PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

PUBLIC RELATIONS: Rais Samia anaweza kutumia busara tu. Ijumaa (December 27, 2024) iwe siku ya mapumziko.

Alex Muuza Maembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2024
Posts
655
Reaction score
1,413
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

NB: Mapumziko ya kutosha, huimarisha afya ya akili na kusaidia kuongeza ufanisi kazini.

"Ninapenda kuchukua wasaa huu kuwatakia kheri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Christmas) ndugu zangu wakristo wote na watanzania kwa ujumla, na katika kusherehekea hilo, ninapenda kuutangazia umma wa watanzania ya kuwa siku ya Ijumaa ya December 27, 2024, itakuwa pia ni siku ya mapumziko na kazi zitaanza rasmi siku ya Jumatatu, December 30, 2024"

ANGALIZO: Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Watanzania kwa kutopenda kufanya kazi hawajambo sasa hapo ni busara gani?
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Kwa nini iwe ukosoaji tu na si uungaji mkono wenye kuonesha furaha?
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Hayo ni mawazo ya kivivu na ndio maana hatupigi hatua tunawaza kulala na kustarehe!
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Time is a factor of production.
Je unajua watu wasipoenda kazini siku Moja ni kiasi gani cha fedha hupotea?
Je unafahamu kwa hiyo siku iliyopotea serikali inapoteza kiasi gani cha Kodi?
 
Waafrika mnapenda mapumziko, uvivu umewajaa ndio maana umaskini hautaisha
Vacations/mapumziko ni muhimu na uongeza utendaji kazi kwa maana mtu anakuwa na afya njema ya akili.

Unaweza ukaendesha gari kutoka Dar mpaka Lusaka bila kupumzika??
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Mimi kama Kijana wa Wa Samia hii imepita hiyo...wale wote ambao kazi zenu si za emergency, siku ya ijumaa baada ya xmass msiende makazini kwasababu huwezi kufukuzwa kazi kwa kutokuingia kazini siku moja. Kila la heri.
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Sasa si uje ujipumzishe mwenyewe siku hiyo ya Ijumaa badala ya kulazimisha nchi nzima ipumzike mkuu? Unajua mapumziko ya siku moja tu yanaitia hasara serikali kwa kiasi gani?
 
Kwa kuwa Xmas ni Jumatano na Boxing Day ni Alhamisi, Rais Samia anaweza kutumia busara tu ya ukuu wa nchi Kwa kusema tu, Ijumaa watu wapumzike na kazi zianze rasmi Jumatatu ya December 30.

Hata kama sikuu ya Idd mosi ikiangukia Jumatano na Idd Pili Alhamisi, still Ijumaa watu wanaweza kupumzisha akili kisha kazi zikaanza Jumatatu.

Ninakaribisha Ukosoaji wenye tija (Constructive Criticism)
Hakuna kupumzika,siku SITA fanya kazi utende mambo Yako,lakini siku ya Saba pumzika,wewe na watoto wako na mjakazi wako na mgeni aliye katika malango Yako .Kwa maana kwa siku Sita,Bwana Mungu aliumba mbingu na nchi na vyote viijazavyo nchi.
 
Back
Top Bottom