Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu Nabii Daudi umesha sema Nabii Daudi Sio Sheikh wala Mchungaji anayeweza kufanya hiyo Miujiza kwa hivi sasa hakuna . Nabii Daudi alikuwa anamuomba
Mwenyeezi Mungu pamoja na milima ilikuwa inasujudu kusujudu milima sio miujiza kila kiumbe kinamsujudia Mwenyeezi Mungu Miti,Wanyama na viumbe wote wanamsujudia Mwenyeezi Mungu sio miujiza .Miujiza aliyofanya Bwana YESU ni kuponyesha watu
wagonjwa,Vilema,Vipofu,wenye ukoma,kuwafukuwa watu waliokufa kutoka makabaruni kurudi uhia tena. kuuumba ndege kisha akampulizia akaruka mbele ya macho ya watu kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu hiyo ndio Miujiza mikubwa aliyofanya Bwana YESU.
Hakuna miujiza mingine tena. Miujiza Mikubwa iliyopo hivi sasa ni Quraan ya waislam ndio ile ile aliyoacha Mtume Muhammad Rehema
za Mwenyeezi mungu ziwe juu yake na amani hiyo ndio Miujiza mikubwa hapa duniani hakuantena miujiza zaidi ya hiyo .Iliyobakia ni mambo ya uchawi tu kila mtu akifundishwa anaweza kufanya.
Duh! Nashindwa niende wapi kupata ukweli
Mfano...mimi nimejigundua nikiwa mtu wa ibada sana...mtu mwenye pepo hanikaribii...au kama nyumbani kwangu kuna mtu kavamiwa na pepo litakimbia maana nashtukia mtu analia akisema anaungua na anaondoka..nikimgusa tu ndio balaa...nikikemea kwa jina la Yesu linaondoka fasta....
Lakini nikupunguza ibada...nothing happens at all...
Therefore najikuta ninaamini mtu huwezi fanya muujiza bila kuwa na nguvu fulani nyuma yako.
Asanteni.
Mambo ya nyota hayapingani na Uwezo wa Mwenyeezi Mungu. Nyota ni katika mambo aliyopanga Mwenyeezi Mungu ili binadamu asiyajuwe Nyota ni Siri zake Mwenyeezi Mungu.Hivi haya mambo yanahuhusiano na mambo ya NYOTA maana nimeona MziziMkavu kiana ka anayaunganisha pamaoja...!! Na ka yanahuhusiano, je ni kivipi, nahisi ka yakiwa yanaconnect na mambo ya nyota..!! yanapingina na mambo ya Mungu...
Jaman anaejua hili anitoe dukuduku...
Si badili msimamo kuna mambo mengine lazima unatumia Spirit kuyafanya pasipo kuwa na Spiritsoma Kwa Ajili Ya Mola Wako.. Aliekuumba.. Utapata pa kwenda usisome kushabikia au kusifia ulichosoma kwa kuweka sababu za ajabu.... MziziMkavu ni Tabibu Hivyo Mwanzo Alikubali Kuwa Ana Power Pia Za Kumtibu Mtu Na Picha Akaweka.... Sasa Hivi Anachenga Tena, Inaonyesha Hana Msimamo Wa Kauli Zake... Na Anachofanya ni Kutetea Tiba Yake,
Si badili msimamo kuna mambo mengine lazima unatumia Spirit kuyafanya pasipo kuwa na Spirit
mwilini mwako huwezi kuyafanya unaweza kupatwa na matatizo mkuu Rakims Elimu hii ni kubwa sana
huwezi kufananisha na elimu yoyote ile ya duniani mimi ninaitumia kwa mambo yangu ya utibabu.
Mimi nina nguvu za Uponyaji kwa kutumia Mitishamba Tiba Mbadala Mimi ni Mtaalamu wa Dawa za Mitishamba. Sio Rahisi kila mtu kujijuwa kama una Nguvu za kiasili.
![]()
![]()
samahani dada yangu, kuumba maana yake nini?
