TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki zake , namkumbuka kwa ile series ya Siri za Familia alifanya vizuri sana, baadae ikapotea, I didn't know if he was such a big man and extensively used across various spheres of interests and disciplines. Na hakuwa mtu wa kuonekana sana kwenye vyombo vya habari hasa visibility kwenye camera.
 
Mlenge tuliletewa taarifa na familia juu ya kifo chake.

Naye alikuwa verified member. Ni bahati mbaya tulijua ikiwa late.

Sababu/Chanzo cha kifo hatuwezi kuweka (kumradhi).
 
Nilimfahamia Simbanet 20 years ago, alikuwa mkarimu na msikivu sana ukifika ofisini kwake

Pumzika kwa amani Ndg yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…