TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

Wakuu,

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kufariki dunia kwa ndugu yetu na mwanachama wa JamiiForums, Sanctus Mtsimbe, mchana wa tarehe 13 Machi 2024.

Sanctus alikuwa Rais wa kwanza wa Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN), hadi anafariki alikuwa ni Country Manager wa Wananchi Group ambao ndio wamiliki wa Zuku, SimbaNet na makampuni mengine, pia alikuwa Mjasiriamali na mmiliki wa makampuni kadhaa binafsi na Mjumbe wa Bodi na taasisi kadhaa za umma na binafsi. Alipenda sana sanaa.

Ndg. Mtsimbe alikuwa ni Mwanazuoni mzuri, mbobezi, mbunifu na Mzalendo wa kweli kwa nchi yetu.

Kwa mujibu wa familia, Msiba upo nyumbani kwake Tabata Segerea, Mtaa wa Meja.

Mwenyezi Mungu amjalie pumziko la amani ndugu yetu
Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.

Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.

Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.

Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa". Wekeza inalipa Movie Launch.

RIP Comred Santus Mtsimbe.

P
 
Max, pole sana na msiba huo wa nduguyo.

Nimesikitika sana kusikia kifo cha ndugu yetu Sanctus Mtsimbe.

Taifa limeondokewa na mmoja wa wasomi walofahamu namna ya kutumia elimu waloipata kiuhalisia.

Sio mtu umesoma kisha wahanjahanja kuiba fedha za walipa kodi.

Ntamkumbuka Mtsimbe kuwa ndie alienishauri kutengeneza CV nzuri ambayo niliiweka LinkedIn na sikuchukua muda nikapata kazi ya kwanza baada ya masomo.

Kwenye kusaidia na kushauri ni mtu alie wazi na msikivu.

Sifa moja kubwa alokuwa nayo Mtsimbe ni ubunifu na kisha utekelezaji yaani wabuni kitu kisha wahikikisha kimesimama.

Bila shaka atakuwa ameacha wabunifu wanochipukia mahala alipokuwa khasa eneo la teknolojia.

RIP Santus Mtsimbe.
 
Mkuu Maxence Melo!, this is shocking news to me, taarifa hii sikupaswa kusomea JF, nilipaswa kuipata in box!.

Sanctus alikuwa patner wangu kwenye baadhi ya projects zake.

Huyu ndie aliongoza ile kampeni ya Kumuenzi Regia Mtema. Huyu ndie alimbeba Le Le Mutuz pale ofisinini kwake!, ni mtu wa pili kunipandisha Range Rover Sport baada ya ile ya Range Rover Autobiography ya Wakili Beredy ambayo ni custom made na kuwa delivered by BA Cargo, ile 2005, Range Sport ya Sanctus Mtsimbe ya 2007 ndio ya pili mimi kuipanda.

Kuna baadhi ya vitu tulifana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".

RIP Comred Santus Mtsimbe.

P
Hivi kwanini Msanii Dully Sykes alichagua a.k.a yake iwe ni ya Mr. Misifa tu pekee?
 
Wakuu,

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kufariki dunia kwa ndugu yetu na mwanachama wa JamiiForums, Sanctus Mtsimbe, mchana wa tarehe 13 Machi 2024.

Sanctus alikuwa Rais wa kwanza wa Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN), hadi anafariki alikuwa ni Country Manager wa Wananchi Group ambao ndio wamiliki wa Zuku, SimbaNet na makampuni mengine, pia alikuwa Mjasiriamali na mmiliki wa makampuni kadhaa binafsi na Mjumbe wa Bodi na taasisi kadhaa za umma na binafsi. Alipenda sana sanaa.

Ndg. Mtsimbe alikuwa ni Mwanazuoni mzuri, mbobezi, mbunifu na Mzalendo wa kweli kwa nchi yetu.

Kwa mujibu wa familia, Msiba upo nyumbani kwake Tabata Segerea, Mtaa wa Meja.

Mwenyezi Mungu amjalie pumziko la amani ndugu yetu
Mungu amrehemu
 
Kufa ni timing ambayo ni Mungu pekee hupanga au shetani nae akifanikiwa kukutongoza na ukakubali hushiriki kupanga.

Kunakuwa na mvutano kati ya Mungu na shetani tangia mwanzo na shetani akishinda basi jukumu la tiketi na malazi hukuandalia yeye. Tiketi ya shetani ni economy class na hoteli ni ile ya chini ya nyota tatu.

Lakini Mungu akishinda basi weye utafaidi mara dufu utakatiwa tiketi ya first Class na utalala hoteli ya nyota tano.
Chai
 
Wakuu,

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kufariki dunia kwa ndugu yetu na mwanachama wa JamiiForums, Sanctus Mtsimbe, mchana wa tarehe 13 Machi 2024.

Sanctus alikuwa Rais wa kwanza wa Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN), hadi anafariki alikuwa ni Country Manager wa Wananchi Group ambao ndio wamiliki wa Zuku, SimbaNet na makampuni mengine, pia alikuwa Mjasiriamali na mmiliki wa makampuni kadhaa binafsi na Mjumbe wa Bodi na taasisi kadhaa za umma na binafsi. Alipenda sana sanaa.

Ndg. Mtsimbe alikuwa ni Mwanazuoni mzuri, mbobezi, mbunifu na Mzalendo wa kweli kwa nchi yetu.

Kwa mujibu wa familia, Msiba upo nyumbani kwake Tabata Segerea, Mtaa wa Meja.

Mwenyezi Mungu amjalie pumziko la amani ndugu yetu
Rest in peace
 
.....Kuna baadhi ya vitu tulifanana na vingine tulitofautiana, tulifanana kupenda totoz bomba, ofisini kwake akawajaza, wasanii wa kike ndio usiseme!, tofauti yetu yeye mwenzangu aliwaheshimu, ilikuwa ni mahusiano ya kikazi tuu, wakati mimi ilikuwa ni "Kazi na Dawa".

RIP Comred Santus Mtsimbe.

P
Almanusura tukupatie kanisa lililosheheni vijana wa kike na kiume lakini tumeghairi kwanza.🤣🤣🤣🤣

Hii kazi na dawa ifanyie kazi kwanza ikutoke ili upewe kondoo wanono uwachunge😀🤣
 
Back
Top Bottom