Pumzika kwa amani rafiki yangu na pole kwa familia nzima

Pumzika kwa amani rafiki yangu na pole kwa familia nzima

Wakuu habari za uzima?

Leo nilienda msibani kwa rafiki, mdogo wangu na jirani yangu wa muda kidogo.

Rafiki yangu huyu amefariki taarifa zikiwa zimeletwa Leo alfajiri saa kumi.

Kifo cha mdogo wangu huyu kimeniumiza sana, amezaliwa mwaka 2003 na alikuwa amemaliza UDSM mwaka jana na baada ya hapo baba yake ni kitengo kwenye usalama akamchukua mwaka huu tarehe 2/1/2024 ili akaanze kozi.

Kiukweli naumia sana, alikuwa bado kijana mdogo hajamaliza hata mwezi na alikuwa na ndoto nyingi, baba yake mzazi alileta taarifa kwa dada yake ambaye mdogo wangu huyu na rafiki amelelewa hapo kwamba amefariki.

Mama yake mkubwa alijaribu kuhoji lakini hakuambilia majibu zaidi ya kwamba walikuwa msituni kwenye mazoezi.

Binafsi sikuwahi kushuhudia kuagwa kwa namna hii kama niliyoiona leo, magari ya jeshi yalikuwa mengi sana, Hakuna mtu hata mmoja aliyeonekana na simu hapa kuchukua tukio hili. Sijui ni mambo ya jeshi au laah.

Baba yake alikuwa ametulia muda mwingi huku akizungukwa na wanajeshi. Daah amelala mdogo wangu huyu na jirani pia.

Baada ya kuagwa kwa mwili, mazishi yanafanyika bukoba kwao.

16/1/2024
Pumzike kwa Amani.
CHAI
 
Wakuu habari za uzima?

Leo nilienda msibani kwa rafiki, mdogo wangu na jirani yangu wa muda kidogo.

Rafiki yangu huyu amefariki taarifa zikiwa zimeletwa Leo alfajiri saa kumi.

Kifo cha mdogo wangu huyu kimeniumiza sana, amezaliwa mwaka 2003 na alikuwa amemaliza UDSM mwaka jana na baada ya hapo baba yake ni kitengo kwenye usalama akamchukua mwaka huu tarehe 2/1/2024 ili akaanze kozi.

Kiukweli naumia sana, alikuwa bado kijana mdogo hajamaliza hata mwezi na alikuwa na ndoto nyingi, baba yake mzazi alileta taarifa kwa dada yake ambaye mdogo wangu huyu na rafiki amelelewa hapo kwamba amefariki.

Mama yake mkubwa alijaribu kuhoji lakini hakuambilia majibu zaidi ya kwamba walikuwa msituni kwenye mazoezi.

Binafsi sikuwahi kushuhudia kuagwa kwa namna hii kama niliyoiona leo, magari ya jeshi yalikuwa mengi sana, Hakuna mtu hata mmoja aliyeonekana na simu hapa kuchukua tukio hili. Sijui ni mambo ya jeshi au laah.

Baba yake alikuwa ametulia muda mwingi huku akizungukwa na wanajeshi. Daah amelala mdogo wangu huyu na jirani pia.

Baada ya kuagwa kwa mwili, mazishi yanafanyika bukoba kwao.

16/1/2024
Pumzike kwa Amani.

HIzi ajira zilitangazwa lini? Kazaliwa 2003, 2024 yuko Kwenye ajira baada ya kuhitimu UDSM. Huku si ndiyo kulamba asali?
 
Kwa hyo kazaliwa 2003? Anhaaa akamaliza lini? Ooh sorry....level gn
 
Wakuu habari za uzima?

Leo nilienda msibani kwa rafiki, mdogo wangu na jirani yangu wa muda kidogo.

Rafiki yangu huyu amefariki taarifa zikiwa zimeletwa Leo alfajiri saa kumi.

Kifo cha mdogo wangu huyu kimeniumiza sana, amezaliwa mwaka 2003 na alikuwa amemaliza UDSM mwaka jana na baada ya hapo baba yake ni kitengo kwenye usalama akamchukua mwaka huu tarehe 2/1/2024 ili akaanze kozi.

Kiukweli naumia sana, alikuwa bado kijana mdogo hajamaliza hata mwezi na alikuwa na ndoto nyingi, baba yake mzazi alileta taarifa kwa dada yake ambaye mdogo wangu huyu na rafiki amelelewa hapo kwamba amefariki.

Mama yake mkubwa alijaribu kuhoji lakini hakuambilia majibu zaidi ya kwamba walikuwa msituni kwenye mazoezi.

Binafsi sikuwahi kushuhudia kuagwa kwa namna hii kama niliyoiona leo, magari ya jeshi yalikuwa mengi sana, Hakuna mtu hata mmoja aliyeonekana na simu hapa kuchukua tukio hili. Sijui ni mambo ya jeshi au laah.

Baba yake alikuwa ametulia muda mwingi huku akizungukwa na wanajeshi. Daah amelala mdogo wangu huyu na jirani pia.

Baada ya kuagwa kwa mwili, mazishi yanafanyika bukoba kwao.

16/1/2024
Pumzike kwa Amani.
Poleni.
Ila mkuu sijaekewa hapo. Alizaliwa 2023 na amemaliza UDSM mwka Jana!!?
 
Hii kama sio chai ,maana wajeda ,usalama,kafia msituni,umri wa kuzaliwa 🤣🤣.watanzabia tuna kula vitu vingi ambavyo ni hatari kwa afya
 
Pole sana,,,

,,ila kwenye figure za miaka ungejiridhisha maana huyo rafiki yako kazaliwa 2003 na chuo kamaliza mwaka jana means anamiaka 20 ,,,form 6 kamaliza na miaka 17 form 4 kamaliza na miaka miaka 14 darasa la saba kamaliza miaka 10,darasa la kwanza miaka 3,chekechea miaka 2 aise alikuwa na akili nzuri kwa umri mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau Kuna kurushwa madarasa hasa la kwanza na la pili na la tatu kama unajua basic hesabu, kusoma na kuandika. Tumefanya mitihani ya la saba na wanafunzi waliokuwa vipanga wa darasa la sita na la tano na walikuwa wakifanya vizuri tu.
 
Pole sana,,,

,,ila kwenye figure za miaka ungejiridhisha maana huyo rafiki yako kazaliwa 2003 na chuo kamaliza mwaka jana means anamiaka 20 ,,,form 6 kamaliza na miaka 17 form 4 kamaliza na miaka miaka 14 darasa la saba kamaliza miaka 10,darasa la kwanza miaka 3,chekechea miaka 2 aise alikuwa na akili nzuri kwa umri mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
mdogo wangu amemaliza form 6 miaka 17 chuo miaka 21 inawezekana
 
Pole sana,,,

,,ila kwenye figure za miaka ungejiridhisha maana huyo rafiki yako kazaliwa 2003 na chuo kamaliza mwaka jana means anamiaka 20 ,,,form 6 kamaliza na miaka 17 form 4 kamaliza na miaka miaka 14 darasa la saba kamaliza miaka 10,darasa la kwanza miaka 3,chekechea miaka 2 aise alikuwa na akili nzuri kwa umri mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nimeshangaa🤣🤣🤣🤣🪑💺
 
Back
Top Bottom