Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 538
Mimi ni CCM damuSiwezi kuwa mwanachama wa hivi vyama ambavyo mwanachama hana ubavu wa kumkosoa mkubwa wake.
Ila nitavikosoa vyama na mtu mmoja mmoja kwenye hivyo vyama.
Nitasifia mara chache sana.
Hongera kwa kuwa mwana chama.Mimi ni CCM damu
Sawa mkuu
Njoo tutakuvumiliaHongera kwa kuwa mwana chama.
Mi huo moyo sina, mnaweza nitimua ndani ya muda mchache sana.
Huyo jamaa ana akili za kijinga sana jaribu kusoma comments zake nyingi humu ni hovyo kweli kweli.Wabongo mkoje nyie?
Nimemtaja Azory gwanda hapo?
Siasa za Afrika ni ngumu sana na kama hauna moyo wa chuma basi ni rahisi sana kuishia njianiHongera kwa kuwa mwana chama.
Mi huo moyo sina, mnaweza nitimua ndani ya muda mchache sana.
Mimi mwenyewe sio muongeaji sana mbele za watu hivyo siwezi siasaSiwezi kuwa mwanachama wa hivi vyama ambavyo mwanachama hana ubavu wa kumkosoa mkubwa wake.
Ila nitavikosoa vyama na mtu mmoja mmoja kwenye hivyo vyama.
Nitasifia mara chache sana.
Watu wanadai eti mimi ni CCMCHADEMA huyooo
PoaTayari nimemsamehe
SawaLabda a.k.a yake
mhhhBasi sawa my wangu
Wewe ni CCM?Wewe ni CHADEMA sasa unakataa nini best?
Hivi ufipa ndio wapi?Wewe team ufipa
CHADEMA huko mkuuHivi ufipa ndio wapi?
Ipo Dar sehemu gani?CHADEMA huko mkuu
Ipo ArushaIpo Dar sehemu gani?
Sawa dadaIpo Arusha
Karibu sana DodomaSawa dada