Punguzeni pombe vijana, Ukipata nafasi ya kuacha acha kabisa

Sijanywa pombe yoyote tangu January 1 2024 nilipokunywa Champagne ya kusheherekea mwaka mpya. Nimeamua kutokunywa mwaka huu, na naweza kuendelea.

Pombe ina madhara mengi, lakini ni mtu mwenyewe atakayeamua kama aache au anywe.
toka nizaliwe sija wahi pombe au mihadarati yoyote.

na nime ishi na watu baadhi wanao tumia, ila ni maamuzi tu.
 
hahaha nime Kumbuka Kuna mdada ali lewa, si aka anza kusema Eti love at first sight 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…