Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Somo la kwanza kuhusu namna ya kusoma Aura ni picha ya kwanza.
Concentarate kuangalia hizo picha mbili, utaziona kama zinataka kuungana na kuwa picha tatu, ya katikati inakuwa na umbo la msalaba. Kwa pembeni unaona kama mwanga wa blue una glow!, hiyo ndio aura!

Somo la pili. ni picha ya pili.

Concetrate kwenye kuangalia hicho kidoti cheusi hapo katikati kwa muda mrefu. Utaona hizo picha mbili zinatoa mwanga wa light blea green kwa nyuma, huo mwanga ndio aura!.

Ukiweza hii hatua ya kwanza, nakupeleka ya pili!.

Pasco.

Pasco ww ni maarufu humu jamvini kuliko mii ambaye huja nadra lakini nimekusoma sana. sasa kwa upande wangu nijiona kuwa naaminika sana watu waliojenga ukaribu na mimi wote hutokea kuniamini na kushangaa uwezo wangu katika masuala kdhaa. ikitokea mfano nikazoeana na mdada katika mahusiano ya kawaida itakuwa vigumu kuacha mawasiliano. tatizo mi si msemaji sana na mwoga kutongoza. ajabu wanawake niliowapata huko nyuma ni wale tu tuliozoeana au waliojikaribisha hata nikagundua la sivyo mahusiano ni ya kawaida kabisa hadi wakati mwingi nililaumiwa sana.
Sasa Pasko kwa kuanzia ninaweza kuwa na power gani. zaidi niseme kuwa nina uwezo wa kusoma kwa mda mrefu bila kuchoka kwa hivo karibu nusu ya siku hutumia kusoma vitu mbalimbali. je hii itanipoteza au inasaidia nini ukihusisha na haya?
 
Pasco ww ni maarufu humu jamvini kuliko mii ambaye huja nadra lakini nimekusoma sana. sasa kwa upande wangu nijiona kuwa naaminika sana watu waliojenga ukaribu na mimi wote hutokea kuniamini na kushangaa uwezo wangu katika masuala kdhaa. ikitokea mfano nikazoeana na mdada katika mahusiano ya kawaida itakuwa vigumu kuacha mawasiliano. tatizo mi si msemaji sana na mwoga kutongoza. ajabu wanawake niliowapata huko nyuma ni wale tu tuliozoeana au waliojikaribisha hata nikagundua la sivyo mahusiano ni ya kawaida kabisa hadi wakati mwingi nililaumiwa sana.
Sasa Pasko kwa kuanzia ninaweza kuwa na power gani. zaidi niseme kuwa nina uwezo wa kusoma kwa mda mrefu bila kuchoka kwa hivo karibu nusu ya siku hutumia kusoma vitu mbalimbali. je hii itanipoteza au inasaidia nini ukihusisha na haya?
Mkuu Mzamifu, huo uwezo tuu wa kusoma, peke yake ni powers tosha, kila mtu anazo nguvu hizi tatizo ni kutojitambua!. Kwa vile uwezo wake ni kwenye kusoma, then, take your time, pitia hizo links, hivyo vyote ni vitabu jisomee tuu for leisure, until when you are ready, utafunuliwa!.
Pasco.
 
nininaunajuaunajuanawandniya

Shetani kabla ya kuwa shetani alikuwa malaika mkuu 2nd in commands baada ya Mungu Baba akiitwa Lusiferi, Alipoasi ndipo akawa shetani, Mungu Baba akamteua Malaika Gabrieli kuwa Malaika Mkuu kushika nafasi ya Lusiferi. Jee unajua ni kwa nini Mungu Baba hakumuangamiza shetani?!. Jee unajua kuwa shetani aliondolewa tuu position na sio powers?.

Na baada ya uasi ule , Mungu akasema na tuumbe binadamu kwa mfano wetu kiumbe ambacho kitatutii, shetani akamshauri Mungu, ili kuupima utii wa kiumbe chako, lazima pawepo kipimo cha temptations, Mungu akakubali kumruhusu shetani kuweka temptations na die aliyeuweka ule mti wa katikati!.

