Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

mkuu Pasco,
hili ni somo sawa na somo la utambuzi,nimejaribu kusoma na kuelewa,ila ni somo zuri saaana.ila shida ipo kwenye kila m2 anavyotaka kulielewa..kuna mipaka na namna alivyofungwa na mapokeo na imani mazingira na mfumo mzima wa maisha,

haina tofauti na m2 ukimwambia we ukimwona simba adrenal yako ikimwagikka unakimbia kuliko Husen Bolt,ni vi2 ambavyo uwa vinafundishwa mashuleni kwa namna tofauti na hata sayansi inafaham watu wanatofautiana maarifa na uwezo.sio kila kitu kinahitaji ubunifu ila kila kitu kinahitaji jitihada.

Zamani me nimekulia kwa walezi walikuwa hanipi hela ya shule,ila nlikuwa nasema moyoni mwangu nahitaji hela,kuanzia darasa la2 nlikuwa naokota hela sh 200,na ikuwa ni hela kubwa saana kwa maisha ya primary...nlikuwa najiuliza moyoni ni Mungu ananiwekea au ni nn???,

nlipofika darasa la 4 nliumwa saana maralia dawa zama izo zilikuwa asprin na chloroquen...nlikuwa nkinywa asprin mwili unasisimka na baki na ile hali siiku nzima..nliumwa kiasi cha kuwa nakula nkimaliza natapika...nkasema moyoni mwangu inatosha..nkapona kipindi kile toka kipindi icho sijawahi kugusa dawa mpaka leo...nasikia tu zinakuja na kuondoka na kingine sipendi net..nlikuwa na lala na kaka yangu yy anatumia net..me nalala pembeni ya net,ataumwa, me ntalala hapo hapo pembeni na atapona me pembeni na ataumwa tena me wala.

nlipoanza somo lako kuna siku ilitokea kabla sijachukuliwa na usingizi pale napooanza kusinzia in between na unconscious na conscious ya usingizi i felt like naelea kitandani nkishtuka naanguka pale pale kitandani,huwa najaribu kuirudia lakin nalala mpaka asubuhi

juzi hapa kulikuwa na babu yetu anaumwa alianzia nyumbani,baadae muhimbili,kwenye changamoto za maosha sikupata nafasi ya kwenda kumwona..ndugu wote wa nyumba yangu walienda ila nkawa mm..wakija wanasema hali yake ,mbaya saana,me nkawwambia hatakufa mpaka mm niende kumwona,toka nimesema ikapita week ndo nkaenda..nkakuta na ndugu wengine wasema leo ndo afadhali,alikuwa amelala alipoamka akaniona akasema baada ya siku 3 atakufa na kweli baada ya siku 3 alifariki...nlitamani nsingeenda ili siku zake ziendelee kuwepo

kuna vingine vingi vimetokea maishan mwangu ambavyo ni ushuhuda Juu ya Mungu na nguvu alizotuwekea ndani yetu

Kwa uhakika watu wana vipawa na mm huwa nahisi ndani yangu kuna nguvu kubwa zaid ya hii ambayo ipo nimeiona ila siji namna ya kukuikuza to its full potential.
msaada Pasco namna ya kuikuza

regards.
Neo
 
kaka yangu Pasco hivi unajua kuwa
kila mwanadamu ana uungu ndani yake?

Unajua kuwa kila mwanadamu ana uwezo
wa kuumba kitu na kikatokea? watambua
kuwa uwezo huo tunao na tumepewa na
Mungu?

Si jambo la kushangaza kuona mtu akifanya
kitu au akiwa na muujiza wa kufanya kitu
kwani kila mtu ana uwezo wa uungu ndani yake
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Lady Niece, nahisi labda sijakuelewa, hivi wewe ndio unaniuliza mimi kama najua kuwa kila mwanadamu ana Uungu ndani yake?, yaani ni unaniuliza, au ndio unaniambia ili nami nijue kuywa kila binaadamu ana Uungu ndani yake?.
Pasco.
 
