mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Somo la kwanza kuhusu namna ya kusoma Aura ni picha ya kwanza.
Concentarate kuangalia hizo picha mbili, utaziona kama zinataka kuungana na kuwa picha tatu, ya katikati inakuwa na umbo la msalaba. Kwa pembeni unaona kama mwanga wa blue una glow!, hiyo ndio aura!
Somo la pili. ni picha ya pili.
Concetrate kwenye kuangalia hicho kidoti cheusi hapo katikati kwa muda mrefu. Utaona hizo picha mbili zinatoa mwanga wa light blea green kwa nyuma, huo mwanga ndio aura!.
Ukiweza hii hatua ya kwanza, nakupeleka ya pili!.
Pasco.
Pasco ww ni maarufu humu jamvini kuliko mii ambaye huja nadra lakini nimekusoma sana. sasa kwa upande wangu nijiona kuwa naaminika sana watu waliojenga ukaribu na mimi wote hutokea kuniamini na kushangaa uwezo wangu katika masuala kdhaa. ikitokea mfano nikazoeana na mdada katika mahusiano ya kawaida itakuwa vigumu kuacha mawasiliano. tatizo mi si msemaji sana na mwoga kutongoza. ajabu wanawake niliowapata huko nyuma ni wale tu tuliozoeana au waliojikaribisha hata nikagundua la sivyo mahusiano ni ya kawaida kabisa hadi wakati mwingi nililaumiwa sana.
Sasa Pasko kwa kuanzia ninaweza kuwa na power gani. zaidi niseme kuwa nina uwezo wa kusoma kwa mda mrefu bila kuchoka kwa hivo karibu nusu ya siku hutumia kusoma vitu mbalimbali. je hii itanipoteza au inasaidia nini ukihusisha na haya?