Baada ya Mungu kuwaumba Adam na Eva/Hawa akawaonya kuhusu mti wa katika kati (huu sio mti Kweli, bali vile viungo!). Akaweka malaika wawili wenye upanga wa moto kumzuia shetani asiingie sustaining Adeni kwenda kuwashawishi viumbe wa Mungu. Shetani akajigeuza nyoka, akapenya getini!. Jee unajua ni kwa nini Mungu hakumzuia shetani hadi kumfikia Eva?!.

Akiwa Bustanini, alimlaza Adam usingizi mzito, na akajigeuza umbo la kijana HB na kumtokea Eva!. Akamuuliza, hivyo viungo ni vya kufanyia nini?!. Eva akamjibu, tumekatazwa kuvitumia, kwa nini?!. Akamjibu ill tusijue mema na mabaya!. Shetani akamwambia Eva, Mungu amewadanganya, mkivitumia sio tuu mtapata raha ya ajabu, bali pia mtakuwa na uwezo wa uumbaji kama wa Mungu, na mtajiumbia viumbe wenu wenyewe!, kama huamini hebu njoo nikuonjeshe!. Tunda likamegwa, Eva akafaidi, akamuonjesha na Adamu ndipo wakajistukia wako uchi!. For the sake of procreation, Mungu angweza kufanya conception ifanyike kwa hand shake only au hata kwa polination, unajua ni kwa nini Mungu hakufanya hivyo?!.

Inahisiwa product ya kwanza ya Eva, Cain, alifanana na baba yake, mtoto wa kwanza wa Adam, ni Abeli !.

Jee unajua kuwa binadamu wote wanazaliwa na dhambi ya asili ambayo huondolewa kwa ubatizo?!. Jee unaijua hii dhambi ya asili ni nini?!.
Jee waujua ili kutegeneza mtoto ile dhambi ya asili ni lazima itendeke !. Mtu pekee aliekingiwa dhambi ya asili ni Bikira Maria baada ya kupata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu!,

Jee unajua ni kwa nini shetani yupo mpaka kesho?.

Kwa maswali kuhusu dini , Mungu na shetani , naomba tukutane kule jukwa la dini tukamalizane kule, hapa ni mambo ya powers tuu ambazo zimekuwepo kabla ya dini!.
Pasco

Fake fake fake....upotoshaji mkubwa.
 

Stephano, nakutafutia muda nikujibu, kwa sasa naacha kwanza hawa "vichaa" watulie, tukiendelea mwisho wa siku wote tutaonekana vichaa!, nilisisitiza sana, kuwa kichaa mtu sio lazima mpaka aokote makopo!, watu mnajibishana na vichaa humu hadi thread kutaka kupoteza lengo!, the more mnawajibu, the more vichaa vinawapanda!.

Hilo la powers za Uuungu ndani yetu na meditation kwenye Bible, nimekuwekea mpaka vifungu!, ila unapoamua kukaa ndani ya box, limits zako ni kuta tuu za box, ilimomo, anything out of the box ni devilish!. Nimekuuliza Yesu aliishi wapi toka akiwa na umri wa miaka 12 hadi 30?, na alifanya nini?!, hutaweza kujua kwa sababu ndani ya box lako ulimo, haipo!.

Kama ambavyo huthubutu kujua mwanzo wa Mungu ni nini na source hizo powers za Mungu ni nini!, usijisumbue kumjua shetani ni nani, mwanzo wake ni upi na sources za powers zake ni nini!, kama shetani alidiriki hadi kumchukua Mwana wa Adamu na kumjaribu!, who are you?!. Unajua kuna wakati shetani anaji disguize kama Mungu, na kuna wengi mnamtumikia shetani bila kujijua mkidhania mnamtumikia Mungu!, ili kuweza kumtenganisha Mungu na shetani, you need enlightment!, hii enlightment ndizo powers ninazozizungumzia, jitambue USIDANGANYWE WALA USIDANGANYIKE!.
Pasco.


