Punguza gharama za kutumia mafuta kwenye gari lako. Sasa unaweza kutembea kilomita 180 kwa gharama ya Tsh.15,000 tu

Gesi kwenye IST inakupa uroda wa 200km with full ac kwa Tsh.17,000 tu! Kwa petrol ungetumia takriban Tsh.45,000 for the same joy ride. Wacha watu waweke gas tu aisee its meaningful than it might sound!
Mkuu gari ya V6 Kwa gesi unaenda umbali gani say 1,000 Kms?
 
Tulioko nje ya Dar tunanufaikaje na hii huduma?
 
Nimeeleza hapo mkuu...kwa sasa kuna vituo 2 tu vinavyojaza gesi dar ambavyo ni ubungo na tazara...vingine vitatu vipp hatua ya mwsho... Kukamilika ila vyote vipo dar..

Mikoani ni ngumu kwa sasa
Hilo neno lako la mwisho ndio dharau yenyewe, yaani mikoani ngumu kuwekwa au ngumu kufikika ?
 
Ni rahisi kwa waishio Dar mkuu. Kwa sisi wa Dodoma haitufai
Nimeeleza hapo mkuu...kwa sasa kuna vituo 2 tu vinavyojaza gesi dar ambavyo ni ubungo na tazara...vingine vitatu vipp hatua ya mwsho... Kukamilika ila vyote vipo dar..

Mikoani ni ngumu kwa sasa
 
Vp kuhusu uwezo wa gari,nasikia gari uwa inapungua nguvu.... ni sawa au story tu.
 
Mtungi kwenye gari ndogo ni kilo 11 na hii kilo 11 itakupeleka umbali mara 2 zaidi ya ule wa lita 11 za Petrol.

Wakijitahidi kupeleka hizi huduma mikoani watasanya wateja wengi sana.
Yaani kama unaenda Dodoma kutoka Dar ina maana hutajaza gesi tena hadi urudi Dar! Mimi naoma TPDC hawajiandaa vizuri kwenye huu mradi, ingepasa angalau kila makao makuu ya mkoa kungekuwa na kituo cha kujazia gesi.

Vv
 
Weka mawasiliano yako.
 
Nikampe mtu 2M ili achokonoe hili VQ35DE langu?

Tafuteni pengine pa kufanyia experiments

And by the way hii inafaa kwa mnaozunguka dar tu wale wa road trips kila wiki za 1000+km haisaidii kitu.
Pamoja na kwamba unaongea kwa majigambo na kejeli lakini naona una point mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…