Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Naomba niruhusu kukupa hongera RAKIMS kwa darasa hili....pia naomba nikupe mrejesho nyuma wangu kisha utanijulisha hiyo ni nin,cku ya ijumaa Oficin kwetu huvaa Tshart,tunazao Tshart aina tofauti tofauti na kila ijumaa lazima uvae ile ambayo uongozi umepanga,na hii ni nchi nzima,ijumaa hii ya jana nikawa nimesahau kuangalia kwenye ubao wa matangazo kuwa ni Tshart gani napaswa kuvaa ijumaa ya jana,nikawa shafika nyumbani,nikajipumzisha kidogo kitandani huku nikipumua kwa stairy uliyotuelekeza,cha ajabu nikapitiwa na usngizi nikaota Tshart ya aina furani ambayo tulipaswa kuvaa Ijumaa husika ambayo ni jana,ili kuhakikisha hilo nikaondoka nyumbani mpaka Oficin kuhakikisha hilo,Huwezi amini ndugu yangu RAKIMS Nimefika Oficin nikakuta ndio haswaa yanipasa kuvaa Ijumaa....sijakwambia mtu ila nimeleta hapa jukwaani.....asante sana.....!!
 

Tunashukuru Kwa Kuleta Feedback Hii Inaonyesha Kumbe Nanyi Mnania Ya Kusaidia Wengine.. Kilichotokea Hapo Ni Power Ulionayo Moja Inaitwa Precognition Hii Huusika Na Kukuonye Mambo Yatakayotokea Mbele Kupitia Ndoto.. Na Hiyo Meditation Uliyofanya Inafuatana Sana Na Precognition Kwa Sababu Meditation Ya Namba Inakuza Kumbukumbu Na Kuvuta Hivyo Imekufanya Kuvuta Taswira Ya Siku Ifuatayo Endelea Mkuu, Hiyo Ni Dalili Tu, Bado Itaanza Kuja Tukio Zima Zima.. Unachotakiwa Kufanya Kuanzia Sasa Andaa Daftar Au Counter Uwe Unaandika Kumbukumbu Ya Ndoto Unazoota.. Utaanza Kuwa Ukijijibu Mwenyewe.. Get Knowledge Mkuu......

#Rakims
 
Pasco pls naomba maelekezo ni wapi Tanzania lipo Darasa la psychic power... Naomba mkuu wangu....naomba brother iwe bahati yangu kulifahamu kama kulitangaza jukwaanu sio vizuri,naomba pls Pasco fanya hivyo...!!
 

Mkuu Rakims pokea hongera zako kwa kuweza kufika kwenye Uzi huu wa mkuu Pasco na kuweza kutufumbua macho zaidi na kutufanya tulipende zaidi hili darasa.
Kuna mambo ambayo niliyafanya zamani na ubongo ukiyaletaga katika fikra zangu huwa sijisikii vizuri kabisa na kujiambia. Why did I do this and that? Nimefuatilia datasa kwa muda mrefu ila ulipofikia hatua ya mshumaa na kuchoma fikra/mawazo mabaya nimeona sina budi kuchangia AMA kuuliza.
Hivi ukishayachoma hayo mawazo ndio hayatarudi tena? I mean ndo nakuwa nimeyafuta completely in my mind?
Much thanks to you and all contributors
 

Unaweza Kuyachoma Yakabaki Ila Katika Hali Ya Udhaifu Na Hayatakuumiza Tena Hata Ukiyakumbuka Maana Unakuwa Umejisaidia Inner Peace.. Na Hutakuwa Ukiyakumbuka Mara Kwa Mara Ila Ukiyachoma Moja Kwa Moja Hutoyakumbuka Tena Sawa Na Uulizwe Utotoni Ulikuwa Ukinywa Maziwa Ya Mama Yana Radha Gani?

#Rakims
 
Hizi powers sounds more like nonsensical Occultism. Kwanini iwe power ya kuzima taa, vitu petty & silly? Kwanini isiwe mtu anatamka few words anakua ghafla a seven figure nigger with hytec beach condor kama 3, maserati 2 na five figures cars za ushee na hawt mamaz kibao wamekuzunguka kwene jaccuzi and what what??
 

nakujibu kama nilivyoelewa kama nimekosea Rakims na Pasco watasahihisha
Inner Powers
Dark & Light
kama unazungumzia Dark Powers upo nje ya mada na nazani iyo ni shortcut.
 
Last edited by a moderator:

huelewi kinachoendelea ww nivizuri kuwa kimya, au utoke kabisa kwny huu uzi.
 
Vitabu vya Lobsang Rampa vipo katika mp3. You can download them,which is waht I am doing now.Halafu unaweza kusikiliza katika ordinary radio. You will know everything you've always wanted to know about psychic powers. Unaweza pia kudownload david peter beter mp3 usikie mambo kuhusu cloning of world leaders. Au unweza kusikiliza Hatonn meetings on mp3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…