Samahani Mkuu, sasa kwa Upande wa Yesu yeye alitenda haya mambo kwa kutumia nguvu zake ambazo alizaliwa nazo ama?
 
Pasco, hii mada naiunga mkono. Nimesoma nguvu zako ulizotaja. Siko deep kivile ila zote ulizonazo ninazo.
Nimetenda mambo makubwa sana na sasa nimeamua kuokoka ili kutumia nguvu hizo kwa manufaa ya jamii.
Naweza pia kusaidia kueleza jinsi ya kuzitumia.

Kesho ijumaa nitakonfirm a new miracle, then nitaeleza hapa hapa.

Unasali wapi Mkuu?
 
Mkuu Royer, niko kwenye mobile nakutafutia muda nitakujibu hoja kwa hoja nikianzia na hili la Yesu. Lengo la historia ni kuyajua yaliyopita, kulinganisha na yaliyopo sasa ili kujua yajayo!.

Katika Biblia Takatifu Maisha ya Yesu tangu kuzaliwa, hadi Kifo, yameandikwa katika vitabu vya zile Injili 4. Kuna gap tangu a lipokuwa miaka 12-30, sio kuwa details zake hazipo ziliandikwa bali compilers waliamua wasiyawe for a porpose!, sambamba na private life yake katika kipindi cha île miaka mitatu ya utume wake.

Kwa vile details hizo zimeachwa kwa makusudi ili zisisomwe lakini zipo na ziliandikwa, naomba mimi ni site ndio chanzo cha kukueleza yaliyo nje ya Biblia ili only wenye quest for information outside the box ndio waitafute.

Sambamba na mwanzo wa Mungu na source of Godly powers ambazo na sisi bunadamu tumepewa, ila kitu kimoja ambacho wengi hamkijui ni kuwa Mwanzo wa Mungu ndio huo huo mwanzo wa shetani!, Mungu hakumuumba shetani!.

Mungu ana nguvu zaidi ya shetani, ila shetani naye ana nguvu ambazo amepata kibali cha kukitumia kwa wanadamu walioumbwa kwa mfano wa Mungu na nguvu za ufunguzi!, na alianzia kukitumia kwa Adam na Eva kuwashauri kumuasi Mungu kwa kumega lile tunda!.

Mungu ni omniprésent so does shetani. Yumo ndani yetu in a form of power!.
Kubali,kataa!.
Pasco

Mwanzo wa Mungu ni sawasawa na wa Shetani!!?? Unasomaga maandiko? Maandiko gani yanayosema hivi?
 
Swali la msingi kwako: unaposema wachawi na Yesu source ya nguvu yao ni moja, huoni kwamba unachafua ukristu? Kwani huwezi kufundisha huo uchafu bila kuhusisha imani za wengine? Huo upuuzi umeandikwa sana tu kwenye biblia, ndio maana nikakuuliza unajua nini kuhusu nephilims na fallen angels?

Pia nikuhakikishie nimesoma vitabu vya kutosha kuhusu haya mambo na nina marafiki waliokuwa huko, mimi si mjinga kama unavyodhani. Hata huo uongo unalionao uweke hapa nikuchane wazi wazi kuhusu miaka iliyopotea ya Yesu. Hizo story za kwenda kwenye temple huko India na Tibeti na upuuzi mwingine usio na ushahidi umwage hapa ufahamu ukweli. Huo uzushi wa Nicholas Notovitch usio na kichwa wala miguu si habari ya wewe kujivunia hata kidogo.

Hoja yangu kuu ni kuwa Usifundishe hiyo elimu yako kwa kupotosha ukristu, fata hicho unachokiamini kama unavyotuambia wengine. Kwa namna hiyo you can have your way.

I wish you a good journey into the demonic realm!

Japo wengi wanakupinga ila unaongea kwa hoja nzuri sana. MUNGU akutie Nguvu kwa kweli.
 
We kristo anakujua??

Kristo eeeee kristo aaaa!

Domo reeeefu na kujifanya myahudi!

