Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

Mkuu nataka kujua hii saikolojia ya kuacha pombe. Mtaani kuna perception nyingi sana, Mungu anisamehe lakini pia hata makanisani huku kuna kitu hakijakaa sawa. Je, wewe binafsi ulifanyaje mpaka umeweza huu mwaka haugausa kabisa kinywaji ? Nitashukuru sana kwa jibu makini
Mkuu,

Mimi nina saikolojia kwamba mimi ni mtawala. Pombe hainitawali mimi, mimi naitawala pombe.

Saikolojia hii huwa nai test kila mara, hii wala si mara ya kwanza kuacha kunywa pombe, kuna wakati nilikaa miaka miwili bila kunywa pombe.

Yani kila mara nataka kuji test kwamba nikiamua kuacha kunywa pombe kwa mwaka mmoja au miwili, naweza kufanya hivyo.

Na kila nikiacha kunywa pombe hivyo, ni lazima niwe na pombe nyumbani. Kwa mfano sasa hivi nina Scotch, nina Tequila, nina Vodka, nina wine, nina mpaka beer kwenye friji la garage kila nikifungua friji la garage naziona beer za baridi, lakini sijanywa, nimeziweka kama atatokea mgeni mnywa bia anywe na pia kujihakikishia kwamba nimeacha kunywa pombe kwa kuamua, si kwa sababu nyumbani nimeishiwa pombe.

Ni uamuzi wa mtu tu. Mpaka watu wa kazini tukitoka out wanajua Kiranga hanywi pombe siku hizi. Wananiwekea mazingira ya kunywa vinywaji vingine. Mpaka watu wangu wa karibu ni hivyo hivyo.

Najisikia nishakunywa pombe kama zote ma Bourbon, Whisky, Sake, Tequila,Vodka, wine, beer Champagne.

Sina cha kunywa zaidi.
 
Research ya Ukimwi ndiyo research gani hiyo? Kama wasomi wenyewe ndiyo wa namna kama yako hao TISS waanze na wasomi uchwara wa caliber yako.
Ungeniuliza paper ninayoandika ndio ningekuona wamaana kuliko kujaribu kunijibu ushuzi
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Vetters wenyewe walevi,wana CCM so hebu fanya upembuzi wa watu wa namna hiyo watu jamii ya Bashitete au vieteee
 
Mkuu,

Mimi nina saikolojia kwamba mimi ni mtawala. Pombe hainitawali mimi, mimi naitawala pombe.

Saikolojia hii huwa nai test kila mara, hii wala si mara ya kwanza kuacha kunywa pombe, kuna wakati nilikaa miaka miwili bila kunywa pombe.

Yani kila mara nataka kuji test kwamba nikiamua kuacha kunywa pombe kwa mwaka mmoja au miwili, naweza kufanya hivyo.

Na kika nikiacha kunywa pombe hivyo, ni kazima niwe na pombe nyumbani. Kwa mfano sasa hivi nina Scotch, nina Tequila, nina Vodka, nina wine, nina mpaka beer kwenye friji la garage kika nikifungua friji la garage naziona beer za baridi, lakini sijanywa, nimeziweka kama atatokea mgeni mnywa bia anywe na pia kujihakikishia kwamba nimeacha kunywa pombe kwa kuamua, si kwa sababu nyumbani nimeishiwa pombe.

Ni uamuzi wa mtu tu. Mpaka watu wa kazini tukitoka out wanajua Kiranga hanywi pimbe siku hizi. Wananiwekea mazingira ya kunywa vinywaji vingine. Mpaka watu wangu wa karibu ni jivyo hivyo.

Najisikia nishakunywa pombe kama zote ma Bourbon, Whisky, Sake, Tequila,Vodka, wine, beer Champagne.

Sina cha kunywa zaidi.
Ahsante kwa jibu zuri sana. Ngoja nilifanyie utafiti kwa makini sana. Ahsante sana
 
Yaani mtu ana degree na masters logic ndogo tu anashindwa kujibu.

Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha Acha kabisa.

Najua nyie TISS mna majukumu makubwa sana ya kiserikali, Fanyeni vetting ya hivi viwanda vya pombe kali zote. Taifa linapotea sana jamani

Kuna hazina za wasomi hapo baadae zikipotea, tutakuwa kwenye hali ngumu sana.

Nalipoti kutoka ndendeule kwenye kilabu cha pombe nikifanya research ya ukimwi.

Degree na masters zinaendelea sana kuharibika sana.

Nawasilisha
Ukiona mtu kalewa kwa pombe za gharama kwenye uchumi huu mheshimu...
 
Mkuu,

Mimi nina saikolojia kwamba mimi ni mtawala. Pombe hainitawali mimi, mimi naitawala pombe.

Saikolojia hii huwa nai test kila mara, hii wala si mara ya kwanza kuacha kunywa pombe, kuna wakati nilikaa miaka miwili bila kunywa pombe.

Yani kila mara nataka kuji test kwamba nikiamua kuacha kunywa pombe kwa mwaka mmoja au miwili, naweza kufanya hivyo.

Na kika nikiacha kunywa pombe hivyo, ni kazima niwe na pombe nyumbani. Kwa mfano sasa hivi nina Scotch, nina Tequila, nina Vodka, nina wine, nina mpaka beer kwenye friji la garage kika nikifungua friji la garage naziona beer za baridi, lakini sijanywa, nimeziweka kama atatokea mgeni mnywa bia anywe na pia kujihakikishia kwamba nimeacha kunywa pombe kwa kuamua, si kwa sababu nyumbani nimeishiwa pombe.

Ni uamuzi wa mtu tu. Mpaka watu wa kazini tukitoka out wanajua Kiranga hanywi pimbe siku hizi. Wananiwekea mazingira ya kunywa vinywaji vingine. Mpaka watu wangu wa karibu ni jivyo hivyo.

Najisikia nishakunywa pombe kama zote ma Bourbon, Whisky, Sake, Tequila,Vodka, wine, beer Champagne.

Sina cha kunywa zaidi.
Labda utakuwa huijui "hans choice wewe" tena usiombe uchanganye na pepsi na ice kwa mbali pembeni unakula embassy *****🤣pembeni nyama ng'ombe fulani kilo moja tena Nyama choma
 
Mkuu nataka kujua hii saikolojia ya kuacha pombe. Mtaani kuna perception nyingi sana, Mungu anisamehe lakini pia hata makanisani huku kuna kitu hakijakaa sawa. Je, wewe binafsi ulifanyaje mpaka umeweza huu mwaka haugausa kabisa kinywaji ? Nitashukuru sana kwa jibu makini
Kaa mbali nayo kabisa ndani ya muda mfupi unaacha
 
Labda utakuwa huijui "hans choice wewe" tena usiombe uchanganye na pepsi na ice kwa mbali pembeni unakula embassy *****🤣pembeni nyama ng'ombe fulani kilo moja tena Nyama choma
Ni suala la mindset tu.

Kuna wengi hawaijui Hans Choice na wameshindwa kuacha pombe.

Na mimi ningekuwa na mindset ya kunywa pombe ningekunywa sana, kwa sababu nina uwezo wa kununua na naalikwa mpaka parties za Wall St na Umoja wa Mataifa zenye pombe za kila aina nyingine mpaka za kufungasha kwenda nazo nyumbani.

Yani pombe imekuwa designed kukuvutia kuanzia muonekano wa chupa tu.

Lakini nasema hapana.
 
Pombe ni mind set tu ! Nina mwez wa 3 huu sijagusa, nina mpango wa kupitisha walau mwaka mmoja !!!! Najitahidi kukwepa vishawishi mfano zile kuonana na wana weekend n.k !
Naam. Mimi ikifika January 1 2025 itakuwa mwaka mmoja bila pombe.

Na hapo nina pombe kibao nyumbani nyingine mpaka beer baridi kwenye friji, sijagusa.
 
Back
Top Bottom