Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Kama kusoma tusomili bheee lakini khasi hakuna,wacha tukimwelaki uvukimbi tu.
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Sijanywa pombe yoyote tangu January 1 2024 nilipokunywa Champagne ya kusheherekea mwaka mpya. Nimeamua kutokunywa mwaka huu, na naweza kuendelea.

Pombe ina madhara mengi, lakini ni mtu mwenyewe atakayeamua kama aache au anywe.
 
Sijanywa pombe yoyote tangu January 1 2024 nilipokunywa Champagne ya kusheherekea mwaka mpya. Nimeamua kutokunywa mwaka huu, na naweza kuendelea.

Pombe ina madhara mengi, lakini ni mtu mwenyewe atakayeamua kama aache au anywe.
Mkuu nataka kujua hii saikolojia ya kuacha pombe. Mtaani kuna perception nyingi sana, Mungu anisamehe lakini pia hata makanisani huku kuna kitu hakijakaa sawa. Je, wewe binafsi ulifanyaje mpaka umeweza huu mwaka haugausa kabisa kinywaji ? Nitashukuru sana kwa jibu makini
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Kuna umbeya kwamba asilimia kubwa ya pombe ktk soko la Tanzania ni SUMU na FEKI halafu wamiliki wanapeleka mkono wa ASANTE kwa wenye MAMLAKA.
 
Mkuu nataka kujua hii saikolojia ya kuacha pombe. Mtaani kuna perception nyingi sana, Mungu anisamehe lakini pia hata makanisani huku kuna kitu hakijakaa sawa. Je, wewe binafsi ulifanyaje mpaka umeweza huu mwaka haugausa kabisa kinywaji ? Nitashukuru sana kwa jibu makini
KUacha POMBE ni hatua si kitu cha siku moja,,,,kama upo Dar el salaam nikupe muongozo..........
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Research ya Ukimwi ndiyo research gani hiyo? Kama wasomi wenyewe ndiyo wa namna kama yako hao TISS waanze na wasomi uchwara wa caliber yako.
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Pombe na sigara naweza acha Ila hawa wasichana ninawapenda kweli🎶alisikika bwana mmoja
 
Back
Top Bottom