Mkuu pasco mwambie huyu ukweli hizi zilikuwa bangi...
Mkuu Naibili, nimeishamweleza zilikuwa bangi zake tuu, ila pia hiyo bangi ilimsaidia ku relax hivyo milango ya powers ikalivuta jagi likaja mkononi akadhani ni mkono ulivutika!.

Ila pia, mmea wa bangi una compounds mbalimbali zaidi ya 400!, ila compounds 5 kati ya hizo ndizo muhimu zinaitwa cannabinoids nazo ni

  1. THC-delta-9-tetrahydrocannibinol hii inatibu kifafa, inaondoa maumivu ya misuli, inaondoa msongo wa mawazo, na ina stumulates appetite ya kula au kufanya!, pia inashusha blood pressure!.
  2. CBD -cannabidiol- inapunguza maumivu, inaondoa uoga, inaongeza uwezo wa kupumua, inatuliza mawazo na inazuia inazuia mshtuko.
  3. CBN-cannabinol- inazuia ugonjwa wa pressure ya jicho, inazuia allegy na kuzuia kifafa.
  4. CBC- cannabichromene inaondoa msongo wa mawazo, inaponyesha alergy na kuponyesha maumivu ya viungo.
  5. CBG -cannabigerol inasaidia relaxation ya kuleta usingizi kwa watu wenye tatizo la kukosa usingizi.

Kwa baadhi ya nchi tiba ya bangi inaruhusiwa ikiwemo Uholanzi.
Pasco
 
Asante Lady, kunijulisha, nilikuwa sijui, ila sasa kupitia wewe nimejua!.
Pasco.

Haaaa Pasco umeridhisha tu..ulikua unajua in facts ndio kiini cha uzi wako huu..toka post #1 unaeleza binadamu ana uwezo wa Uungu ndani yake...tumeumbwa kwa mfano wa Mungu..na mwisho wa uumbaji tukapuliziwa nguvu Yake ndani yetu wanadamu na kutupa uwezo wa kutawala mazingira yanayotuzunguka...correct me if I am wrong...
Mi ni mwanafunzi wako mzuri Pasco nakufatilia kila kukicha..
 
Mkuu Mbeky, niligundua kusoma post ndefu ni issue kwa baadhi yetu humu, hivyo anasoma last post tuu na kuchangia!.
Pasco
 
