Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mamndenyi, kwanza hongera kwa kujitambua, na pili nakuunga mkono, hivi vitu sio vya kuvizingatia sana, ila pia sio vya kupuuzia!.

Kitu wengi wasichokijua, everybody has these powers, na hayo matumizi uliyoeleza, they are channels of power, ukiweza kuzicontroll na kuzidirect kukufanyia mambo mengine makubwa zaidi, unaweza, hizo unazotumia ni channel moja tuu ya communication, information is power, ukiwa na uwezo wa ku access information, then you can access vital info, and use it for your advantage!. Kuna Myahudi, Uri Geller yeye ni psychic, alianza kwa metal bending's kwenye sherehe mbali mbali, sasa hivi ni multi billionaire, anazitumia powers zake kufanyia dowsing, ya madini, Mafuta, etc kwa kupewa shares, makampuni ya madini na Mafuta, wana save a lot kwenye exploration kwa kumtumia huyu, anaelekeza exactly where to drill!.

P.
Kuna ambao pia wanatumika kukamata wahalifu wa mauwaji kwa kuwasiliana na spirits za hao waliouwawa, huwa wanafika hadi eneo la tukio hata kama ni sehemu mwili ulitupwa au kufichwa/kufukiwa! “Psychic detectives”

However, huyo Uri Geller, ni just an illusionist! Self proclaimed psychic!
 
Hahahaa, hizo nyingi huwa ni coincidence tu.
Niliwahi "kuona" kifo cha mtu kabla hajafa. Ni mtu ninayemfahamu, sku moja nilijikuta najisemea nafsini tu "hana maisha marefu", atapata ajali ya pikipiki atakufa. Na kweli mwaka haukuisha huyo ndugu alikufa exactly nilivowaza, ajali ya pikipiki, tena na aina ya gari iliyomsababishia ajali ni ileile niliyowaza, tofauti ilikuwa eneo tu..ilikuwa umbali wa kilomita kama mbili kutoka pale mimi "nilipoona" ajali yake ikitokea. Kuna mtu alinipigia simu "fulani amepata ajali hali yake si nzuri", wala skushtuka, and I knew he wouldn't survive, he died a few hour badae...RIP. Jambo hili sijawahi kumwambia mtu yeyote yule tunayejuana, ispokuwa ndugu yangu mmoja tu, ambaye naye haamini katika miujiza.
 
Daaa wakuu hio mada Si kuiona mda ila kwangu huwa Kuna mda may be napiga story na mtu katika ya maongezi Naona kabisa hio sehemu nimewahi kuwepo na hizi habari nimewahi kuziongelea siku ya nyuma huwa nakumbuka kabisa

Mfano nilikua nakaa na kaka Yangu ila tukatifautiana ikabidi niondoke kwake ila Si kuondoka kwa amani nikaenda kupanga sehemu ila sehemu sikuwahi kufika kabisa lakin siku moja nikawa na rafiki Yangu tunaongea katkat ya maongezi nikaona kabisa hio sehemu nimewahi kufika na hili swala limewahi kunitokea na nikamwambia yule jamaa kwamba aisee hapa tumewahi kuja najiona kabisa nimewahi kuja yule jamaa akaniambia cha wenge ww hebu achana na hizo habari

Sasa basi hili ni tatizo au Niko mwenye kundi gani mana ni hali inayonitokea Mara kwa Mara na haijaanza Leo ingawa saizi ndio huwa najiona wazi wazi zamani nilikua napotezea

Je Kuna shida au Kuna tatizo au nifanyeje ili kuwa vizuri katika Haya mambo
Deja vu

Tafuta hiyo mada uielewe vizuri
 
Daaa wakuu hio mada Si kuiona mda ila kwangu huwa Kuna mda may be napiga story na mtu katika ya maongezi Naona kabisa hio sehemu nimewahi kuwepo na hizi habari nimewahi kuziongelea siku ya nyuma huwa nakumbuka kabisa

Mfano nilikua nakaa na kaka Yangu ila tukatifautiana ikabidi niondoke kwake ila Si kuondoka kwa amani nikaenda kupanga sehemu ila sehemu sikuwahi kufika kabisa lakin siku moja nikawa na rafiki Yangu tunaongea katkat ya maongezi nikaona kabisa hio sehemu nimewahi kufika na hili swala limewahi kunitokea na nikamwambia yule jamaa kwamba aisee hapa tumewahi kuja najiona kabisa nimewahi kuja yule jamaa akaniambia cha wenge ww hebu achana na hizo habari

