Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mkuu Rakims

Baada ya kutoka kazini na kufika nyumbani 11 Jioni nilikula chakula maana ckuweza kupata mda wa kula mchana

1. Nilikaa na kuangalia movie na kuchat, jf, n.k(mpaka dk ya mwisho kwenda kulala)

2. Magic spells nimesikia kwenye movies,(circles, vampire Diaries na the originals)na nna kama mwezi sijaangalia movies za aina hii

3. Nshawahi kuota nnakula nyama na washkaji zangu nnaowajua, na hata hii ndoto ya Jana pembeni kulikuwa na marafiki zangu nnaowafahamu. Kipindi cha nyuma kama miaka 6 nilishaota ninatoka (chumbani kwangu) na kuacha choo cha ndani kwenda kukojoa cha nje servant quota, wakati nafungua mlango was nje nkakutana na mtu kajivika manguo meupe kashikilia grill ya mlango Mimi nkakimbia kurudi ndan ila nkashindwa kufungua mlango wa kuingia chumbani kwangu kwa kuwa weak ndipo niliposhtuka.(nnaota Mara nyingi ndoto za kawaida hizi no baadhi ya zilizowahi kunisisimua)

4. Alikuwa ana umbo la kawaida ana mwili kiasi

5. Nilikuwa nimevaa boxer ina rangi mchanganyiko(blue ndo nyingi, njano kijan, nyekundu kwa mbali)

5. Nilikula viazi vya kukaanga na nyama rosti (saa 4, nkalala SAA 6)


Nb: huwa nna kawaida ya kusali kabla ya kulala na Jana sikusali

Thanx mkuu

Kwa Maelezo/Majibu Yako Unaonesha Una Power Ya Mediumship.. The Same Time Una Mi Nawaita, Maruhani, Wengine Wanawaita mashetani Pia wengine Wanawaita Mapepo.. Jina lao Halisi Ni Jinni au djinns Ikiwa Wanakuposess bac wanatumia nguvu zako psychic kukuonyesha kuwa unanguvu.. uwezo wa kuwasiliana nao sasa kuna mawili wakikuposess hawa tunaita dark power kwa kukupa mashariti kwamba fanya hivi tutakupa hiki.. Ukifungua nguvu yako utakuwa umewashusha watakuacha uwacontrol wewe, ni power nayo pia ndio hiyo mediumship kwa mfano unaweza kuwaambia nataka kitu flani watakusaidia bila mashariti wala malipo.. Yani Ni Kujijua Tu Mkuu... Swali Uliza,

#Rakims
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco kuhusu powers kipindi nipo form 6 nilikuwa na girlfriend wangu nikamuambia kuwa nna wish by the time naenda kwenye graduation ya kumaliza chuo niwe nimepata mtoto guess what...ikawa hivyo,

nshawahi kuota uncle wangu aliyekuwa anasafiri siku inayofuata kwamba kapata ajali lakini kapona na kweli alivyosafiri alipata ajali na akapona sikutaka kumwambia mtu

hiyo ni Precognition.. Its Still Power....

#rakims
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco na Mzizimkavu nadhani na mimi nina power flani maana macho yangu yana uwezo wa kujua kitu kitokeacho baadae ingawa si kwa undani kama jicho langu la kushoto likicheza najua nitapata pesa na inatapatikana kweli kwa miaka mingi tu na jicho la kulia likicheza najua ni mkosi,ugomvi au kipigo na lazima itokee naishi hv kwa miaka mingi sasa na imekua kawaida kujua kama ntapata bahati njema au mbaya kupitia macho yangu

mkuu mi niko tofauti kidogo na wewe, jicho langu la kushoto likicheza bas siku hiyo ntapata mkosi au balaa, na la kulia likicheza bas shavu la kutosha siku itakwenda poa sana...
 
