Punyeto inavunja ndoa yangu

Punyeto inavunja ndoa yangu

Nianze kwa kujitambulisha Eeeh Mimi ni kijana wa miaka 28 Nina kil0 93 Naishi dar....Nina Visa vingi katika mahusian0 yangu ya MAPENZI,vingi nishawahi p0st humuhumu...

Nip0 katika nd0a mwaka sasa Ila na0na nd0a yangu inaelekea kuangamia huku nai0na,Najaribu kuik0a ila Nahisi kushindwa...Kabla ya kufunga nd0a Nilikuwa mpiga nyet0 (punyet0) Mzuri sana,Kwa siku napiga punyet0 hata mala 3 kama sip0 bize sana basi hata mala 4...

Kipindi naingia nd0ani nilipunguza kasi kid0g0 ya kupiga punyet0,spid ilipungua iv0 nikawa kwa siku napiga 2 au 1 cuz nak0sa uhuru....Nilipiga punyet0 kwa siri sana ili mke wangu asijue Ila za mwizi ni 40 amejua kila kitu tena kwa kuni0na kwa mach0 si chini ya mala 100...

Ameni0nya sana niache hii tabia Ila nashindwa kuacha kabisaa Inafikia hatua Nikaanza piga nyet0 0fisini then ndi0 nirudi h0me....Kwenye game na mke wangu kitandani Nimekuwa dhaifu Nikipiga kim0ja nalala zangu....

Sasa Juzi amedai taraka na hii ni baada ya kujua sijaacha na kulalamika kuwa si mkolezi anasema kwasababu ya hii punyet0 yangu...Bad0 nampenda sana mke wangu sitaki kump0teza ila na punyet0 nishajaribu kila njia niache ila nimeshindwa...

Jana Amesema hataki kunidhalilisha Anataka taraka yake Tu bila iv0 ataitisha kika0 cha pande mbili aseme chanz0 cha kudai taraka...

Le0 asubuhi nimelia sana kwake ameamua kunipa nafasi ya mwish0 ila endap0 akijua napiga punyet0 ataita pande z0te mbili,atadai taraka...

Naachaje punyet0 ku0k0a nd0a yangu...??

Le0 Nimejikaza tangu asubuhi Sijapiga punyet0 basi mwilini najihisi h0vy0 kwasababu mwili umek0sa KITU yake...

Nime0ga mchana Huu Ila nime0ga bila sabuni kwasababu Nikisikia harufu ya sabuni Mashine Inasimama....

Mkuu ni aibu una mke mzuri alafu unafanya ujinga huo. Huna tofauti na anaepigwa nyuma.

Acha huo upumbavu.

Fanya yafuatayo:
1. Ukitoka kazini kabla ya kuoga fanya mazoezi mapesi ikiwezekana kimbia hata kilomita 3 tu then fanya pushapu tano kwa siku ya kwanza thena onga kunywa chai ya moto au uvugu vugu kabla ya kula chakula.

2. Asubuhi amka saa kumi na moja kimbia kilomita 3 then piga pushapu 8. Then ruka ruka kidogo kuweka mwili sawa. Oga . Usisahau kunywa chai kikombe kimoja nenda kazini.

Fanya haya kwa mfululizo wa wiki then utazoea. Mwili wako utarudi kuwa sawa na mkeo utamridhisha kisawasawa na utaona **** ya mke wako ni tamu kuliko punyeto.

Note: usinywe supu ya pweza wala kula karanga wala mihogo mibichi wala kutumia madawa ya kuongeza nguvu xa kiume.

Nguvu za kiume unazo za asili ni kujijenga tu kisaikolojia ndugu. Amini utakuwa pouwa

Baadae ulete mrejesho hapa
 
Mkuu,
Kwanini aache kula ngano?
Tafiti zinaonesha kuwa vyakula tunavyo kula kama vyakula vya ngano ambavyo vina kiambata mahususi kiitacho GLUTEN. Hii ni protini ipatikanayo kwenye ngano ina gundi ambayo hushikilia chakula kwa pamoja. Pia vyakula kama vyenye sukari nyingi na nyuzi nyuzi kidogo nazo ni chanzo kikubwa cha matatizo sugu kama kisukari,uzito mkubwa na msukumo mbovu wa damu,nguvu za kiume .na mengineyo
 
Mnamshangaaa huyo anayepiga punyeto mara 3 Kwa siku Mimi napiga mara 15 asubuhi na mchana usiku mambo ndyo kabambe napiga mara 40 freshi tu mpaka natoa upepo.
 
Nianze kwa kujitambulisha Eeeh Mimi ni kijana wa miaka 28 Nina kil0 93 Naishi dar....Nina Visa vingi katika mahusian0 yangu ya MAPENZI,vingi nishawahi p0st humuhumu...

Nip0 katika nd0a mwaka sasa Ila na0na nd0a yangu inaelekea kuangamia huku nai0na,Najaribu kuik0a ila Nahisi kushindwa...Kabla ya kufunga nd0a Nilikuwa mpiga nyet0 (punyet0) Mzuri sana,Kwa siku napiga punyet0 hata mala 3 kama sip0 bize sana basi hata mala 4...

Kipindi naingia nd0ani nilipunguza kasi kid0g0 ya kupiga punyet0,spid ilipungua iv0 nikawa kwa siku napiga 2 au 1 cuz nak0sa uhuru....Nilipiga punyet0 kwa siri sana ili mke wangu asijue Ila za mwizi ni 40 amejua kila kitu tena kwa kuni0na kwa mach0 si chini ya mala 100...

Ameni0nya sana niache hii tabia Ila nashindwa kuacha kabisaa Inafikia hatua Nikaanza piga nyet0 0fisini then ndi0 nirudi h0me....Kwenye game na mke wangu kitandani Nimekuwa dhaifu Nikipiga kim0ja nalala zangu....

Sasa Juzi amedai taraka na hii ni baada ya kujua sijaacha na kulalamika kuwa si mkolezi anasema kwasababu ya hii punyet0 yangu...Bad0 nampenda sana mke wangu sitaki kump0teza ila na punyet0 nishajaribu kila njia niache ila nimeshindwa...

Jana Amesema hataki kunidhalilisha Anataka taraka yake Tu bila iv0 ataitisha kika0 cha pande mbili aseme chanz0 cha kudai taraka...

Le0 asubuhi nimelia sana kwake ameamua kunipa nafasi ya mwish0 ila endap0 akijua napiga punyet0 ataita pande z0te mbili,atadai taraka...

Naachaje punyet0 ku0k0a nd0a yangu...??

Le0 Nimejikaza tangu asubuhi Sijapiga punyet0 basi mwilini najihisi h0vy0 kwasababu mwili umek0sa KITU yake...

Nime0ga mchana Huu Ila nime0ga bila sabuni kwasababu Nikisikia harufu ya sabuni Mashine Inasimama....


Ongea na mkeo, kila ukisikiq kufanya hivyo lala naye, uone kama utashindwa

Mimi kwa kwelia mpaka nafika 55 sina kumbukumbu ya kufanya punyeto, ila ukilala na mkeo hamu zikaisha si basi?
 
Hapo tayari unao wake wawili Sasa chagua ambae hana gubu ndio uendelee nae,Ambae kwa mim naona ni punyeto yeye alalamiki pamoja kwamba anajua una mke.
 
Back
Top Bottom