We mdengereko kristo akujue wapi??
Au ni ile misaada ya kanisa ndio inakufanya urukwe na akili!
Mnfnsssssssss!

Andiko linasema.


Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.-Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.Mathayo 15.21-28.


Yesu halikataa kuwatupia mbwa na nguruwe chakula!.

Sina muda nawe, najikita kwenye mada ya Pasco.
Bye.
 
Last edited by a moderator:
Unajua nguvu hizi source yake ni mungu. Unajua kwamba hakuna binadamu anayeishi bila ya kusali sababu binadamu ameubwa Kwa umbo la kufanya ibada. Kama sio Kwa mungu ni Kwa shetani sasa hizi nguvu tunazo toka tulipo zaliwa ila tu nashindwa kuzitumia Kwa kutojua.

shetani ni nani?
 
shetani ni nani?

Ni kiumbe kama wewe mwenye nguvu tofauti na wewe!
Wewe unanguvu ambazo yeye hana!
Na yeye ananguvu ambazo wewe huna!
Ukiniuliza nimejuaje!
Jibu langu ni kuwa nimesoma elimu ambayo wewe pia unaweza kuipata na ukatumia ubongo ulionao (kama upo)
Ku analyse kama ni kweli au si kweli!!
 
Ni kiumbe kama wewe mwenye nguvu tofauti na wewe!
Wewe unanguvu ambazo yeye hana!
Na yeye ananguvu ambazo wewe huna!
Ukiniuliza nimejuaje!
Jibu langu ni kuwa nimesoma elimu ambayo wewe pia unaweza kuipata na ukatumia ubongo ulionao (kama upo)
Ku analyse kama ni kweli au si kweli!!

Swadakta kaka Hayo ndo majibu Kwa maswali yasio maana
 
Hii mada mbona inavurugwa mwenye mawazo ya kidini aende kwenye jamvi la dini hapa tunataka elimu jitu hata bibilia halifungui lakini linaleta ubishi wewe vipi. Sasa wacha tupate Mada hii tufumgue akili wengine humu ni wavivu wa kusoma vitabu hapa tunapata vitabu vingi Vikiwa analysed.
 
Naomba nijitoe Muhanga kueleza juu ya hii Nguvu. Natumia simu ila naamini nitaeleweka.
Kwanza mimi nina nguvu ya kutambua nadanganywa au la, na huwezi kuniibia. Labda niwe nimesahau. Lkn pia niseme hua ni kama nasikia maelekezo fulani. Siwezi kuamua jambo kwa ghafla sana, kwani naamini kuna madhara au faida. Tumekuwa tukikwaruzana na mke wangu katika hili.
Hata kama nasafiri, nikilazimisha safari huwa yanatokea yanayotokea, ni mengi.
Naona wengi hamjamuelewa Pasco, hasa nahisi wale ambao haijawahi kuwatokea. Binafsi nimekuwa nikiwafundisha watu kutumia nguvu hizi. Sasa iko namna hii, nguvu hizi nilianza kutumia kwa kutaman kuwa wa kwanza darasani, I just tell the world and it hears me. Nilifanikiwa sana. Ila ni kama plan, ukiwa mchanga wa nguvu hizi huwezi amuru na ikatokea papo hapo. Lazma ujipe muda. Waliokomaa ndio wanatamka na mambo yanafanyika.

Niliwahi kutamani kusema ninataka Ajira, Mke,Degree na Gari ndani ya mwaka 1. Vimetimia. Haya yalifanikiwa kwasababu niliamua kutumia nguvu hizi kwa mema tuu.

Mungu na Shetani wote wananguvu. Kikubwa hapa hata biblia imesema "WENYE NGUVU NDIO WATAKAO UONA UFALME WA MBINGUNI" manake nini kila mtu ana nguvu, mbinu za kutumia hizo nguvu ndio hatuna.

Niliwahi kupata ajali mbaya, wkt watu wananikimbilia kuniinua nikamka mwenyewe, nakumbuka nilisimama kishujaa huku pumzi imekata na sisikii viungo vyovyote. Wakasema anakufa huyo mdakeni nilitamka "SIFI NA SIJATIMIZA MIAKA NIITAKAYO". Leo niko hai.

