Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKNiko Marekani mkuu. Wewe?
Kuna Waingereza na Wamarekqni wanakunywa pombe kama maji.
Mm juzi niliwakuta madogo wapo kwa mangi wanapiga vitu nimeashika nauli yangu mkononi. Ati dogo ananiambia niwape waongezee ili wapate stimu hiyo ilikuwa asubuhi ya saa 2 hiviKuna mtu alikuja kuomba hela ya pombe kwako
Ndio hao uwape ushauriMm juzi niliwakuta madogo wapo kwa mangi wanapiga vitu nimeashika nauli yangu mkononi. Ati dogo ananiambia niwape waongezee ili wapate stimu hiyo ilikuwa asubuhi ya saa 2 hivi
Sijui kama itawezekanaNdio hao uwape ushauri
Ikishindikana achana naoSijui kama itawezekana
Never trust msomi wowote wa KitanzaniaYaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.
Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.
Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani
Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.
Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.
Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.
Nawasilisha
Kanuni tatu muhimu za pombeYaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.
Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.
Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani
Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.
Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.
Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.
Nawasilisha
Do you think I will extol your paper?.. This thread is enough to prove precisely that you’re ignoramus.. I don’t have time to see your thesis or something. Poor presentation, insignificant and useless! Your level of thinking is minuscule I can see that, You’re a clown and Jf is not a circus.Ungeniuliza paper ninayoandika ndio ningekuona wamaana kuliko kujaribu kunijibu ushuzi
TISS iache kulinda CCM ibaki madarakani wao na wanaowalinda walipane posho na mishahara minono,Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.
Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.
Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani
Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.
Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.
Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.
Nawasilisha
Eti,hela zetu ,pomba zetu,watuache bwanaKuna mtu alikuja kuomba hela ya pombe kwako
NgaribaTISS wafanye vetting ya viwanda vya pombe 🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi huwa mnawaona TISS ni kama Alfa na Omega, muarobaini wa matatizo yote?!