Mkuu Pasco,umewahi kusikia kitu kinaitwa "soul energies"?umewahi kusikia kitu kinaitwa "energy vampire"?nimesoma mahali kwamba mojawapo ya sababu zinazoleta ongezeko la vitendo vya ubakaji,ulawiti(hasa watoto wadogo wenye energy safi) pamoja na ushoga ni hii imani ya energy vampirerism ambapo watu huamini wanaweza kutransfer soul/life energies za mtu mwingine kwenda kwao ili kupata mafanikio katika maisha kwa kupitia njia maalum kama kubaka,kulawiti n.k kwamba mtu anapokuwa subjected kwenye hali ya hofu kwa njia ya mateso,vitisho,vipigo n.k huwa soul energy zake zinakwenda kuconcetrate katika sehemu "nyeti" na hivyo tendo la kumbaka au kumlawiti at that time under that pressure linamfanya mtendaji kuabsorb her/his soul energies,na kwamba hii ndio elimu waliyonayo wale waganga wanaowaambia watu masharti ya ajabu kama aya ya kulawiti,kubaka wanawake na watoto ili wafanikiwe(hata military personels kama waasi hupenda huu uovu),do you know anything about this?naomba nijitetee mapema kwamba lengo langu kuuliza swali hili ni kujua jambo hili kwa mapana yake na kuifanya jamii iwe aware na sababu zinazopelekea ongezeko la vitendo vya ubakaji,ulawiti na ushoga na hata mambo haya kutumika kama rituals kwenye vyama vya siri vya kichawi na hata kwenye nchi zenye vita tunasikia wanajeshi wakifanya sana vitendo hivi ili tunaposhughulika kupambana na tatizo hili tujue upana wake.Naomba nijitetee mapema kwamba nina nia njema kuleta suala hili hadharani.Sifundishi uchawi wala uovu,bali naibua uovu hadharani ili ujulikane,ukaripiwe na kukomeshwa.Nasema hivi kwa sababu mahala pengi nilipoanzisha mjadala huu,people were so negative kwamba nafundisha uchawi,hata humu JF niliwahi kugusia kwenye mjadala fulani unahusu New world order "cha moto" nikakiona toka kwa jamaa mmoja hivi,alilalamika nafundisha uchawi na kupromote pervasive behaviours,nikajitetea wee,jamaa akaanzisha personal attacks nikaudhika sana,nikasema labda "nimepiga ikulu" ya wakubwa wengi ndio maana napata resistance kubwa hivi,nikasema sizungumzii tena mambo haya,ya nini kukereka,si bora ukae kimya ufurahi nyumbani na mkeo na watoto wako.,ila nilipousoma mjadala wako,nikasema sitatenda haki kwa JF bila kugusia hili suala ili nijue wewe unalifahamuje na utoe maoni yako ila kama utaona hii si sehemu muafaka basi mezea tu usinijibu,au kama wadau hapa hawatapenda basi tuache tuu,kila mtu atajua na nafsi yake huko mbele ya safari ambako binafsi naona giza totoro kwa kweli!yaani hata hapa nina masaa mawili nahangaika kupost haitaki network,dah!
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Psychic is from Satan. Uchawi ulio pewa leseni na Serikali.
 

Nimeziona Pasco. Give me next step
 
Nimeziona Pasco. Give me next step
Milaho, masomo yalikomea hatua la pili. Zipo mpaka hatua 10. Kilichonifanya nisitishe dozi, ni ili kwanza mimi mwenyewe nijiridhishe kuwa I'm doing something good for the people, isije kuwa ni kweli, elimu hii ni ya shetani, hivyo kuwafundisha watu humu isijekuwa matumizi ya powers hizi kwa binadamu ni kazi ya shetani, nitarudi soon nikiisha pata clearance by listening from my self!, the inner voice!.
Pasco
 
Psychic is from Satan. Uchawi ulio pewa leseni na Serikali.
Mkuu Schiendler, sii kweli kuwa "psychic powers" ni nguvu za giza!, hizi ni nguvu za Mungu na alitupa ile siku anatuumba!, ila zinaweza kutumika vizuri kwa kumtumika Mungu kufanya wema, uponyaji, na kuleta mafanikio, au zikatumika vibaya kama kufanya uchawi na kuleta maangamizi, hivyo kumtumikia shetani!.
Pasco.
 
keep it up mkuu pasco naona kuna vitu mimi binafsi nilikuwa naviona vya kawaida kwangu kumbe ni pysichic power kwa mfano hiyo ulioelezea unayo TELEPATHY nadhani pia hata mimi ninayo coz yamekuwa yakinitokea kama wewe lakini pia kuna wakati naweza kumfikiria mtu hata may be tuliachana au tulionana tangu utotoni haiwezi kupita wiki mbili hatujaonana au pia mara nyingi kwa watu ambao hatuna mawasiliano ya karibu kuna kipindi huwa inanitokea nakuwa nahisi nasukumwa kumpigia/kuwapigia simu au hata pengine kuwatext nikifanya ivo tu ATANIAMBIA WEWE NI MCHAWI YAANI MIMI..YAANI TUMETOKA/NIMETOKA KUKUZUNGUMZIA SIKU NZIMA AU MUDA MWINGI

THANX KWA SOMO ZURI LA KUJITAMBUA
AMA KWELI UNAWEZA KUWA NA KIPAJI FULANI AU KARAMA FULANI USIJUE KAMA UNAYO
MUNGU AKUBARIKI MKUU PASCO

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…