati uliingiliwa na washirikina wakaanza kuongea mambo mengine tofauti...kama hiyo haitoshi wakaja wanaodai wanaoujua Ukristu sana nao wakaanza chokonoa na kupindisha uzi hii ikapelekea hata wanaodhihaki ukristu wapate mwanya wa kuongea dhihaka zao sasa naona hata wasiohamini uwepo wa Mungu wameanza kujisogeza taratibu taratibu kutuvulugia uzi
Pasco darasa liendelee kaka
 
Mkuu Ntuzu, yanayofaa na yasiofaa ni relative, yanafuata principle za relativity, mfano mimi ni Mkatoliki, mafundisho yanayofaa kwangu ni pamoja na kuvaa rozari, misalaba makanisani kwetu, siku ya Ijumaa Kuu, tunapiga magoti, tunabisu Msalaba, kanisani tunafukiza ubani, na divai kidogo tunaipiga pale madhabahuni etc!.

Kwa mlokole alie zama deep kwenye Biblia, kwake hizo ni ibada za masanamu na kwake ni sawa na kumtumikia shetani tukifikiri ni Mungu!, mtu asiye Mkatoliki hana right ya kumwambia Mkatoliki hayo ni mafundisho yasiofaa!. Wewe just shika lako!.

Mfano sisi Wakristu tunaamini Yesu ni Mungu!, Waislamu wanaamini Mungu wao ni Allah na Mtume wake ni Muhamed (SAW), kwao Yesu sii Mungu!. Wakristu wenye imani kali wanaamini Mungu sio Allah, etc, Mkristu hana haki kumwambia Muislamu kuwa Allah sio Mungu bali ni ... na Muislamu hana haki kumwambia Mkristu Yesu sii Mungu!.
Wewe shika lako unaloamini, after all hapa jf sio nyumba ya ibada, ndio maana wameweka jukwaa maalum la hayo na ukiingia huko hakuna msalie mtume!. Tukutanie kule tumalizane, hapa tuwapishe watu wa practice powers!.
Pascal.

Hilo nalo tatizo kwa wale wanao amini "YESU NI MUNGU" naomba nijibiwe hili,kama yesu ni mungu yesu huwa anamsalia nani,I meant alikua anaomba kwa nani?
Sijui nimeeleweka
 
Hilo nalo tatizo kwa wale wanao amini "YESU NI MUNGU" naomba nijibiwe hili,kama yesu ni mungu yesu huwa anamsalia nani,I meant alikua anaomba kwa nani?
Sijui nimeeleweka

Wewe nawe ni wa wapi ? Mmeshaambiwa, kama mna maswali kuhusu dini, nendeni kwenye jukwaa la dini mkajadiliane huko, wenzio wote wameshaenda huko, so na wewe timua zako haraka ....Ebo !!! :boxing:
 
Back
Top Bottom