Kwa Maelezo/Majibu Yako Unaonesha Una Power Ya Mediumship.. The Same Time Una Mi Nawaita, Maruhani, Wengine Wanawaita mashetani Pia wengine Wanawaita Mapepo.. Jina lao Halisi Ni Jinni au djinns Ikiwa Wanakuposess bac wanatumia nguvu zako psychic kukuonyesha kuwa unanguvu.. uwezo wa kuwasiliana nao sasa kuna mawili wakikuposess hawa tunaita dark power kwa kukupa mashariti kwamba fanya hivi tutakupa hiki.. Ukifungua nguvu yako utakuwa umewashusha watakuacha uwacontrol wewe, ni power nayo pia ndio hiyo mediumship kwa mfano unaweza kuwaambia nataka kitu flani watakusaidia bila mashariti wala malipo.. Yani Ni Kujijua Tu Mkuu... Swali Uliza,

#Rakims

nimependa iyo kumtuma jini bila yeye kukupa masharti lazima atakuwa anakuogopa tu nimeamini light inner power ni zaidi ya dark power je jini akiwa ana kupocess unaweza kujitoa?
 
Mkuu rakm mm miaka ya nyuma nilkuwa nikiota nimekiona k2 ni lazma nikione ck inayofuata,mf nilkuwa nikiota nimeona nyoka, au msiba ktk ptpta yang ni lazma hivyo v2 nitaviona CKU HIZ MKUU NIMEKUWA VT HIVYO SIVION KWANN? na ni2mie njia gan kurudisha hizo power
 
Wewe ni mwanaume kamili kweli? mpuuzi mkubwa ww, mbona unakuwa na mambo ya kike sana, unaonekana unapenda sana kufatilia mambo ya wa2 embu mind yo biznes bwana, kuwa makini mjini hapa utaolewa kaka, punguani mkubwa wewe.

Kaka mataka taka achana nae huyo yawezeka katumwa auharbu uz huu
 
Good luck walimu wote na wanafunzi wao!
Kama mtu anauwezo wa kupambanua mambo lazma kuna some pictures amepata hapa
Tangu nijiunge JF nmekuwa mfuatiliaji mzuri wa huu uzi bila ku comment chochote coz I knew nothing.
Lakin kuna kitu I can share with u fellows
Kipindi nasoma O level shule yetu ilikuwa ya day na boarding sisi tulikuwa boarding, I had a best friend of myn alikuwa na Boifriend wake aliyekuwa akiishi day while sisi tupo boarding
Amini usiamini rafiki angu alikuwa akisema naenda mjini nahisi mpenzi wangu anani cheat sehemu fulani , Trust me anakoenda lazma akafumanie ilitokea kama Mara 7 hivi mwisho waliachana.
Si tulikuwa tunaishia kusema Fulani ana machale
Hii thread imenisaidia kujua ninini yalikuwa machale ya yule msichana.
Asanteni walimu wa hii thread mnasaidia wengi kujitambua.
 
nimependa iyo kumtuma jini bila yeye kukupa masharti lazima atakuwa anakuogopa tu nimeamini light inner power ni zaidi ya dark power je jini akiwa ana kupocess unaweza kujitoa?

ni simple tu, kumfanya asikuposess.. Kama unahaya makitu, ukifungua power hiyo ya mediumship unaweza kuwa unayaona live na kuyaambia wewe kaa wewe toka.. Hata kwa mtu ambae yapo kwa mwenzie anaweza kuyatoa...
Karibu..

#rakims
 
Mkuu rakm mm miaka ya nyuma nilkuwa nikiota nimekiona k2 ni lazma nikione ck inayofuata,mf nilkuwa nikiota nimeona nyoka, au msiba ktk ptpta yang ni lazma hivyo v2 nitaviona CKU HIZ MKUU NIMEKUWA VT HIVYO SIVION KWANN? na ni2mie njia gan kurudisha hizo power

hyo inaitwA mediumship ni power yakutumia spirits wakuonyeshe future na future yenyewe huwa haifikishi hata dk 1 ni some seconds tu hii future yake ni tofauti na precognition mwenyewe...