Si badili msimamo kuna mambo mengine lazima unatumia Spirit kuyafanya pasipo kuwa na Spirit
mwilini mwako huwezi kuyafanya unaweza kupatwa na matatizo mkuu Rakims Elimu hii ni kubwa sana
huwezi kufananisha na elimu yoyote ile ya duniani mimi ninaitumia kwa mambo yangu ya utibabu.
Mimi nina nguvu za Uponyaji kwa kutumia Mitishamba Tiba Mbadala Mimi ni Mtaalamu wa Dawa za Mitishamba. Sio Rahisi kila mtu kujijuwa kama una Nguvu za kiasili.
![]()
![]()
Dr MziziMkavu naomba unifundishe namna ya kufungua jicho la tatu!
Nafanya meditation na nimeanza kufeel difference hasa kwa upande wa ndoto!
Naota ndoto ambazo zipo clear ingawa nashindwa kuzifasiri!
Nifanyeje kufungua jicho la tatu?
Dr MziziMkavu naomba unifundishe namna ya kufungua jicho la tatu!
Nafanya meditation na nimeanza kufeel difference hasa kwa upande wa ndoto!
Naota ndoto ambazo zipo clear ingawa nashindwa kuzifasiri!
Nifanyeje kufungua jicho la tatu?
Duh! Nashindwa niende wapi kupata ukweli
Kwanini sihitaji kutafsiriwa?haitakiwi akutafsirie mtu ndo za meditation take your time kuwa aware let things happen to you... No Visualization,No Imagination Be Aware Frow With Energy...
1- Ile ya kutafuta peace of mind, ie naskilizia pumzi (inhale na exhale) na naskilizia mapigo ya moyo!Na Meditation Ipi Unayofanya Wewe?
Siwezi kutofautisha kati ya hivyo viwili, but napenda niwe na power ya kunotes some signs na napenda niuwache mwili na kutembea kiroho! Nilisoma article fulani wanasema ili mtu aache mwili na kutembea kiroho ni lazima afungue jicho la tatu!Na Unatafuta Nini Physic Powers Or Physical Energy??
Kwanza thanks kwa kunisaidia haya!
Kwanini sihitaji kutafsiriwa?
1- Ile ya kutafuta peace of mind, ie naskilizia pumzi (inhale na exhale) na naskilizia mapigo ya moyo!
2- Ile ya maombi!
3- Naangalia ukuta na naona rangi tofauti zikijibadilisha katika huo ukuta (i hope ni aura)
Siwezi kutofautisha kati ya hivyo viwili, but napenda niwe na power ya kunotes some signs na napenda niuwache mwili na kutembea kiroho! Nilisoma article fulani wanasema ili mtu aache mwili na kutembea kiroho ni lazima afungue jicho la tatu!
...
Natanguliza shukrani mkuu!
Kama Unahitaji Kufungua Third Eye(jicho La Tatu) Yabidi Kwanza Uziache Za Kupumua Na Kutizama One Point Uanze Ya Kucount, Naweza Kukufundisha Kufungua Third Eye Bila Uangalizi Wa Mwalimu Lakini Hii Inafungua Jicho La Tatu Upesi Sana..
Na Kuhusu Ndoto Za Meditation Hizo Ni Brain Tricks Kama Hujafanya Inavyotakiwa Na Usipofanya Inavyotakiwa Utakata Tamaa Mapema, Kwa Sababu Ya Ndoto Utakazo Ota... Unaweza Kuota Unakula Maini Au Nyama Au Chochote Kikakukifu Lakini Ukahisi Hakina Radha Uliozoea Jua Kesho Au baadae Utakula Cha Hivyo Hivyo..
Third Eye(jicho la tatu.. Itakufanya Uanze Kupenda Vitu Ambavyo Mwili Ulikuwa Na Areji Navyo.. Third Eye Ni Chapta Ya Pili Katika Meditation,pia itakufanya Ule Vyakula Vya Afya Tu Makapi Utaepukana Nayo.. Through Third Eye Unaweza Kupona Magonjwa Baadhi Yasiyotibika.. Unaweza kupata pesa kirahisi sana,unaweza kwenda dar-mwanza kwa sekunde chache kama ulikua unaota unapaa kiroho au kimwili utaanza kupaa live hapo ndio usiri watu huwa wanaanza kama alivyoeleza pasco, na pia unaweza kufanya chochote unachotaka
naogopa kukufundisha maana ukiingia deep sana au power zikikuzidi ukabaki na pure brain unaweza kupita mitaa ya sokoni ukakuta vitu vya ajabu mabuchani unaweza usile nyama ukawa unachinja mbuzi mwenyewe Japo Zote Ni Faida Lakini Mengine Sio Mazuri Mfano Umekaa Na Mkeo Wewe Katika Kufungua Third Eye Umefungua Na Telepathy Ukamkuta Anawaza Alivyotembea Na Labda Babu Yako Dah..!