Sasa basi hili ni tatizo au Niko mwenye kundi gani mana ni hali inayonitokea Mara kwa Mara na haijaanza Leo ingawa saizi ndio huwa najiona wazi wazi zamani nilikua napotezea

Je Kuna shida au Kuna tatizo au nifanyeje ili kuwa vizuri katika Haya mambo

Hio mkuu ndio ile watu huwa wanasema kwamba ukifa unazaliwa upya.....so labda wewe ni new version ya mtu aliyeishi miaka iliyopita
 
Enyi wadanganyika kama kuna mtu anajihisi ana hizo nguvu za ajabu kama mnavyosimuliana hata kama ni bibi yako huko kijijini mtafutie hela mpeleke USA akashiriki The One Million Dollar Paranormal Challenge linalodhaminiwa na James Randi Educational Foundation (JREF) otherwise mnafanya porojo za kwenye ghahawa tu!!..
NOTE:
shindano limeanza toka 1964 lakini hakuna mshindi hata mmoja, yawezekana mnakaa kupiga porojo kumbe hizo shirki mnaweza zitumia kupiga hela!(Tafakari Millioni Moja ya USA ukiileta kibongo)
Wajinga ndio chakula cha werevu siku zote...
Hapo sioni lolote
 
Very same xperience kaka mimi baada ya kurudi bongo nikashindwa nikakimbilia Nairobi kwa wakrishna lakini nguvu ya wazazi na ndugu jamaa na marafiki ikanirudisha bongo nikafuata mkondo kama wako mengine siwezi kuyaweka Hapa is too personal lakini ile elimu ina nguvu ya ajabu mno itabidi tuonane tunaweza fanya kitu
Nikweli
Kabisa inabidi mkutane mfanye mambo makubwa jamanii
 
mi ninachokumbuka nguvu yangu, naoneshagwa kesho itakavyokua, na kweli kesho katika mizunguko yangu naweza ona kitu ambacho jana nimekiona ndotoni, alafu nasema hapa kutakua hivihiv baada ya muda huwa linatokea tukio nililolisema,,,. Pia nilishawahi tokewa na tukio nikiwa shule ya msingi. kituo cha magomeni hospital nilipanda basi kuelekea kawe, baada ya kama dk 15 ndani ya lile basi nikawa nimeshafika kawe, nikasikia konda akisema kawe kanisani, nikamwambia shusha, ile nashuka tu mara vuup najishtukia nipo magomeni palepale, japo hii si nguvu ya asili, nafikiri nilifanyiwa/nilipanda basi la wachawi, siisahau hii siku,
 
P.
Pascal Mayalla nahitaji sana elimu hii sijui nitajuaje nguvu zangu ili niweze kufanikiwa.
 
Mshana na Pascal Naomba kusaidiwa nikiota uwa sikumbuki nilichokiota hata nikisituka muda huo huo.
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
kuna watu anamuangalia mbuzi machoni mpaka mbuzi anakufa au anaangalia kitu mpaka kinasogea
 
mi ninachokumbuka nguvu yangu, naoneshagwa kesho itakavyokua, na kweli kesho katika mizunguko yangu naweza ona kitu ambacho jana nimekiona ndotoni, alafu nasema hapa kutakua hivihiv baada ya muda huwa linatokea tukio nililolisema,,,. Pia nilishawahi tokewa na tukio nikiwa shule ya msingi. kituo cha magomeni hospital nilipanda basi kuelekea kawe, baada ya kama dk 15 ndani ya lile basi nikawa nimeshafika kawe, nikasikia konda akisema kawe kanisani, nikamwambia shusha, ile nashuka tu mara vuup najishtukia nipo magomeni palepale, japo hii si nguvu ya asili, nafikiri nilifanyiwa/nilipanda basi la wachawi, siisahau hii siku,
Hii huwa inanikuta na huwa nachukia sana... unaishi maisha ya kesho... unaota umekutana na fulani mahali fulani na rangi za nguo na mzingira the same na kweli inatokea.... Kwa akili yangu huwa naamini kuna spirit yuko ndani yangu sijui ... hutokea sana nikiwa nasali sana na kuacha dhambi... hadi huwa inaboa
 
Back
Top Bottom