KUOTA KUPAA ANGANI
Hii ndoto ipo, ni nguvu fulani inayokuonesha uko juu ya vyote, nimeiota sana. Tena nilikuwa naamua kuiota, kwa upande mwingine ni uvamizi fulani wa kiroho kama wewe ni mtenda mema. Ila watu watakuwa wanakukimbia na kukuogopa sana, na utakuwa na ukatili fulani kama ukiiendekeza. Shetani hupenda kukupaisha ili uone milki za dunia na kukupa kiburi kwani utakuwa juu ya vyote.

ROHO YA KIBALI
Hii ni nguvu ambayo nimeitumia sana kwa wanawake kama wenzangu mlivyotaja, ni kweli unakutana na msichana mnapeana mikono, unamwomba akusindikize home nae hakatai atajikuta anakulaumu umetembea nae na huwa hawajui wamekubalije kirahisi. Hii ni NEEMA mungu ameigawa kwa watu wachache na ipo mkasome dini. Watu hawa huwa ni viongozi. Wakuu nilipogundua hili, sasa natumia kibali hichi kazini na kote niliposoma.
Baada ya kujigundua niliamini naweza kuingia ktk chama fulani na nikawa kiongozi, bado sijapata fursa ila siku nikiingia najua sitaiangusha Nchi yangu.
Tukasome laws of attraction.
Naona nisiufanye uzi mrefu sana, wachawi wapo na wananguvu. Nilimkamata mchawi na kumuombea akatoa kibuyu chake cha uganga. Ilapale kulikuwa na mkubwa wao ambaye kesho alipotakiwa kuleta wote aliletwa na mkubwa wao. Ktk kundi lile la walokole mimi nilikuwa naonekana kwa maxho bado sijakomaa. Na nilimkabidhi dads yule kwa wakubwa wangu. Nikistukia amekuja na kuchukua mkoba wake na hayuko ytayari kuokoka. Wakubwa wangu wakampa. Mimi ilikuwa bahati ti kumuona. Alichoniabia Mkuu wa anga yule pale ma amekuja kuhakikisha nauchukua.
Kugeuka kuwafata wakuu waliokua wanawaombea waongofu wapya kuwauliza hamjastukia huyu mama sio. Wakaniuliza yupi, kugeuka hakuwepo.
NATAKA KUSEMA NGUVU TUNAZO UJANJA KUZIDIANA MBINU.

Maneno meeeengi! Utumbo mtupu!

Yaani hizi stori za watoto ndio unaziita "kujitoa muhanga"!!
Kama unauwezo wa kujua mtu muongo si ukaombe kazi mahakamani! Tuone utakamatisha vibaka wangapi! Na wabakaji wangapi!

Unasema unauwezo wa kupata utakayo!
Hebu amua kuwa rais au waziri na hizo nguvu zako! Saana lbd balozi wa nyumba kumi!
Digrii mke na gari ndani ya mwaka mmoja! Hio degree ya kufuga bata!!

Au huyo mkuu wa chuo alikuwa mtoto wa mjomba wako!!

Unasema pia "wenye nguvu ndio watakao uona ufalme wa mungu! Halafu unasema kila mtu ana nguvu! Kwa maana hio kila mtu ataingia ktk ufalme wa mungu!!?

Wale mapadri wanaobaka watoto!.wale makatikista wanao oana, na waliberali woote waingie peponi??

Halafu uwezo wako wa kuchukua machangudoa mitaani unauita NEEMA YA MUNGU!?
Yaani uzinifu wako Mungu ndio amekupa huo uwezo!? We huna adabu kwa Mungu sio! Au mpaka uondoke na ukimwi ndio utamthamini Mungu!! Na kumuheshimu!?

Au mkuu wakati unaandika haya ulishavuta ile maneno!!

Kwa sababu hizi stori saana utazikuta.kwa wavuta bangi! Tena ile bangi mbichi!!