Fungua Third Eye Lakini Ipangilie Kwa Siku Limitation Ambayo Haitazidi Ukiona Power Nyingine Inakuja Mfano Ya Kuona Visivyoonekana Fungua Third Eye Na Ufunge Hiyo Power Inatisha.. Unauwezo Wa Kupangilia Unataka Power Zipi Kati Ya Ulizonazo Na Zilizojiongeza.. As Long As You Still Meditate Is How The Powers Develope Kama Ulikuwa Unaota Kupaa Utapaa Live Ukitoka Stage Hiyo Unapaisha Mtu Mmoja Utaenda Wawili Na Zaidi Na Baadae Unaweza Kupaisha Vingi... Its Fun But Scary.. Na unapofungua jicho la tatu yakupasa umtangulize Mola Wako Ile Usije Msahau... Huitaji Kutafsiriwa Kwa Sababu Utadanganywa.. Ni Sawa Ukamuulize Mtu Eti Mimi Nina Nini Moyoni...?
Sawa Mkuu! fanya Hivi.. Kila Unapotaka Kulala Na Unapoamka Fanya Meditation Ya Kukaa Kunja Miguu Mtindo Wa Kuikutanisha Nyoosha Mgongo Unyooke Na Kaa Sehemu Ambapo Hutasumbuliwa Na Chochote Kwa Muda Wa Dk 15 Hatapanya Asikatize Vuta Pumzi Mara Tano Zile Deep Na Utoe Zote Ziishe Fumba Macho Uombe Ubongo Wako Utulie Mawazo Sasa Anza Kuhesabu Ukivuta Pumzi Ndani Isikilize Mpaka Ijae Halafu Itoe Mpaka Iishe Vuta Tena Useme Kimoyo Sasa Hivi, Yani Ubongo Ufikilie Wakati Uliopo Pale Na Usiunde Wala Kufikiria Chochote Kuwa Muelewa Acha Vitu Vikutokee
Vyenyewe.. Uwe Na Mavazi Yasiobana Pasiwe Popote Panauma... Endelea Kuvuta Pumzi Kiukweli Kuwaza Pumzi Tu Bila Kingine Ni Ngumu Lakini Jitahidi.. Kila Wazo La Kijinga Likija Sema Sasa hivi Itafika Sehemu Utasikia Mpaka Damu Inavyotembea Hapo Utaendelea Kusema Sasa Hivi Kimoyo Moyo.. Fanya Isizidi Dk 15 Ukanogewa Utaona Kama Video Inacheza Utahisi Kwanza Kama Kitu Kisichoeleweka Yani Hali Ambayo Haielezeki Imetokea Kwenye Paji La Uso.
Halafu Utaanza Kuona Kama Video Ya Mambo Yote Ulioyafanya.. Futa Yote Mabaya Ni Takataka Hizo, Halafu Yakiisha Zitatokea Kama Nyota Zinapanda Juu.. Hiyo Ndio Tunaita Spirits Na Baada Ya Hapo Utahisi Kama Unanyeshewa Mvua Ni Power Hizo Zinaanza Kuingia Mwilini Ukiona Imetosha Inua Kidole Na Ukigonge Kuashiria Unatoka Kwenye Meditation Ukiweza Na Kumaliza Hapo.. Fumbua Macho Na Subiri Usikurupuke Mpaka Macho Yako Yatambue Eneo Uliopo.. Hii Ni Kwa Wanaoanza Zipo Aina Kama 5, Takufundisha Ikikushinda Hii Ahsante.. Karibu Mkuu