Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ni katika mwezi mmoja February -march nimefiwa na watu 2 mmoja ndg wa damu kabisa mwingine ni binamu, najiona kama kupooza mwaka umeanza vibaya, ooh kifo hakina huruma, kisikieni tu utatamani umfufue mpendwa wako walau apate kuendelea kuishi,,,
wapumzike kwa amani tutaonana badaeðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
wapumzike kwa amani tutaonana badaeðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