Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

Kama kuna kipindi hii nchi tumewahi kulalamika wazee kupewa nyadhifa mbalimbali na vijana tungalipo,nadhani miaka kumi baadae ndyo tutalalamika zaidi kwasababu hapatakuwa na vijana kutokana na kwamba watakuwa wameharibiw na vipombe vikali
 
Yaani kama huna uwezo wa kujimiliki wewe mwenyewe basi una kazi kubwa mno ya kufanya. Lazima ujue au ujifunze kujimiliki, yaani kujizuia katika kipindi ambacho wewe hutaki kufanya, ifike hatua unafanya kitu Kwa kuwa umetaka kufanya na siyo mazoea, matamanio, handasi inayokufanya ufanye jambo. Ukifikia hatua ya kusema sinywi pombe au sinywi juisi za viwandani Hadi miaka mitatu au mitano ipite au maisha yako yote na Wala huoni tabu Wala kuhisi kupungukiwa kitu hapo utakuwa uko hatua nzuri na hongera kwako.
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Never trust msomi wowote wa Kitanzania
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Kanuni tatu muhimu za pombe
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
 
Ungeniuliza paper ninayoandika ndio ningekuona wamaana kuliko kujaribu kunijibu ushuzi
Do you think I will extol your paper?.. This thread is enough to prove precisely that you’re ignoramus.. I don’t have time to see your thesis or something. Poor presentation, insignificant and useless! Your level of thinking is minuscule I can see that, You’re a clown and Jf is not a circus.
 
TISS wafanye vetting ya viwanda vya pombe 🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi huwa mnawaona TISS ni kama Alfa na Omega, muarobaini wa matatizo yote?!
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
TISS iache kulinda CCM ibaki madarakani wao na wanaowalinda walipane posho na mishahara minono,
Ingaike na watu wanaojifanya wajanja wa kubugia Kila kitu....
Vijana kunyweni tu pombe musiwe na akili,musiweze kuwagonga mademu zenu
Sisi tupo tutawasaidia
 
Nimeolewa nimekuta mume wangu mpenzi wa Bangi sana nilianza kumrekebisha taratibu Hadi ameacha kabisa
 
Back
Top Bottom