#rakims
 
Good luck walimu wote na wanafunzi wao!
Kama mtu anauwezo wa kupambanua mambo lazma kuna some pictures amepata hapa
Tangu nijiunge JF nmekuwa mfuatiliaji mzuri wa huu uzi bila ku comment chochote coz I knew nothing.
Lakin kuna kitu I can share with u fellows
Kipindi nasoma O level shule yetu ilikuwa ya day na boarding sisi tulikuwa boarding, I had a best friend of myn alikuwa na Boifriend wake aliyekuwa akiishi day while sisi tupo boarding
Amini usiamini rafiki angu alikuwa akisema naenda mjini nahisi mpenzi wangu anani cheat sehemu fulani , Trust me anakoenda lazma akafumanie ilitokea kama Mara 7 hivi mwisho waliachana.
Si tulikuwa tunaishia kusema Fulani ana machale
Hii thread imenisaidia kujua ninini yalikuwa machale ya yule msichana.
Asanteni walimu wa hii thread mnasaidia wengi kujitambua.

We Are The Home Of Great Thinkers.. Kwenye 10 Mmoja Hakosi....

#Rakims
 
Wewe ni mwanaume kamili kweli? mpuuzi mkubwa ww, mbona unakuwa na mambo ya kike sana, unaonekana unapenda sana kufatilia mambo ya wa2 embu mind yo biznes bwana, kuwa makini mjini hapa utaolewa kaka, punguani mkubwa wewe.
Sasa hebu tukumbushe nani ameanza kufuatilia mambo ya mwenzake ktk uzi! khanithi mkubwa ww hebu katawadhe kwanza ndio urudi ..shwein!
 
Jamani jamani acheni malumbano na Matusi kwenye jukwaa hili,mtafanya waarimu wetu watuone sote hatufai,pls msitumie Lugha kali kiasi hicho,endeleeni kuwa wasikivu na watulivu,haya matusi lugha chafu haipendezi.....PASCO pia RAKIMS karibuni muendelee wanafunzi wema,wasikivu,wenye kupenda jukwaa hili tupo pamoja nanyi.....!!
 
Busara ingekuongoza kuacha wanaofundishana haya mambo waendelee na wewe chukua hamsini zako kwani sherehe hujaalikwa kibwaya wamvalia nani?tafuta wamakonde wakwambie maana ya neno lipyoto halafu ujilinganishe nae kisha tuone kama inafaa kuendelea kuleta hojazako kwenye uzi huu au utaanzisha uzi,wako tofauti na huu.
Busara inayoniongoza ni ile inayotuma kuuliza maswali yenye kuchochea udadisi, ushirikishwaji fikra na ufahamu zaidi badala ya kwenda tu kama mlevi.. nadhani umenfahamu
 
Sasa hebu tukumbushe nani ameanza kufuatilia mambo ya mwenzake ktk uzi! khanithi mkubwa ww hebu katawadhe kwanza ndio urudi ..shwein!

basi chukua hamsini zako tuache na uzi we2, unatuchafulia uzi bwana, kuwa mstaarabu na maswali ya kipuuzi hapa sio sehemu yake nenda huko kwa wajinga wenzako. nimemaliza ubishani na ww.
 
Nimeandika Chapter 2 Imefail Kuaproad... Baadae..

Rakims
Mkuu nakupongeza sana wewe na pasco. Niliacha kuufatilia huu uzi baada ya udini kuingia na watu kukashifiana. Nilianza kujaribu tahajudi ya kuvuta pumzi ila nilisitisha sababu ya wahafidhina kutuharibia uzi wetu. Nimefurahi kuona hatua ambayo imepigwa na hii ni fursa ya kipekee kwangu kurudia zoezi langu. Nguvu zangu nazitambua ila nahitaji namna ya kuzi control kuacha kutenda na kuwaza mawazo maovu yasiyompendeza Mungu. Ninaamini tahajudi ya kabla ya kulala na Alfajiri na mapema vitanisaidia sana.
 
Back
Top Bottom