Mtu anajiona yeye superman! Lkn ukimpa moja ya uso. Anakimbia kama kaumwa nyuki!!

Hebu rudi hapa na akili timamu uandike tena!

Hizo ganja ukichanganya na kubeli! Unaweza kuja kumtongoza mkeo bure! Wakati unae kila siku.
Cc faby Tayeb
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nyenyere, kiukweli naunga mkono hatua ya mode kuingilia kati kwa sababu ukifika mahali pabaya pa kukashifu dini na imani za Wengine.

Mfano wewe ukiwa Mkiristu unaamini Yesu ni Mungu, its not fair kwa asiyeamini kuwa Yesu ni Mungu aje humu na kusema Yesu sii Mungu!. Kama wewe ni muumini wa imani fulani, itoshe kuishikilia imani yako bila kushambulia imani za wengine!.

Kwenye uzi huu mimi nafundisha watu kuhusu powers from within bila kulazimisha watu wa dini yoyote. Wewe kila ukija humu unanishupalia mimi ni mpinga Kristo, ninacho kueleza wewe na waumini wengine kama wewe, hizi powers zimekuweko tangu kabla ya Ukristu. Hindu wanazifundisha kiaka 300,000 kabla ya Kritu, its not fair kulazimisha hizi powers ni za Kristu pekee aliyekuja miaka 2013 tuu iliyopita!. Kama meditation imekuwepo miaka 300,000 kabla ya Kristu, Kristu nae kaja kaikuta na ukitumia sana tuu, nakuuliza jee unajua Kristu alikuwa wapi na alifanya nini kati ya miaka 12 hadi 30?, hujui unalazimisha kile tuu ukijuacho!. Nimekuwekea vitabu pale juu husomi unang'ang'ana na kitabu kimoja tuu cha Biblia, unakuwa huwatendei haki wengine wote wasioamini katika Kristu.

Nakuhakikishia hizi powers zipo indeoendent ya dini yoyote, zile secret society zote wanazijua ila wanafanya siri ili wafaidike wenyewe pekee!.

Nakushauri stick to unachoamini bila kuwaingilia wengine na kulazimisha unachoamini wewe!.
Please!.

Una tatizo la kusoma na ukaelewa

Mkuu Nyenyere anakuambia kuwa kitendo chako cha kumtaja Kisto na kulinganisha nguvu zake na za wachawi pia kuitaja biblia moja kwa moja

Hapo ndipo tatizo lilipoanzia na ni hapo sisi tukaja kukukosoa na kuonesha nma ulivyokosea

Unadai kuwa unafundisha kuhusiana na power ambazo hata husemi zinatoka wapi,lakini ulishindwa nini kufundisha hizo power zako bila kuwataja Roho mtakatifu,Yesu na biblia?
Ulishindwa nini kujenga hoja kivyako?
Au ulikuwa unatafuta tention kutoka kwa wasomaji?

Hizo meditationa unazodai zipo miaka mingi na sijui kitu gani,sisi hatuna tatizo na hilo, tatizo linakuja pale ulipotamka Roho mtakatifu na Yesu pamoja na biblia.Ungekuwa umesema tu Mungu kusingekuwa na tatizo maana kuna wengi wanaabudu mawe na wanayaita Mungu,hata Hsetani nae anaitwa hivyo na wafuasi wake na tusingekuwa na tatizo

Tatizo linakuja kwenye mambo mawili,Biblia na Roho mtakatifu
Hao huwezi kuwapata kwenye imani yoyote ile tofauti na biblia,kwenye Yesu wapo watu wengine wana yesu wao lakini ulipoitaja biblia hiyo inamaana kuwa unamtaja Yesu wa kwenye biblia na ndipo tulipata jukumu la kukukosoa na mafundisho yako ya kishetani[samahani kwa kutumia lugha kali] na tumekuonesha ni namna gani ni ya kishetani

Mtu unasema shetani hakuumbwa na Mungu na hana mwanzo wala mwisho.unadhani hayo sio mafundisho ya kishetani na ni kwanini usiitwe mpinga Kristo?

