Punyeto inavunja ndoa yangu


Mkuu ni aibu una mke mzuri alafu unafanya ujinga huo. Huna tofauti na anaepigwa nyuma.

Acha huo upumbavu.

Fanya yafuatayo:
1. Ukitoka kazini kabla ya kuoga fanya mazoezi mapesi ikiwezekana kimbia hata kilomita 3 tu then fanya pushapu tano kwa siku ya kwanza thena onga kunywa chai ya moto au uvugu vugu kabla ya kula chakula.

2. Asubuhi amka saa kumi na moja kimbia kilomita 3 then piga pushapu 8. Then ruka ruka kidogo kuweka mwili sawa. Oga . Usisahau kunywa chai kikombe kimoja nenda kazini.

Fanya haya kwa mfululizo wa wiki then utazoea. Mwili wako utarudi kuwa sawa na mkeo utamridhisha kisawasawa na utaona **** ya mke wako ni tamu kuliko punyeto.

Note: usinywe supu ya pweza wala kula karanga wala mihogo mibichi wala kutumia madawa ya kuongeza nguvu xa kiume.

Nguvu za kiume unazo za asili ni kujijenga tu kisaikolojia ndugu. Amini utakuwa pouwa

Baadae ulete mrejesho hapa
 
Mkuu,
Kwanini aache kula ngano?
Tafiti zinaonesha kuwa vyakula tunavyo kula kama vyakula vya ngano ambavyo vina kiambata mahususi kiitacho GLUTEN. Hii ni protini ipatikanayo kwenye ngano ina gundi ambayo hushikilia chakula kwa pamoja. Pia vyakula kama vyenye sukari nyingi na nyuzi nyuzi kidogo nazo ni chanzo kikubwa cha matatizo sugu kama kisukari,uzito mkubwa na msukumo mbovu wa damu,nguvu za kiume .na mengineyo
 
Mnamshangaaa huyo anayepiga punyeto mara 3 Kwa siku Mimi napiga mara 15 asubuhi na mchana usiku mambo ndyo kabambe napiga mara 40 freshi tu mpaka natoa upepo.
 


Ongea na mkeo, kila ukisikiq kufanya hivyo lala naye, uone kama utashindwa

Mimi kwa kwelia mpaka nafika 55 sina kumbukumbu ya kufanya punyeto, ila ukilala na mkeo hamu zikaisha si basi?
 
Hapo tayari unao wake wawili Sasa chagua ambae hana gubu ndio uendelee nae,Ambae kwa mim naona ni punyeto yeye alalamiki pamoja kwamba anajua una mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…