Geok
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 164
- 420
Usipinge kama hujawahi tumia. Tumia uje utupe mrejesho.Sio kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipinge kama hujawahi tumia. Tumia uje utupe mrejesho.Sio kweli
toka nizaliwe sija wahi pombe au mihadarati yoyote.Sijanywa pombe yoyote tangu January 1 2024 nilipokunywa Champagne ya kusheherekea mwaka mpya. Nimeamua kutokunywa mwaka huu, na naweza kuendelea.
Pombe ina madhara mengi, lakini ni mtu mwenyewe atakayeamua kama aache au anywe.
hahaha nime Kumbuka Kuna mdada ali lewa, si aka anza kusema Eti love at first sight 😂Kuna siku nilikuwa kwenye happy hour ya kazini.
Bosi mkubwa katutoa, kika mtu anaagiza pombe yake, mimi nikqkataa pombe.
Watu wal8nishangaa, ila walichukua sekunde chache tu kunielewa na kuheshimu maamuzi yangu.
Tena wengine ndio wanafurahia wakijua kuna mtu hanywi huyu ndiye atatulinda tukilewa.
Hii inataka msimamo sana.toka nizaliwe sija wahi pombe au mihadarati yoyote.
na nime ishi na watu baadhi wanao tumia, ila ni maamuzi tu.
More like at first pilsner light.hahaha nime Kumbuka Kuna mdada ali lewa, si aka anza kusema Eti love at first sight 😂