Halafu hao wengine unaodai tunawaingilia sijui ni wakina nani,ni nani anamwabudu Roho mtakatifu tofauti na wakristo?Ni nani anamwabudu Yesu Kristo wa Biblia tofauti na wakristo?
Hao wengine unaodai ni wakina nani?

Suala hili la hizi power tunakushauri u edit mada yako iwe huru ili wote wanaochangia wasichangie wa mitazamo ya kidini
Kama ni kosa limefanywa kwa watu kuchangia kwa mtazamo wa kidini kosa hilo umelianzisha wewe mwenyewe kwenye post yako

Tafadhali sana Invisible hebu fanyeni haki kwetu yunaemwabudu Yesu Kristo na Roho Mtakatifu!
 
Last edited by a moderator:
Una tatizo la kusoma na ukaelewa

Mkuu Nyenyere anakuambia kuwa kitendo chako cha kumtaja Kisto na kulinganisha nguvu zake na za wachawi pia kuitaja biblia moja kwa moja

Hapo ndipo tatizo lilipoanzia na ni hapo sisi tukaja kukukosoa na kuonesha nma ulivyokosea

Unadai kuwa unafundisha kuhusiana na power ambazo hata husemi zinatoka wapi,lakini ulishindwa nini kufundisha hizo power zako bila kuwataja Roho mtakatifu,Yesu na biblia?
Ulishindwa nini kujenga hoja kivyako?
Au ulikuwa unatafuta tention kutoka kwa wasomaji?

Hizo meditationa unazodai zipo miaka mingi na sijui kitu gani,sisi hatuna tatizo na hilo, tatizo linakuja pale ulipotamka Roho mtakatifu na Yesu pamoja na biblia.Ungekuwa umesema tu Mungu kusingekuwa na tatizo maana kuna wengi wanaabudu mawe na wanayaita Mungu,hata Hsetani nae anaitwa hivyo na wafuasi wake na tusingekuwa na tatizo

Tatizo linakuja kwenye mambo mawili,Biblia na Roho mtakatifu
Hao huwezi kuwapata kwenye imani yoyote ile tofauti na biblia,kwenye Yesu wapo watu wengine wana yesu wao lakini ulipoitaja biblia hiyo inamaana kuwa unamtaja Yesu wa kwenye biblia na ndipo tulipata jukumu la kukukosoa na mafundisho yako ya kishetani[samahani kwa kutumia lugha kali] na tumekuonesha ni namna gani ni ya kishetani

Mtu unasema shetani hakuumbwa na Mungu na hana mwanzo wala mwisho.unadhani hayo sio mafundisho ya kishetani na ni kwanini usiitwe mpinga Kristo?

Halafu hao wengine unaodai tunawaingilia sijui ni wakina nani,ni nani anamwabudu Roho mtakatifu tofauti na wakristo?Ni nani anamwabudu Yesu Kristo wa Biblia tofauti na wakristo?
Hao wengine unaodai ni wakina nani?

Suala hili la hizi power tunakushauri u edit mada yako iwe huru ili wote wanaochangia wasichangie wa mitazamo ya kidini
Kama ni kosa limefanywa kwa watu kuchangia kwa mtazamo wa kidini kosa hilo umelianzisha wewe mwenyewe kwenye post yako

Tafadhali sana Invisible hebu fanyeni haki kwetu yunaemwabudu Yesu Kristo na Roho Mtakatifu!

Halafu mi nauliza! Vipi huyu Pasco ajiite mkristo hali ya kuwa anamlinganisha yesu na mchawi??

Hii si laana hii?? Anasema yeye ni mkatoliki!
Hivi ndivyo wanavyofunzwa na papa!?

Kumfanya nabii wa Mungu kama shemeji yako??

Ama.mtoto wewe huna adabu!

Laiti ningemjua baba Pasco ! Ningeenda mchapa kofi kwa kutokufundisha nidhamu!
Yaani mi nilidhani Nicholas na Matola ndio hawana adabu lkn wewe mwisho!

Mfnssssssssssss!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom