Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Pasco anatumia biblia hiohio unayotumia wewe na kwa madai yake ni mkristo safi kama wewe.
Sasa badala ya kumu attack yeye unachotakiwa ni kuleta point za ku challenge anayoyasema!
Kumshambulia yeye binafsi kunaonyesha udhaifu wako ktk kulijua andiko.lako mwenyewe!
Sisi hapa tusiokuwa wakristo tunaangalia movie! Tuone starring atakufa saa ngapi!?
Teh teh teh teh teh.
Hoja ni kwamba akijibiwa analalamika tunaleta udini, wakati yeye hafundishi dini. Ni mwepesi sana kusukumia hoja zipelekwe jukwaa la dini ili yeye aendelee kupotosha maandiko hapa. Hicho ndicho nilicho maanisha. Hataki majibu hapa kwenye hii thread.