Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

Punguzo la PAYE kwa asilimia 1 ni dhihaka kwa wafanyakazi!

Naomba wabunge wetu watusaidie sisi wafanyakazi, kilio chetu sio hiyo asilimia 15% au 14% - la asha ni ile 30% ya kodi wanayokata kwenye mshahara unaozidi 720,000. Asilimia 30% jumulisha hiyo PAYE ni kuua watu. Mbona kuna wafanyabishara wanaopata zaidi ya milioni 2 kwa mwezi lakini hawakatwi kodi ya asilimia 30% ya mshahara? kwanini wafanyakazi wa Tanzania tunaonewa hivyo?

Hapo ndipo penye mziki na wafanya kazi wengi wanapokea above that amount of Salary hebu niambie sasa unarudi home na nini hapo at the end of the month hujapita sokoni,kodi ya nyumba per month na makorokoro mengine pia.

Kweli serikali imeshindwa kubuni mbinu mbadara ya kukusanya kodi nchi hii hapo ina maana nchi yetu inaendeshwa kwa kodi za wafanyakazi period


 
jaman wana jf hivi ni kweli nimesikia kama kodi za mishahara zimepunguzwa toka 14% adi 13%, sasa wamepunguza nini hapa? ki ukweli ni sawa na hakuna kabisa, bado ni majanga hasa sisi wenye mishahara midogo ambayo nayo inaishia kwenye kodi.
 
Mbona tangu mwanzo kodi ni zaidi ya asilimia 14%, hilo punguzo la kutoka 14% - 13% limetoka wapi????. Mfano, makato ya kodi ya mshahara wangu kwa mwezi ni Tshs. 648,200/- na Gross salary yangu ni sh. 2,600,000/-. Sasa nisaidieni hiyo ni asilimia ngapi?
 
....
...♥♡☆★...
Safi sana Serikali sikivu.... xcellent...!!!!

.... HAKUNA MTU KULALAMIKA.....keep quite....!!!
 
mkuu alipoingia jk madarakani kodi ilikuwa asilimia kumi na nane leo imeshuka hadi 13% unalalamika unataka nini,kikubwa ni stage by stage.
 
Wanochoongelea ni asilimia ya kwenye mabano ambayo ni sawa tsh 1,900 ndio wamepunguza , hii serikali ina utani na watu wake kweli , wamepandisha mafuta tena so ni maumivu zaidi tuu .

[TABLE="width: 237"]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 65, bgcolor: transparent"]from[/TD]
[TD="class: xl65, width: 59, bgcolor: transparent"]to[/TD]
[TD="class: xl65, width: 70, bgcolor: transparent"]amount [/TD]
[TD="class: xl66, width: 49, bgcolor: transparent"] [/TD]
[TD="class: xl67, width: 72, bgcolor: transparent"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl68, bgcolor: transparent"] - [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 170,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 170,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] - [/TD]
[TD="class: xl69, bgcolor: transparent, align: right"]0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl68, bgcolor: transparent"] 170,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 360,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 190,000 [/TD]
[TD="class: xl70, bgcolor: transparent, align: right"]14.0%[/TD]
[TD="class: xl69, bgcolor: transparent, align: right"]26600[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl68, bgcolor: transparent"] 360,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 540,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 180,000 [/TD]
[TD="class: xl70, bgcolor: transparent, align: right"]20.0%[/TD]
[TD="class: xl69, bgcolor: transparent, align: right"]36000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl68, bgcolor: transparent"] 540,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 720,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 180,000 [/TD]
[TD="class: xl70, bgcolor: transparent, align: right"]25.0%[/TD]
[TD="class: xl69, bgcolor: transparent, align: right"]45000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl68, bgcolor: transparent"] 720,000 [/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="class: xl63, bgcolor: transparent"] 1,620,000 [/TD]
[TD="class: xl70, bgcolor: transparent, align: right"]30.0%[/TD]
[TD="class: xl69, bgcolor: transparent, align: right"]486000[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Ile bajeti ni ya kumkandamiza mwananchi wa kawaida kabisa. Kulingana na ile bajeti, gharama za maisha zitakuwa kubwa sasa na wakati ujao kwa sababu kodi zimepanda, hiyo PAYEE wanayosema imeshuka imeshuka kwa 1,500 tu ambayo ukinunua maji ya kunywa imeshaisha. Ila kodi ya mafuta imepanda na hivyo itaongeza gharama ya maisha katika kila kitu.
 
ukiuliza watakuambia ni hesabu za kitaalamu zaidi km vile sisi siyo watalam
 
Kaka mjibu ki kodi zaidi, kwa watu wasio wataalamu wa kodi hii ni ngumu kumeza, haieleweki!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mm nashukuru kwa kupungua hiyo 1% toka 14% mpaka 13% sio sawa na kubaki ile ile japo bado inaumiza!!
 
jaman wana jf hivi ni kweli nimesikia kama kodi za mishahara zimepunguzwa toka 14% adi 13%, sasa wamepunguza nini hapa? ki ukweli ni sawa na hakuna kabisa, bado ni majanga hasa sisi wenye mishahara midogo ambayo nayo inaishia kwenye kodi.

mi naona nakatwa 16% ya mshahara wangu na siyo 14%
 
Fanyeni kazi hakuna mfanyakazi duniani asiyelipa kodi

Watingaji hatukatai kulipa kodi, lakini kodi hiyo ina fanya kazi gani iwapo huduma zote za serikali ninatakiwa nilipe cash money? Pia serikali haituhakikishii maisha yetu baada ya kustaafu. Kama ninalipa KODI ya zaidi ya 50% ya pato langu kwanini mtotowangu asisomeshwe bure, nisipate matibabu bure, nisipate huduma ya maji bure, nisipewe nyumba za serikali kwa bei nafuu n.k.

Nchi kama Sweden zinazo toza kodi ya 50% kama yetu, wafanyakazi wake wanauhakika wa maisha baada ya kustaafu.
 
Mkuu ungeweka heading hivi;Mkanganyiko katika kodi ya mishahara.Tungechangia vizuri lakini sasa tunajadili punguzo la kodi hata kama ingekua imepunguzwa 0.05% bado ni punguzo.Ila ni kweli hata mimi sielewi ukokotoaji wao.
 
hiyo yako ni 24.93%!!kimsingi kodi ni 14% na kwasasa imetangazwa itashuka hadi kufikia 13%!,ww km ni kweli kwenye salary slip yako unakatwa pesa hiyo uliyoitaja km kodi ya mshahara yaan pay as u earn basi utakua unaibiwa!!!je km kodi tu unakatwa 640,je NHIF?mfuko wa hifadhi ya jamii?chama cha wafanya kazi?

Nadhan utakua umechanganya makato yote manne ukaweka hapo ukidhani ndio kodi!!!,km vp weka salary slip yako hapa tuone!!

Nasema ni kweli na kweli tupu. Ni kwa vile nitaji-expose ila ningeweka salary slip yangu. Sasa uone NHIF ni sh. 78,000 tu kwa mwezi
 
Pole sana.Unaye-argue naye ni huyo huyo ambae ana ishi kwa kutumia kodi yako,kwa hiyo unaposema kodi ipunguzwe hakuelewi.He is a blood sucker,achana nae.Unapoteza nguvu bure.
kwa asiyemfanya kazi kaMa wewe kutoa kauli kama hii ni kawaida...wafanya kazi hawalalamikii kutozwa p.a.y.e bali kiwango kinachotozwa,... unaposema kila nchi inatoza kwa kiwango cha kulalamikiwa mi nilidhani ungekuja na data za jinsi gani nchi zipi zinatoza paye inayolalamikiwa na ambayo ni ndogo au kubwa zaidi ya tanzania....kwa wafanyakazi wa tz tunalipa kodi zaidi ya paye kwani kua vat kwa kila tunacho nunua....kwanini tukamuliwe....?

MAFUTA WAMEONGEZA BEI MFANYA KAZI HUYUHUYU ATAKUWA ANANUNUA MAFUTA HAYO HAYO...HATUJAENDA KWENYE MAGARI...
HOJA YA KUONGEZA BEI KWENYE MAFUTA SERIKALI HAIJATATUA TATIZO BALI LIMEKUWA KWANI VYAKULA NA BIDHAA NYINGINE ZINASAFIRISHWA KWA MAJI...?

HAPA TUTEGEMEE GHARAMNA ZA USAFIRISHAJI KUONGEZEKA HASA VYAKULA NA MWISHI WA SIKU MFUMUKO WA BEI KILA KONA...!!
Think of it before u comment tafadhari.....!!
 
Back
Top Bottom