TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

Ni katika mwezi mmoja February -march nimefiwa na watu 2 mmoja ndg wa damu kabisa mwingine ni binamu, najiona kama kupooza mwaka umeanza vibaya, ooh kifo hakina huruma, kisikieni tu utatamani umfufue mpendwa wako walau apate kuendelea kuishi,,,

wapumzike kwa amani tutaonana badae😭😭😭😭
 
Umeshau pia kwamba alikuwa member mzuri wa Jamiiforums kwa siku nyingi. Alikuwa akianzisha njuzi mbalimbali humu. RIP Sanctus
 
Kuna jina la kikatoliki?? Ni sawa na majina ya kiarabu kusema ni ya kiislam, jisomee kidogo vitabu utaelewa.
Utakuwa huelewi! Unafikri majina ya Kikristo yanaenda enda tu? Kawaulize Wasabato watakuambia! Protestants wana majina yao na Catholics wana majina yao! Wala mfano wako hata hauendani! Ulisikia wapi Wasabato wana ushirika na Latin?
 
R.i.p
 
Nimefurahi hapo kwenye wanchoma kumoyo..

Asante brother kiranga kwa kutupa wasifu wa marehemu japo kwa ufupi..

Apumzike kwa amani
 
Rest in Eternal Peace Sanctus.
 
Rip Mwana Jamii forum mwenzetu.


Mkuu japo sio mhala pake hili jambo ila ni kwanini mnapuuzia kuhusu notification na picha kutoonekana kwenye app yenu na kila tukiwaambia hamjali wala nini?

Maxence Melo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…