Punguzeni kuwanga jamani

Punguzeni kuwanga jamani

Jamani kwema?

Hebu fikiria Kuna mtu anaingia chumbani anafunga mlango,anazima taa,anajifunika shuka,lastly anafumba na macho kabisaaaaa !!Sasa najiuliza ni kupenda Sana giza au Aina Fulani ya kuwanga?

Jamani Raha ya kuwa wawili chumbani muonane..

Idd Mubarak.
Watoto watatoka weusi.
 
Jamani kwema?

Hebu fikiria Kuna mtu anaingia chumbani anafunga mlango,anazima taa,anajifunika shuka,lastly anafumba na macho kabisaaaaa !!Sasa najiuliza ni kupenda Sana giza au Aina Fulani ya kuwanga?

Jamani Raha ya kuwa wawili chumbani muonane..

Idd Mubarak.
Siku ukipigwa square pipe kichwani usije na Uzi wa kuwaita watu mbwa...

ila uje na Uzi wa kuwaambia waongeze na protein hao uliowaita wanga
 
Siku ukipigwa square pipe kichwani usije na Uzi wa kuwaita watu mbwa...

ila uje na Uzi wa kuwaambia waongeze na protein hao uliowaita wanga
Relax basi,kwani we unapenda kuwanga?
 
Muda huu mnagonoka then baadae unakimbilia kwa Mwamposa kwanini usiolewe inajulikana moja
 
Muda huu mnagonoka then baadae unakimbilia kwa Mwamposa kwanini usiolewe inajulikana moja
Kwani kuolewa ndio kuingia mbinguni?hebu niache kwanza niendelee na mishe zangu😎😎
 
Kuna raia wao na giza ni damdam....ila watu kuzma taa imeletwa pia na wapga chabo,mtu anaona liwalo na liwe
 
Back
Top Bottom