Punyeto ni mlango wa Roho chafu

Hakuna cha under control ya jini buana ni nyege tu zinakuja kwa kasi ya kimbunga halafu muda huo labda chululuu/ mbochi ipo mbali
 
Hakuna cha under control ya jini buana ni nyege tu zinakuja kwa kasi ya kimbunga halafu muda huo labda chululuu/ mbochi ipo mbali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waafrika sisi kwa kutishana badala ya kupeana facts, Watu wanajiepusha na mengi sana yanayotokana na ngono zembe kwa kupiga punyeto.

Lakini kama ilivyo ada kitu chochote hakitakiwi kuwa too much. Hata kula sana si vizuri.
 
Mkuu SIPIYU30 una akili kubwa sanaa mzee wangu, naomba nikusifie kwa comment hii.
 
Acha porojo , hakuna mlango wala dirisha
 
I think cha muhimu ni kutoruhusu mawazo ya master kubeti yakunyemelee kwa kufanya kazi ili uji keep busy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…