Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 606
Mimi nimesoma pale enzi za Mwalimu Mkuu Magambwa, walimu kama Mabagala, Ngola,Mtela nk. Aisee Fungusi walikuwa wananitafuna sana. Siku ya kwanza kufika nikaoga bila kutumia detol. Aisee Fungus walinitafuna ile mbaya hadi kwenye anus.
Tukio la Huzuni ni siku Mwanafunzi mwenzetu alipopigwa risasi. Ilikuwa bado miezi michache amalize form six,alikuwa EGM. RIP
Namkumbuka yule mama aliyekuwa anatuuzia wali pale bondeni, Mama Pendo, Nasikia naye amekufa.
Tukio jingine na Kaka Mkuu aka Mwenyekiti wa Shule ndugu SOSTHENES BAGUME alipovuliwa cheo chake kwa kukitumia kuwanyanyasa wanafunzi hasa wa O'LEVEL.
Napakumbuka Baghdad katikati ya Pugu na Mwisho wa lami, tulikuwa tunaenda angalia Pilau
Tukio la Huzuni ni siku Mwanafunzi mwenzetu alipopigwa risasi. Ilikuwa bado miezi michache amalize form six,alikuwa EGM. RIP
Namkumbuka yule mama aliyekuwa anatuuzia wali pale bondeni, Mama Pendo, Nasikia naye amekufa.
Tukio jingine na Kaka Mkuu aka Mwenyekiti wa Shule ndugu SOSTHENES BAGUME alipovuliwa cheo chake kwa kukitumia kuwanyanyasa wanafunzi hasa wa O'LEVEL.
Napakumbuka Baghdad katikati ya Pugu na Mwisho wa lami, tulikuwa tunaenda angalia Pilau