Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,134
Kwanza c ushaambiwa n America!! Povu linakutokea nn? [emoji45] [emoji45]Kaka mmoja hapa JF akaniita mshamba kwa kumpa picha za Nairobi!! Sasa ushamba utazidi huu wa mtu kuita vitu kama hivi America? Ushamba ulioje? Angalia ndani ya hili basi, ni basi nzuri najua, lakini angalia walio kaa ndani!!! Duu!! Yaani hivi kukaa miguu ikiwa imetiwa upande wa median ni nini?? Ushamba? Ama Basi hili limeundwa bila kuzingatia starehe za msafiri kwamba viti vimefungwa pamoja hadi huwezi kaa vizuri? Angalia huyo kaka wa malapa (jampali au slippers) Yaani unashangaa basi nzuri na unakaa kama uliyepanda tuktuk! Haya mabasi kweli hayana starehe ukiona hawa ndugu walivyoketi hapa!! Nairobi Mabasi ni starehe ya kweli ukitalala, ukitaka oga, ukitaka itisha!!! Kwa raha zako!!
![]()
![]()
![]()
Inside Modern coast
![]()
![]()
Then hyo ni bus ndani city (commuter) halafu ulivyo PUNGUANI wa Akili unafnanisha Commuter na basi za masafa marefu [emoji45] [emoji45] ,Haijalishi unatuwekea ma celebrity kna Saut Soul!! Ulitegemea wakae pose za ovyo [emoji45] [emoji45]
However Kukaa n uamuz wa mtu na huwez jua lbd alkuwa anajiandaa kushuka [emoji45] [emoji45]
WateKENYWA limbukeni sana cjapata kuona!!