KazinjaTwo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2021
- 330
- 333
Nilianza kumfahamu Ayoub mwaka 2012 wakati anaandika makala katika gazeti la MwanahalisiHayo yote ni kwa sababu ya mzee Ayoub Ryoba Chacha. That guy is a real professional.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilianza kumfahamu Ayoub mwaka 2012 wakati anaandika makala katika gazeti la MwanahalisiHayo yote ni kwa sababu ya mzee Ayoub Ryoba Chacha. That guy is a real professional.
Soja anafaa udiwani 2025Fact!
Ulichosema ni sahihi kabisa,
Lakini kwa sababu tunaviongozi vipofu watajifanya hawajaona chochote.
Keep it up 👆
TBC kama al jazeera tu HD ya maanaNdio mkuu, sasa hivi ipo kama CNN full mzuka
Dah! jamaa agombee kampeni ni humu humu JfSoja anafaa udiwani 2025
Honestly, anafaaDah! jamaa agombee kampeni ni humu humu Jf
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Honestly, anafaa
TBC sasa ni wababe wa habari TanzaniaUpo kama mimi. TBC wameboresha sana vipindi vyao siku hizi
MKIRU ni wilaya mpya ipo mkoa wa PwaniMKIRU ndio nini mkuu?
Ndio tatizo kubwa la watanzania kujihusisha na yasiyowahusu.Mwambie afanye kazi zake na aachane na majukumu/taaluma za watu
Hahahahaaaa wanakuwa na vihere here sana aisee teh teh tehNdio tatizo kubwa la watanzania kujihusisha na yasiyowahusu.
Hiyo wilaya imeanzishwa lini? Mbona kama unatupiga kamba tu hapa?MKIRU ni wilaya mpya ipo mkoa wa Pwani
Umewaza kama mimi ila CHADEMA watabishaTBC sasa ni wababe wa habari Tanzania
Tena saaaaanaHonestly, anafaa
Wadada wa TBC ni warembo piaTBC kama al jazeera tu HD ya maana
Ubunge bhana sio udiwaniSoja anafaa udiwani 2025
Huyo ndiye Rais 2045Ubunge bhana sio udiwani
Elizabeth Mramba ni shiiiiiidaWadada wa TBC ni warembo pia
OkayTena saaaaana
CHADEMA bado washamba wa jiji kama SIMBA wa msimbazi tuUmewaza kama mimi ila CHADEMA watabisha
MKIRU sio wilaya, huyo jamaa anadanganya tuHiyo wilaya imeanzishwa lini? Mbona kama unatupiga kamba tu hapa?